Team “Kataa ndoa” wapuuzwe, hawana maadili, ndoa iheshimiwe na watu wote

Team “Kataa ndoa” wapuuzwe, hawana maadili, ndoa iheshimiwe na watu wote

1 Corinthians 7:7-8
Ila nipendalo ni kwamba watu wote wawe kama mimi nilivyo; walakini kila mtu ana karama yake mwenyewe itokayo kwa Mungu, huyu hivi, na huyu hivi.
Lakini nawaambia wale wasiooa bado, na wajane, Ni heri wakae kama mimi nilivyo.


Chukua hiyo itakusaidia
 
Kumekuwepo na wimbi kubwa la "Vijana wa ovyo " wakiendesha kampeni yao maarufu Kama Kataa ndoa! Wengi wanaopinga ni kuonyesha kiasi gani jamii yetu inakosa maadili! Mwanaume anaogopa na hawezi kuiongoza familia ,anaishia kuandika KATAA NDOA? hebu tukumbushane!

Umewahi kuona mgombea urais asiye na mke? Kama umeshindwa kuiongoza familia yako utaongoza taifa lipi? Kila siku kuna nyuzi kibao wanawake wanatafuta kuolewa (Mpaka wanaombewa kwa Mwamposa) halafu mtu mmoja hapo sinza anatype KATAA NDOA!! STUPID

Jamii zetu mwanaume alipofikia umri wa kujitegemea alitafutiwa mke tayari kwa kuanzisha familia yake. Siyo ninyi wavaa vinjuga wa huko Sinza.Hivi mnasurvive Vipi au mnapiga punyeto wakuu??

Mwanaume uliyetimia kila idara kukataa ndoa unataka kuzaa watoto wenye maadili yapi? Mnawafokea single mama kumbe mliwarubuni?Ni sawa na kuacha kusafiri kisa magari yanapata ajali.


DINI ZINAELEZA, maagizo ya Mungu ni wanadamu wazaliane na kuongezeka, kufanikisha hilo taasisi ya ndoa iliwekwa mahsusi sasa wewe unayekataa una matatizo yapi?

OK UMEKATAA NDOA, je utaendelea kufanya ngono na kununua malaya kwenye madanguro? Hiyo ndiyo heshima?
ANGALIZO, kama unakataa ndoa kwa sababu ni padre au una matatizo ya nguvu za kiume Uzi huu haukuhusu.
DJ NILETEE MR LIVERPOOL!
Hoja yako imekosa mashiko kabisa kwa kuonekana hujui chochote.

Putin hana mke, Holande wa Ufaransa hakua na mke, Jack shiraq wa Ufaransa hakua na mke, Gordon Brown wa UK hakua na mke, Hugo Chavez hakua na mke, James Buchanan rais wa 15 wa Marekani hakua na mke, waziri mkuu wa Luxemburg hana mke ila ameolewa na mwanaume mwenzie.

Rais wa Bolivia aliepita Evo Morales hakua na mke wala mtoto. Orodha ni ndefu sana.
 
Ili uwe misogamists nilazima either uwe little boy or unakosa balance katika utimamu wa mwili na akili.
 
Kwahiyo na wewe uko kama waziri mkuu wa Luxembourg?
Hoja yako imekosa mashiko kabisa kwa kuonekana hujui chochote.

Putin hana mke, Holande wa Ufaransa hakua na mke, Jack shiraq wa Ufaransa hakua na mke, Gordon Brown wa UK hakua na mke, Hugo Chavez hakua na mke, James Buchanan rais wa 15 wa Marekani hakua na mke, waziri mkuu wa Luxemburg hana mke ila ameolewa na mwanaume mwenzie.

Rais wa Bolivia aliepita Evo Morales hakua na mke wala mtoto. Orodha ni ndefu sana.
 
1 Corinthians 7:7-8
Ila nipendalo ni kwamba watu wote wawe kama mimi nilivyo; walakini kila mtu ana karama yake mwenyewe itokayo kwa Mungu, huyu hivi, na huyu hivi.
Lakini nawaambia wale wasiooa bado, na wajane, Ni heri wakae kama mimi nilivyo.


Chukua hiyo itakusaidia
Hawa jamaa wa KATAA NDOA hawabakii bila sex kumbe hujawaelewa wanasema HIT AND RUN
 
Kumekuwepo na wimbi kubwa la "Vijana wa ovyo " wakiendesha kampeni yao maarufu Kama Kataa ndoa! Wengi wanaopinga ni kuonyesha kiasi gani jamii yetu inakosa maadili! Mwanaume anaogopa na hawezi kuiongoza familia ,anaishia kuandika KATAA NDOA? hebu tukumbushane!

Umewahi kuona mgombea urais asiye na mke? Kama umeshindwa kuiongoza familia yako utaongoza taifa lipi? Kila siku kuna nyuzi kibao wanawake wanatafuta kuolewa (Mpaka wanaombewa kwa Mwamposa) halafu mtu mmoja hapo sinza anatype KATAA NDOA!! STUPID

Jamii zetu mwanaume alipofikia umri wa kujitegemea alitafutiwa mke tayari kwa kuanzisha familia yake. Siyo ninyi wavaa vinjuga wa huko Sinza.Hivi mnasurvive Vipi au mnapiga punyeto wakuu??

Mwanaume uliyetimia kila idara kukataa ndoa unataka kuzaa watoto wenye maadili yapi? Mnawafokea single mama kumbe mliwarubuni?Ni sawa na kuacha kusafiri kisa magari yanapata ajali.


DINI ZINAELEZA, maagizo ya Mungu ni wanadamu wazaliane na kuongezeka, kufanikisha hilo taasisi ya ndoa iliwekwa mahsusi sasa wewe unayekataa una matatizo yapi?

OK UMEKATAA NDOA, je utaendelea kufanya ngono na kununua malaya kwenye madanguro? Hiyo ndiyo heshima?
ANGALIZO, kama unakataa ndoa kwa sababu ni padre au una matatizo ya nguvu za kiume Uzi huu haukuhusu.
DJ NILETEE MR LIVERPOOL!
Tatizo sio kuoa, ila baada ya kuoa !
 
Kwahiyo na wewe uko kama waziri mkuu wa Luxembourg?
Hoja yako ya kutaka uolewe kwa nguvu kulazimisha watu ambao hawataki ndoa imekosa mashiko. Unalazimisha uolewe kwa kutoa taarifa za uongo.

Njoo uwe mchepuko wangu niwe nakupiga miti taratibu taratibu. Sharti usiwe na mdomo sana mke wangu akijua nakushikisha ukuta atakuua. Niko tayari kukupangia nyumba yako peke yako ili mradi tu niwe nakufirigua usikose mume.
 
Unasema una mke kwahiyo wewe Siyo team KATAA NDOA?? matusi ya nini mfano huo umeandika mwenyewe
 
Back
Top Bottom