TBT ya kibabe: Mabasi na vyombo vya usafiri Tanzania


Songoro bus service nafikiri waliachana na huduma za usafirishaji abiria kwa njia ya basi. Wakajikita majini na hadi sasa ndio watengenezaji wakubwa wa vivuko vya serikali na binafsi
 
waTanzania waliozaliwa miaka ya karibuni hawakuyaona mabasi haya ya Railway.
Wanafunzi walikuwa wanasafiri kwa warrant halafu wizara ya elimu ilikuwa inalipa bili.

 
Nilikuwa namchukulia hood poa but kuna siku natokea tunduma nikapanda bus yenu tulipofika moro ikawa na khitilafu ikaingizwa yard kurekebishwa duh nilikuta buses kama hamsini zime poa ndio nilitia akili
 
[emoji1787][emoji28] mkuu hapo unatujaza bhana, inamana hiyo njia haina trafiki? Au inawanga usiku mnene?
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji28][emoji28][emoji28]kha basi kama treni?abiria 200[emoji23][emoji28][emoji28]
Wenyewe wanasema mtu 70 na zingeweza fiti mle ndani lilikuwa linakimbia sio poa likifika pale ruaha Mbuyuni nje unaona blurred tu jinsi jamaa alivokuwa anapiga mwendo hatari
 
[emoji1787][emoji28] mkuu hapo unatujaza bhana, inamana hiyo njia haina trafiki? Au inawanga usiku mnene?
Mkuu Hadi 2019 mwisho mi nililiona gari hili stendi kuu songea
 
Halafu kulikuwa na NGORIKA T 150 AAD.
Hili basi jamaa alikuwa kama Burushi hivi,niliwahi kupanda hili basi mpaka leo sijaelewa kwanini sikutapika siku hiyo kutokana na ule mwendo!!.
Mkuu na mimi niliwahi panda hii chuma jamaa alimwaga moto ikabidi tuchil Chalinze kama lisaa muda usogeesogee 😀 .
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…