Kwa kweli itashangaza watu kupiga kura kuendelea na adha kama hizi.
Naamini yule malaika wa kuzima mitandao anaweza.kuwa ndio amefika,sijui kama ataondoka hivi karibuni
Sasa umeshajua cha kufanya, huwezi kumpa nchi mtu anaekupa hasara kiasi hichoHakika Kitendo chenu Cha kuzima WhatsApp kimeniuzi na kuniumiza sana.
Nimepata hitilafu kwa mitambo ya kiwanda. Nikiwa napokea maelekezo ya Nini cha kufanya kupitia Whatsapp ghafla mmeifungia.
Mmenipa hasara kubwa sana.
Ninyi mngeacha WhatsApp. Mtu akivunja sheria mumuadhibu.
Kiwanda gani kinaendeshwa Kwa sms za what's app ?? CHAI YA TANGAWIZI MKUU NDUGU
Na kwanini wazime mapema kiasi hiki!? Si wangesubiri baada ya uchaguzi.
Hakikisha hufanyi makosa sasaDash hii kitu inaumiza wengi basi tu...
Nna order ilibidi niwasiliane na mchina kuconfirm kesho,
na Pesa za watu mkononi,
ikiendelea wiki nitakuta mChina ananisubiri?!
Watu watanielewa?!
mbona siasa za wachache zinatuumiza hivi!!
Daah kati ya Siku nimegundua nipo kwenye Rubbish country ni leo
pole tumia emailsHakika Kitendo chenu Cha kuzima WhatsApp kimeniuzi na kuniumiza sana.
Nimepata hitilafu kwa mitambo ya kiwanda. Nikiwa napokea maelekezo ya Nini cha kufanya kupitia Whatsapp ghafla mmeifungia.
Mmenipa hasara kubwa sana.
Ninyi mngeacha WhatsApp. Mtu akivunja sheria mumuadhibu.
Mabeberu wamefanikiwa sana kuwatekaKumbe nikweli...kuliko kuzaliwa raia tz bora uwe kondoo australia utungeneze sufi watu wapate joto mabachelor apa tuko sawa
Mbona vyote hivyo ninavyo ila whatsap siipatiNenda google downloard proton VPN APK jisajili then upate huduma full, insta, youtube, Twitter in five mins.
whatsap haipatikani kabisaMbona vyote hivyo ninavyo ila whatsap siipati
Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
Ataipataje wakati internet ni shida?Tumia VPN mkuu
Kwangu whatsap iko mukide๐ ๐ ๐ ๐Hakika Kitendo chenu Cha kuzima WhatsApp kimeniuzi na kuniumiza sana.
Nimepata hitilafu kwa mitambo ya kiwanda. Nikiwa napokea maelekezo ya Nini cha kufanya kupitia Whatsapp ghafla mmeifungia.
Mmenipa hasara kubwa sana.
Ninyi mngeacha WhatsApp. Mtu akivunja sheria mumuadhibu.
Kwani ccm ndo imezima mitandao, mnakwama wapi ninyi wapinzani ambao hamjui kutofautisha kati ya CCM na taasisi za serikali.Halafu kuna wapuuzi wanasema ukaipigie CCM kura. Pathetic
unatiwer weweNasikia kuna mvua kubwa maeneo ya kilosa,ndo sababu..
unatiwer wewe
Kwenye masuala ya kijinga ndio mnakuja kutueleza kuwa ni tofauti eegh, kwenye upuuzi meeingine mnsjigamba kuwa ni serikali ya ccmKwani ccm ndo imezima mitandao, mnakwama wapi ninyi wapinzani ambao hamjui kutofautisha kati ya CCM na taasisi za serikali.
Mimi hapa Niko njiani naenda kuipigia kura CCM kwa ngazi zote
Nataka nikapate kwanza mtori na Pepsi ya baridi kisha nikachukue karatasi ya kupiga kura na niweke vema(โ) kwenye jina ya mwishoHhha punguza hasira mkuu... ushapiga kura?
Hapo ndo huwa mnakosea, eti "siasa za watu wachache". Siasa haikwepeki. Siasa ni maisha. Siasa ni kama maji, usipoyanywa utayaoga, usipoyaoga utayafulia, usipoyafulia utapigia deki na orodha inaendelea.Dash hii kitu inaumiza wengi basi tu...
Nna order ilibidi niwasiliane na mchina kuconfirm kesho,
na Pesa za watu mkononi,
ikiendelea wiki nitakuta mChina ananisubiri?!
Watu watanielewa?!
mbona siasa za wachache zinatuumiza hivi!!
Daah kati ya Siku nimegundua nipo kwenye Rubbish country ni leo