Team “Kataa ndoa” wapuuzwe, hawana maadili, ndoa iheshimiwe na watu wote

Team “Kataa ndoa” wapuuzwe, hawana maadili, ndoa iheshimiwe na watu wote

Nimeuliza swali hilo kwa makusudi, kabla hatujafika huko tutumie familia yenu Kama case study maana waswahili wanasema mtoto wa nyoka ni nyoka!
Baba yako na mama yako wanakaa/walikaa pamoja au umelelewa na singo maza?

Mkuu unaelewa maana ya neno familia .

Familia - unaitengeneza wala haina uhusiano wa kuwa na mke wala mtoto.

Mfano Mimi sina mke wala mtoto Ila nina familia.

Familia unaitengeza ni man-made haina uhusiano na kuoa au kuolewa
 
kinachokataliwa ni ndoa tu ila wewe hata ukiweza kuwa na wanawake 10 kuwa na tu sio tatizo.

Mnatakiwa mjue kutofautisha iyo mifumo miwili. Kataa ndoa na kataa ngono ni vitu viwili tofauti kabisa
Hawana hoja mkuu kazi yao kusema kutaa ndoa ni mashoga. Sisi tunangonoka sana tu tunachopinga ni hicho kifungo NDOA
 
Nimeuliza swali hilo kwa makusudi, kabla hatujafika huko tutumie familia yenu Kama case study maana waswahili wanasema mtoto wa nyoka ni nyoka!
Baba yako na mama yako wanakaa/walikaa pamoja au umelelewa na singo maza?
Cheki huyu nae...

Familia yangu haihusiani hapa, kila mtu ana maamuzi ya kuchagua namna ya kupanga maisha yake.

Babu zetu walivaa magome, je na sisi tuvae magome?... Tutembee peku?... Tukawinde msituni?

Toa hoja kutetea upande wako kwann mtu aoe ili hali kila kitu unakipata bila kifungo (ndoa)??
 
Simo kabisa kuhamasisha vitu vya hiyari ya mtu ila mtu akinilazimisha au kuniletea mahubiri uchwara, nitapinga ndoa vikali hata kama ninapenda ndoa😁😁😁😁

Ila bado mimi sio mkubwa wa kuoa😆😆
Wasikukuze we bado mdogo kabisa😅🤣 ndo hicho nachomaanisha mtu km hutaki ndoa jitulize zako sio kuhubiri kila kona ya mtaa, ndo hapo tutajua unataka kuolewa
 
Ukute umeoa RTS = Roho mbaya, Tabia Mbaya, Sura Mbaya. Utajua hujui.......
 
Wasikukuze we bado mdogo kabisa😅🤣 ndo hicho nachomaanisha mtu km hutaki ndoa jitulize zako sio kuhubiri kila kona ya mtaa, ndo hapo tutajua unataka kuolewa
Wanatuanza wenyewe mara hatuna pesa, mwisho wa siku simu hazikauki bro ni save ka pesa kidgo wife ni mgonjwa 😆😆😆😆
 
Naaaam! u hali gani mtazamaji moja kwa moja tuko Liiiiiiiiiive bila chenga
 
Back
Top Bottom