greenwoods
JF-Expert Member
- Sep 21, 2020
- 2,328
- 3,955
Daaah wakuu hili nalo lilikua basi la route ipi? Maana jina tu limefanya nicheke..View attachment 2054855
Mwambipile's
Alafu nimeliona juzi mkuuWewe Buji Buji picha hii umeitoa wapi? Gari la kijijini kwetu hili na kaulimbiu yake "UENDE LIPWELA"Buji Buji [emoji113][emoji2772]sikuwezi
Uwende lipwela chombo makete manda ludewa mbamba bay
Kitonga hiyo Enzi hizoMatema beach,,, Scandinavia yupo kwa pembeni hapo wanatweta,,, kweli siku hazigandi
View attachment 2054991
Mkuu uliliona wapi?Alafu nimeliona juzi mkuu
Point of corrections:Pia No Challenge lilitumbukia mto Wami. Baada ya hapo wakabadilisha jina na kujiita Tashrif
vituo vya kuchimba dawa vingi, hakuna haja ya chooNiliwah kufikiria hili swala la choo,mbona ya sku hz hawawek
Asante sanaPoint of corrections:
Ni kweli No Challenge walibadilisha jina baada ya kuuwa watu 70, lakini haikuwa mto Wami bali mto Msangazi ambao ni wa msimu uliopo Kijiji cha Kibanda Muheza.
Ila bus body builder wa zamani sijui walikuwa wanawaza Nini aise. Hiyo body ya QualityView attachment 2054977
Sadiq line,,, hilo nyuma kwenye pepe liliandikwa djemba ×2,,, yani yule mchezaji wa Cameron aliyekuwa anachezea Manchester United Eric djemba djemba
Nafuatilia huu uzi
Air Msae nililipanda kwa Mara ya Kwanza mwaka 1996. Natokea Arusha kwenda Dar. Nadhani ajali ndio ziliiua hi kampuni.
Sahh kabisa nakumbuka nilipanda gari hii mwaka 2011 wakat nampeleka mdogo wangu seminari ya kikatoliki kuanza kidato Cha 1 STELLA MATUTINA - LIGHANOUSAFIRI HUU HAUVUMI LAKINI BADO WAMO
Huu ni usafiri wa kutoka Songea kuelekea Namtumbo maarufu kwa jina la 'Matimbula' ingawa kuna magari mengine ya kisasa yanayofanya safari kuelekea huko lakini gari hilo limekuwa na wapenzi wengi ingawa mwendo wake ni wa polepole kama wa kinyonga.
Huyu ni abiria aliyekuwemo kwenye basi hilo ambaye alijitambulisha kwa jina moja la Abdul