Pain killer
JF-Expert Member
- Aug 15, 2017
- 14,361
- 21,680
Sasa huwa unawasha VPN ili ufanye nin [emoji23]Wapuuzi sana hao Washenzi,yaani tusitumie VPN kisa?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sasa huwa unawasha VPN ili ufanye nin [emoji23]Wapuuzi sana hao Washenzi,yaani tusitumie VPN kisa?
Ndio maana kule viewers wanaongezeka lakin huku mtaani ukimuuliza Kila MTU anasema haangalii [emoji23]Wamefungia porn site wameona tumepata option nyingine ya VPN nayo wanachimba mikwara.
Wengine hatuwezi kupiga mgalala bila kuangalia x video
upatikanaji wa umeme
Twitter mbona mzigo upo hazarani yani oya oya bila kisimbusiThubutu yaani niache kutumia vpn halafu x ntaangalia na nini
Hizo black hapo ni black nini na nini chief
Huku ni kudhan watanzania ni mifugo.yaan tusiangalie mizagamulo
Sheria za kishenzi zilizotungwa enzi za mwendakuzimu zitatutesa sana.
Du Masikini Mange Kimavi! Ulaji wake ndo Kwishney sijui atapata wapi madolari ya Kuhudumia Life aliyoizoea for these past two Years😭😭😭.Umbeya wake kwenye App yake kwa Wazaramo Wa Tanganyika ndo basi tena kwishneyMamlaka ya Mawasiliano (TCRA) imewataka wananchi na makampuni kiujumla ambazo kwa asili ya kazi zao hawawezi kuepuka matumizi ya VPN kutoa taarifa juu ya VPN wanazotumia na taarifa muhimu kabla ya Oktoba 30 mwaka huu.
Aidha mamlaka hiyo imesema iwapo itabainika umetumia VPN kinyume na kanuni zilizowekwa basi adhabu itakayotolewa kwa kosa hilo ni faini ya shillingi milioni tano, au kifungo cha mwaka au vyote kwa pamoja.
View attachment 2781209
Hapa Mrengwa Mkubwa ni App ya Mange Kimambi😂😂! Yule dada asipokufa kwa Presha mwaka huu sijui! Na Bado yupo Honeymoon 😂😂Wamefungia porn site wameona tumepata option nyingine ya VPN nayo wanachimba mikwara.
Wengine hatuwezi kupiga mgalala bila kuangalia x video
😂😂😂Video clips za Michezo ya Matuss Boss😂😂Hizo black hapo ni black nini na nini chief
Mange appTCRA wafunge Twitter.
Pia ni uwanja wa picha na video za ngono kuliko mitandao ya ngono moja kwa moja.
Sijajua lengo la kuzuia VPN ni nini?