TCRA: Ukikutwa unatumia VPN Tanzania, faini milioni 5, kifungo mwaka mmoja

TCRA: Ukikutwa unatumia VPN Tanzania, faini milioni 5, kifungo mwaka mmoja

Haya kataa ndoa, wazee wa kujidunga hatimaye mmefikiwaaa🤣🤣🤣 Kifungo au faini🤣🤣🤣🤣🥟
sina hasara, nna mzigo wa kutosha

heeee.PNG
 
Mamlaka ya Mawasiliano (TCRA) imewataka wananchi na makampuni kiujumla ambazo kwa asili ya kazi zao hawawezi kuepuka matumizi ya VPN kutoa taarifa juu ya VPN wanazotumia na taarifa muhimu kabla ya Oktoba 30 mwaka huu.

Aidha mamlaka hiyo imesema iwapo itabainika umetumia VPN kinyume na kanuni zilizowekwa basi adhabu itakayotolewa kwa kosa hilo ni faini ya shillingi milioni tano, au kifungo cha mwaka au vyote kwa pamoja.

View attachment 2781209
Du Masikini Mange Kimavi! Ulaji wake ndo Kwishney sijui atapata wapi madolari ya Kuhudumia Life aliyoizoea for these past two Years😭😭😭.Umbeya wake kwenye App yake kwa Wazaramo Wa Tanganyika ndo basi tena kwishney
 
Wamefungia porn site wameona tumepata option nyingine ya VPN nayo wanachimba mikwara.
Wengine hatuwezi kupiga mgalala bila kuangalia x video
Hapa Mrengwa Mkubwa ni App ya Mange Kimambi😂😂! Yule dada asipokufa kwa Presha mwaka huu sijui! Na Bado yupo Honeymoon 😂😂
 
Taarifa rasmi ni kwamba.

Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA) imewataka wananchi kwa ujumla na kampuni ambazo kwa asili ya majukumu na kazi zao, matumizi ya mtandao binafsi (VPN) hayazuiliki, kutoa taarifa TCRA juu ya VPN wanazotumia na taarifa zote muhimu ikiwemo anuani ya itifaki ya mtandao kabla ya Oktoba 30, mwaka huu.

Aidha, TCRA imesema itaendelea kuchukua hatua za kiudhibiti dhidi ya matumizi ya VPN yasiyo halali ikiwemo kuzuia upatikanaji wa VPN ambazo hazijatolewa taarifa au kusajiliwa na kuongeza kuwa, yeyote atakayebainika adhabu yake ni faini isiyopungua TZS milioni 5 au kifungo cha mwaka mmoja au vyote kwa pamoja.
 
Back
Top Bottom