stow away
JF-Expert Member
- Dec 5, 2022
- 11,073
- 21,945
Ukiambiwa ukweli unaona taarabu au sio kijana ?! Ukiishiwa pumzi utaanza kurusha matusiBaba gani anapigapiga taarabu kama mtoto wa kike!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ukiambiwa ukweli unaona taarabu au sio kijana ?! Ukiishiwa pumzi utaanza kurusha matusiBaba gani anapigapiga taarabu kama mtoto wa kike!
Walimwita pembeni wakamkanya wakamwambia asiyesikia la mguu huvunjika guu. Wao hawatoki hadharani wanafanya kwa vitendo.Kaka ukiacha shekhe ponda na yule padri wa ngara wengine wote waliufyata kipindi kile tuwe wakweli na makanisani akienda kusali wanampa na nafasi atoe hotuba, hawakuwahi kuhoji wala hata hii mikataba haikuwa wazi, yeye ndio alikuwa muamuzi wa mwisho na wote tulibakia kisifia au kukaa kimya
Sijakutukana ila nimesema kile ambacho nimekiona kwako. Mimi nachofahamu wewe ni binti...Ukiambiwa ukweli unaona taarabu au sio kijana ?! Ukiishiwa pumzi utaanza kurusha matusi
Haya wewe ni nakufananisha na kahaba aliepoteza uelekeo tafuta mwingine wa kurumbana nae Mimi kurumbana na mtu mwenye hulka za kimalaya Malaya sipendeleiSijakutukana ila nimesema kile ambacho nimekiona kwako. Mimi nachofahamu wewe ni binti...
Tec ndio kina nani hapa Tzn?Duru ndani ya TEC hawafurahishwi na namna Serikali ilivyokubaliana na DP Word kuhusu usimamizi wa bandari yetu/zetu.
"....Wahashamu wengi hawaungi mkono sintofahamu hiyo na huenda Katibu akaelekezwa aandae Waraka mahsusi kulisemea hilo hivi karibu."
"....nadhani baadhi ya vipengere ndani ya makubaliano yake hata wao yamewaogofya kama ilivyo kwa Watanzania wengi! Na ndiyo maana wao kulitolea tamko hilo jambo ni suala la wakati tu."
"....Mhashamu Rais nadhani bado anapitia madodoso ya safari iliyopita kule Vatican lakini kwa mjibu wa Mkurugenzi wa Miito Padre ( jina kapuni) amealikwa kesho yaani leo kwenye mkutano uhusuo mkataba ule. Nimeongea na Padre ..... hata Baba Askofu wake ameshangazwa na makubaliano yale tena akiyaita ya AJABU NA YANAYOWEZA KUKUBALIKA KWA WATU WAJINGA!"
Haya wewe ni nakufananisha na kahaba aliepoteza uelekeo tafuta mwingine wa kurumbana nae Mimi kurumbana na mtu mwenye hulka za kimalaya Malaya sipendeleiHaya wewe ni nakufananisha na kahaba aliepoteza uelekeo tafuta mwingine wa kurumbana nae Mimi kurumbana na mtu mwenye hulka za kimalaya Malaya sipendelei
Kitengo TISSTec ndio kina nani hapa Tzn?
UpuuziKitengo TISS
Kwa katiba hii inaruhusu uporaji?Hili taifa haliendeshwi kikatoliki linaendeshwa kikatiba
Ulikua haujui ?Upuuzi
Huo ni upuuzi wa kuwatisha wajingaUlikua haujui ?
Jibu swali ulikua haujui ?Huo ni upuuzi wa kuwatisha wajinga
Nilikuwa najua kwamba Kuna huo ujinga wa kutosha wajinga Toka zamani sana .Jibu swali ulikua haujui ?
Unajua ukiwa wapi Kiembe Samaki au Kisiwa Ndui ?!Nilikuwa najua kwamba Kuna huo ujinga wa kutosha wajinga Toka zamani sana .
Muulize Musukuma. Kama yeye amelipwa dola 50,000; V8 na nyumba Dubai, hao Wazanzibari unadhani watakuwa wamehongwa kiasi gani?Rasilimali gani imeuzwa? Imeuzwa shilingi ngapi?
Tupe uthibitishoMuulize Musukuma. Kama yeye amelipwa dola 50,000; V8 na nyumba Dubai, hao Wazanzibari unadhani watakuwa wamehongwa kiasi gani?
Kuna wakati unastahili kutafakari kabla ya kuandika kitu.Tupe uthibitisho
Bado kunafukuta!!!Duru ndani ya TEC hawafurahishwi na namna Serikali ilivyokubaliana na DP Word kuhusu usimamizi wa bandari yetu/zetu.
"....Wahashamu wengi hawaungi mkono sintofahamu hiyo na huenda Katibu akaelekezwa aandae Waraka mahsusi kulisemea hilo hivi karibu."
"....nadhani baadhi ya vipengere ndani ya makubaliano yake hata wao yamewaogofya kama ilivyo kwa Watanzania wengi! Na ndiyo maana wao kulitolea tamko hilo jambo ni suala la wakati tu."
"....Mhashamu Rais nadhani bado anapitia madodoso ya safari iliyopita kule Vatican lakini kwa mjibu wa Mkurugenzi wa Miito Padre ( jina kapuni) amealikwa kesho yaani leo kwenye mkutano uhusuo mkataba ule. Nimeongea na Padre ..... hata Baba Askofu wake ameshangazwa na makubaliano yale tena akiyaita ya AJABU NA YANAYOWEZA KUKUBALIKA KWA WATU WAJINGA!"
Wakithibitika walikula RUSHWA mkataba tunauvunja na kuwafurusha DP world!!!Kuna wakati unastahili kutafakari kabla ya kuandika kitu.
Rushwa huwa inatolewa kama umavyonunua shati kiasi kwamba unapata na risiti ili iwe uthibitisho. Ulaji na utoaji rushwa hufanyika kwa siri ndiyo maana huchukua muda kuchunguza na kuupata uthibitisho wa kumyia mtu hatiani.
Kule Djibouti ilichukua miaka 4 kupata uthibitisho wa DP kumpa rushwa mkuu wa bandari ili kuipa upendeleo DP dhidi ya maslahi ya Serikali. Ndipo mkuu wa bandari akatiwa korokoroni, na DP kufukuzwa.
Hata hawa waliopokea rushwa huko Dubai, kuna siku uchunguzi utatimia, na wao kuwajibishwa kadiri ya stahili yao. Uwe na subira.