Tetesi: TEC haifurahishwi na mwenendo wa Serikali kuhusu makubaliano ya bandari na DP World

Tetesi: TEC haifurahishwi na mwenendo wa Serikali kuhusu makubaliano ya bandari na DP World

Kaka ukiacha shekhe ponda na yule padri wa ngara wengine wote waliufyata kipindi kile tuwe wakweli na makanisani akienda kusali wanampa na nafasi atoe hotuba, hawakuwahi kuhoji wala hata hii mikataba haikuwa wazi, yeye ndio alikuwa muamuzi wa mwisho na wote tulibakia kisifia au kukaa kimya
Walimwita pembeni wakamkanya wakamwambia asiyesikia la mguu huvunjika guu. Wao hawatoki hadharani wanafanya kwa vitendo.
Mwambie Gwajima amtukane Pengo mara ya pili uone atakavyokimbilia uvunguni.
 
Sijakutukana ila nimesema kile ambacho nimekiona kwako. Mimi nachofahamu wewe ni binti...
Haya wewe ni nakufananisha na kahaba aliepoteza uelekeo tafuta mwingine wa kurumbana nae Mimi kurumbana na mtu mwenye hulka za kimalaya Malaya sipendelei
 
Duru ndani ya TEC hawafurahishwi na namna Serikali ilivyokubaliana na DP Word kuhusu usimamizi wa bandari yetu/zetu.

"....Wahashamu wengi hawaungi mkono sintofahamu hiyo na huenda Katibu akaelekezwa aandae Waraka mahsusi kulisemea hilo hivi karibu."

"....nadhani baadhi ya vipengere ndani ya makubaliano yake hata wao yamewaogofya kama ilivyo kwa Watanzania wengi! Na ndiyo maana wao kulitolea tamko hilo jambo ni suala la wakati tu."

"....Mhashamu Rais nadhani bado anapitia madodoso ya safari iliyopita kule Vatican lakini kwa mjibu wa Mkurugenzi wa Miito Padre ( jina kapuni) amealikwa kesho yaani leo kwenye mkutano uhusuo mkataba ule. Nimeongea na Padre ..... hata Baba Askofu wake ameshangazwa na makubaliano yale tena akiyaita ya AJABU NA YANAYOWEZA KUKUBALIKA KWA WATU WAJINGA!"
Tec ndio kina nani hapa Tzn?
 
Haya wewe ni nakufananisha na kahaba aliepoteza uelekeo tafuta mwingine wa kurumbana nae Mimi kurumbana na mtu mwenye hulka za kimalaya Malaya sipendelei
Haya wewe ni nakufananisha na kahaba aliepoteza uelekeo tafuta mwingine wa kurumbana nae Mimi kurumbana na mtu mwenye hulka za kimalaya Malaya sipendelei
 
Tupe uthibitisho
Kuna wakati unastahili kutafakari kabla ya kuandika kitu.

Rushwa huwa inatolewa kama umavyonunua shati kiasi kwamba unapata na risiti ili iwe uthibitisho. Ulaji na utoaji rushwa hufanyika kwa siri ndiyo maana huchukua muda kuchunguza na kuupata uthibitisho wa kumyia mtu hatiani.

Kule Djibouti ilichukua miaka 4 kupata uthibitisho wa DP kumpa rushwa mkuu wa bandari ili kuipa upendeleo DP dhidi ya maslahi ya Serikali. Ndipo mkuu wa bandari akatiwa korokoroni, na DP kufukuzwa.

Hata hawa waliopokea rushwa huko Dubai, kuna siku uchunguzi utatimia, na wao kuwajibishwa kadiri ya stahili yao. Uwe na subira.
 
Duru ndani ya TEC hawafurahishwi na namna Serikali ilivyokubaliana na DP Word kuhusu usimamizi wa bandari yetu/zetu.

"....Wahashamu wengi hawaungi mkono sintofahamu hiyo na huenda Katibu akaelekezwa aandae Waraka mahsusi kulisemea hilo hivi karibu."

"....nadhani baadhi ya vipengere ndani ya makubaliano yake hata wao yamewaogofya kama ilivyo kwa Watanzania wengi! Na ndiyo maana wao kulitolea tamko hilo jambo ni suala la wakati tu."

"....Mhashamu Rais nadhani bado anapitia madodoso ya safari iliyopita kule Vatican lakini kwa mjibu wa Mkurugenzi wa Miito Padre ( jina kapuni) amealikwa kesho yaani leo kwenye mkutano uhusuo mkataba ule. Nimeongea na Padre ..... hata Baba Askofu wake ameshangazwa na makubaliano yale tena akiyaita ya AJABU NA YANAYOWEZA KUKUBALIKA KWA WATU WAJINGA!"
Bado kunafukuta!!!

Karibuni TEC.
 
Kuna wakati unastahili kutafakari kabla ya kuandika kitu.

Rushwa huwa inatolewa kama umavyonunua shati kiasi kwamba unapata na risiti ili iwe uthibitisho. Ulaji na utoaji rushwa hufanyika kwa siri ndiyo maana huchukua muda kuchunguza na kuupata uthibitisho wa kumyia mtu hatiani.

Kule Djibouti ilichukua miaka 4 kupata uthibitisho wa DP kumpa rushwa mkuu wa bandari ili kuipa upendeleo DP dhidi ya maslahi ya Serikali. Ndipo mkuu wa bandari akatiwa korokoroni, na DP kufukuzwa.

Hata hawa waliopokea rushwa huko Dubai, kuna siku uchunguzi utatimia, na wao kuwajibishwa kadiri ya stahili yao. Uwe na subira.
Wakithibitika walikula RUSHWA mkataba tunauvunja na kuwafurusha DP world!!!
 
Back
Top Bottom