Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wkt unaingia mjini daslam stand uliikuta ubungo au mnazi mmoja?Inamaana ukitumia vpn hukatwi mb?
😅😅😅😅😅Yaani bongo kikubwa uzima tu
Serikali ya mama Samia ni ya hovyo sana.Mamlaka ya Mawasiliano (TCRA) imewataka wananchi na makampuni kiujumla ambazo kwa asili ya kazi zao hawawezi kuepuka matumizi ya VPN kutoa taarifa juu ya VPN wanazotumia na taarifa muhimu kabla ya Oktoba 30 mwaka huu.
Aidha mamlaka hiyo imesema iwapo itabainika umetumia VPN kinyume na kanuni zilizowekwa basi adhabu itakayotolewa kwa kosa hilo ni faini ya shillingi milioni tano, au kifungo cha mwaka au vyote kwa pamoja.
View attachment 2781209
TCRA 😂😂Kazi iko wapi mkuu nipate ajira?
Serikali ya mama Samia ni ya hovyo sana.Mamlaka ya Mawasiliano (TCRA) imewataka wananchi na makampuni kiujumla ambazo kwa asili ya kazi zao hawawezi kuepuka matumizi ya VPN kutoa taarifa juu ya VPN wanazotumia na taarifa muhimu kabla ya Oktoba 30 mwaka huu.
Aidha mamlaka hiyo imesema iwapo itabainika umetumia VPN kinyume na kanuni zilizowekwa basi adhabu itakayotolewa kwa kosa hilo ni faini ya shillingi milioni tano, au kifungo cha mwaka au vyote kwa pamoja.
View attachment 2781209
Mimi binafsi Huwa banatumia VPN ku access Baadhi ya pilau Sasa sijaelewa TCRA wanatakaje.
Kwamba ku download apple ya VPN na kupakua pirau ni kosa la jinai ama TCRA wanamaanisha nini?
Wakuu Aliyeelewa anifafanulie hususani watu wa huko TCRA ambao na hakika na wao Huwa wanaangalia pilau na mambo mengineyo.
View: https://www.instagram.com/p/CyWNNGXILY4/?igshid=MTc4MmM1YmI2Ng==
Born here hereWkt unaingia mjini daslam stand uliikuta ubungo au mnazi mmoja?
Yaani hapa tz kuna shida kubwa sana.Badala ya kushughulikia upatikanaji wa umeme busy na vitu visivyokuwa na kuchwa wala miguu kisa Mange
Serikali yako ina hofu na homa ya uchaguzi.Wapuuzi sana hao Washenzi,yaani tusitumie VPN kisa?
Mbona telegram haina tofauti na Whatsap? Kwanini ifutwe?Tweeter inapaswa ifutwe kama ndo ivo maana huko ni balaaa ikiwezekana hata telegram kama vipi