Team “Kataa ndoa” wapuuzwe, hawana maadili, ndoa iheshimiwe na watu wote

Team “Kataa ndoa” wapuuzwe, hawana maadili, ndoa iheshimiwe na watu wote

Mkuu sisi wala hatuna kelele tumetulia tu na misimamo yetu, sasa hawa ndugu zetu waliooa kutwakucha kufungua nyuzi kuwahusu kataa ndoa na kuleta visa vyao vinavyoonyesha jinsi ndoa zilivyo chungu na ubaya ni kwamba hawana fact zaidi ya kutuita mashoga
Hakuna anayewaita mashoga lakini mnataka mabinti zenu nao wasiolewe wawe wagawaji?? Maadili gani
 
Mkuu sisi wala hatuna kelele tumetulia tu na misimamo yetu, sasa hawa ndugu zetu waliooa kutwakucha kufungua nyuzi kuwahusu kataa ndoa na kuleta visa vyao vinavyoonyesha jinsi ndoa zilivyo chungu na ubaya ni kwamba hawana fact zaidi ya kutuita mashoga


😶😶😶 kweli mzee wanatupondea Sana nakutupa sifa za uongo.
 
Hakuna anayewaita mashoga lakini mnataka mabinti zenu nao wasiolewe wawe wagawaji?? Maadili gani
NDOA sio lazima, atakaeoa na kuolewa na afanye hivyo kwa sababu zake na asietaka pia asioe kwasababu zake. Kila mtu ashinde mechi zake
 
Nilichogua kubali ndoa ndo kataa ndoa hawa ni MTU mmoja

Akiumizwa na kusalitiwa anasema kataa ndoa

Akifumania nyavu kisaswa sawa anasema kataa ndoa ni mashoga
 
Ongea Kama baba/baba mtarajiwa kwa binti yako? Ungependa azalie nyumbani??
Akifika miaka 18 nitakua nimemwandalia maisha yake tayari , ana uhuru wa kufanya kila atakacho kipenda na hato kaa kwangu tena .
 
Nimependa tutumie familia yako maana mtoto umleavyo ndivyo akuavyo!! Je ukipata mtoto wa kike utamfundisha akatae ndoa agawe wastani kwa idadi??

Kama hauwezi basi si vyema ukafanya hivyo
Mkuu mm wazazi wangu wamefunga ndoa zaman sana na wanaishi wote hadi now zaidi ya miaka 29 now.

Haya unataka kusema nn??

Sisi hatuna shida na FAMILIA Tunasisitiza vijana wawe na Familia tupate wanachama wengi.

Tunachokataa ni NDOA, HAKUNA KUOA na Kujinyima uhuru.

Familia haihusiani na Ndoa

#KATAA NDOA
 
Mkuu mm wazazi wangu wamefunga ndoa zaman sana na wanaishi wote hadi now zaidi ya miaka 29 now.

Haya unataka kusema nn??

Sisi hatuna shida na FAMILIA Tunasisitiza vijana wawe na Familia tupate wanachama wengi.

Tunachokataa ni NDOA, HAKUNA KUOA na Kujinyima uhuru.

Familia haihusiani na Ndoa

#KATAA NDOA
Mzee wako nampa kongole sasa wewe baada ya kupata papuchi za kununua unaona huhitaji mke 😃😃😃
 
Back
Top Bottom