Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
How tupe mbinuBinafsi situmii VPN kwa ajiri ya site zinazokatazwa... mimi na tumia coz sina bandle yaan free of charge
Kama taarifa zipi mkuuWasitishe watu!... Wadhibiti kama wanaweza! Kitambulisho cha Taifa tu kimewashinda!.... Sembuse VPN!?
Wanaota!? Wanafahamu umuhimu wa VPN!?..... Kuna taarifa very classified! ....Ili uzipate ..... VPN haiepukiki....
...... kuogopa mitandao ni jambo la ajabu..Taasisi ya serikali iliyoanzishwa kwa sheria ya mamlaka ya mawasiliano kwa lengo la kusimamia sekta ya mawasiliano ya kielektroniki na posta Tanzania, wakati huohuo shirika la posta lipo karibuni kufa!
Hili jambo sio kuhusu Porn.. ni jambo la kimkakati kuelekea Uchaguzi mkuu.. wenye akili kubwa wataelewa namaanisha nini.
Sasa ikifika muda.. hili TANGAZO litaibuliwa. Na kusema kwamba Tulitangaza mwaka 2023 mapema kabisa. Muda huo CHADEMA wapo nyuma ya nondo.Mkali unaweza ukawa sahihi maana bongo hii uchaguzi ni suala nyeti sana kuliko nyeti tulizonazo. Yale yale ya Jiwe kuzima mtandao wiki mbili,, yule dingi kwenye aliko😁
Zingatia wasifu wa mtoa mada 😂😂Haya kataa ndoa, wazee wa kujidunga hatimaye mmefikiwaaa🤣🤣🤣 Kifungo au faini🤣🤣🤣🤣🥟
😂😂😂 itakuwa wamekugusa na wewe ni miongoni mwa wanufaika wa VPN...Badala ya kushughulikia upatikanaji wa umeme busy na vitu visivyokuwa na kuchwa wala miguu kisa Mange
VPN ipi by default in iPhone phone haina aja ya Ku downloadmsaada wa vpn kwa watumiaj wa iphone tafathali..
😂 mkuu ukifungua studio utauza sana
they cannot stop us....
5MWadau kwani madhara yakutumia vpn ni yap mbona kama sielewi.
Kuna komenti moja nilisema TCRA hawashughulikii malalamiko yetu, wao kazi yao ni kutukamata tu, mlidhani utani mnaona hii.Mamlaka ya Mawasiliano (TCRA) imewataka wananchi na makampuni kiujumla ambazo kwa asili ya kazi zao hawawezi kuepuka matumizi ya VPN kutoa taarifa juu ya VPN wanazotumia na taarifa muhimu kabla ya Oktoba 30 mwaka huu.
Aidha mamlaka hiyo imesema iwapo itabainika umetumia VPN kinyume na kanuni zilizowekwa basi adhabu itakayotolewa kwa kosa hilo ni faini ya shillingi milioni tano, au kifungo cha mwaka au vyote kwa pamoja.
View attachment 2781209
AKili za ujima hiziMamlaka ya Mawasiliano (TCRA) imewataka wananchi na makampuni kiujumla ambazo kwa asili ya kazi zao hawawezi kuepuka matumizi ya VPN kutoa taarifa juu ya VPN wanazotumia na taarifa muhimu kabla ya Oktoba 30 mwaka huu.
Aidha mamlaka hiyo imesema iwapo itabainika umetumia VPN kinyume na kanuni zilizowekwa basi adhabu itakayotolewa kwa kosa hilo ni faini ya shillingi milioni tano, au kifungo cha mwaka au vyote kwa pamoja.
View attachment 2781209
Mchongo wa nape huo ndo anajitahidi kila mara bos wake asipigwe mishaleBadala ya kushughulikia upatikanaji wa umeme busy na vitu visivyokuwa na kuchwa wala miguu kisa Mange