Girland
JF-Expert Member
- Jan 24, 2016
- 2,489
- 4,253
- Thread starter
- #141
Hakuna anayewaita mashoga lakini mnataka mabinti zenu nao wasiolewe wawe wagawaji?? Maadili ganiMkuu sisi wala hatuna kelele tumetulia tu na misimamo yetu, sasa hawa ndugu zetu waliooa kutwakucha kufungua nyuzi kuwahusu kataa ndoa na kuleta visa vyao vinavyoonyesha jinsi ndoa zilivyo chungu na ubaya ni kwamba hawana fact zaidi ya kutuita mashoga