TCRA: Ukikutwa unatumia VPN Tanzania, faini milioni 5, kifungo mwaka mmoja

TCRA: Ukikutwa unatumia VPN Tanzania, faini milioni 5, kifungo mwaka mmoja

Nchi ya vituko.
Ukikutwa na chuma chakavu cha TRC miaka 30, ukikutwa na nyaya mita Moja ya tanesco miaka 20 jela
Ukiiba mabilioni ya umma faini millioni 5, ukiua tembo faini millioni 50 na jela au miaka 50 au kimoja wapo huku tembo wanaua watu huko kusini familia zinapewa pole ya sh. Laki Moja hadi million 1
 
Watu wakiangalia pilau kwani kuna shida gani!!

Kwani wanateseka wakiwa wapi labda???

Pilau niangalie mie, kudinda nidinde mie, KIJIBA kiwachome waoo!!!!!?????????????

TCRA pambaneni na bei za vifurushi, mtuache kabisa na pilau zetu shenzi nyie!
 
Back
Top Bottom