TCRA: Ukikutwa unatumia VPN Tanzania, faini milioni 5, kifungo mwaka mmoja

TCRA: Ukikutwa unatumia VPN Tanzania, faini milioni 5, kifungo mwaka mmoja

Maudhui yasiyofaa kwa mtu mwenye zaidi ya miaka 18 ni yapi?

Nchi ya ajabu , sheria za ajabu ...
 
Mamlaka ya Mawasiliano (TCRA) imewataka wananchi na makampuni kiujumla ambazo kwa asili ya kazi zao hawawezi kuepuka matumizi ya VPN kutoa taarifa juu ya VPN wanazotumia na taarifa muhimu kabla ya Oktoba 30 mwaka huu.

Aidha mamlaka hiyo imesema iwapo itabainika umetumia VPN kinyume na kanuni zilizowekwa basi adhabu itakayotolewa kwa kosa hilo ni faini ya shillingi milioni tano, au kifungo cha mwaka au vyote kwa pamoja.

View attachment 2781209
Serikali ya mama Samia ni ya hovyo sana.
 
Mamlaka ya Mawasiliano (TCRA) imewataka wananchi na makampuni kiujumla ambazo kwa asili ya kazi zao hawawezi kuepuka matumizi ya VPN kutoa taarifa juu ya VPN wanazotumia na taarifa muhimu kabla ya Oktoba 30 mwaka huu.

Aidha mamlaka hiyo imesema iwapo itabainika umetumia VPN kinyume na kanuni zilizowekwa basi adhabu itakayotolewa kwa kosa hilo ni faini ya shillingi milioni tano, au kifungo cha mwaka au vyote kwa pamoja.

View attachment 2781209
Serikali ya mama Samia ni ya hovyo sana.
 
Mimi binafsi Huwa banatumia VPN ku access Baadhi ya pilau Sasa sijaelewa TCRA wanatakaje.

Kwamba ku download apple ya VPN na kupakua pirau ni kosa la jinai ama TCRA wanamaanisha nini?

Wakuu Aliyeelewa anifafanulie hususani watu wa huko TCRA ambao na hakika na wao Huwa wanaangalia pilau na mambo mengineyo.

View: https://www.instagram.com/p/CyWNNGXILY4/?igshid=MTc4MmM1YmI2Ng==

Waliona inawezekana kwa Jpm kwanini kwao isiwezekane??

Hofu Ya Uchaguzi hii 2025
 
Yaani eti ndio think tank wenu hao wa kusukuma gurudumu la maendeleo

Unaambiwe uje na mbinu ya kukusanya hela unatunga haya seriously

Kuna mambo mengi ya kupatia mapato ila hili mmh
 
Back
Top Bottom