Tetesi: TEC haifurahishwi na mwenendo wa Serikali kuhusu makubaliano ya bandari na DP World

Tetesi: TEC haifurahishwi na mwenendo wa Serikali kuhusu makubaliano ya bandari na DP World

Katiba inaruhusu uhuru wa maoni. Kwa nini unaona si sawa wakatumia Uhuru wao?!
Haya maoni mnayatoa akiwa rais muislam tu alivyokuwa mgalatia mwenzenu mlishindana kumsifia
 
Mi nachokaga hapo tu, sikuwahi kuwasikia awamu ile ila sasahivi hadi pini ikidondoka watatoa waraka hawa jamaa ni wanafki sijapata kuona
Unajitoa ufahamu tu. Aliyetoa waraka wa Pasaka ulikuwa wewe? Waache watoe maoni yao kwani ni haki yao. Wewe unaumia nini? Ni watanzania hao ujue.
 
Duru ndani ya TEC hawafurahishwi na namna Serikali ilivyokubaliana na DP Word kuhusu usimamizi wa bandari yetu/zetu.

"....Wahashamu wengi hawaungi mkono sintofahamu hiyo na huenda Katibu akaelekezwa aandae Waraka mahsusi kulisemea hilo hivi karibu."

"....nadhani baadhi ya vipengere ndani ya makubaliano yake hata wao yamewaogofya kama ilivyo kwa Watanzania wengi! Na ndiyo maana wao kulitolea tamko hilo jambo ni suala la wakati tu."

"....Mhashamu Rais nadhani bado anapitia madodoso ya safari iliyopita kule Vatican lakini kwa mjibu wa Mkurugenzi wa Miito Padre ( jina kapuni) amealikwa kesho yaani leo kwenye mkutano uhusuo mkataba ule. Nimeongea na Padre ..... hata Baba Askofu wake ameshangazwa na makubaliano yale tena akiyaita ya AJABU NA YANAYOWEZA KUKUBALIKA KWA WATU WAJINGA!"
Naunga mkono hoja za mababa Maaskofu. Huu Mkataba ni uhuni
 
Tena hao TEC wamechelewa sana kuja na hilo tamko, hawatakiwi kuona bandari inagaiwa bure kwa wajomba halafu wakae kimya, wasishiriki hii dhambi, wala wasiogope mawazo ya wajinga wanaofikiria kwa vichwa vya dini.
 
Unajitoa ufahamu tu. Aliyetoa waraka wa Pasaka ulikuwa wewe? Waache watoe maoni yao kwani ni haki yao. Wewe unaumia nini? Ni watanzania hao ujue.
Mkuu hatuumii wao kutoa matamko ila hayo matamko yanapotolewa kibaguzi hapo ndio tunapoyapuuza
 
Duru ndani ya TEC hawafurahishwi na namna Serikali ilivyokubaliana na DP Word kuhusu usimamizi wa bandari yetu/zetu.

"....Wahashamu wengi hawaungi mkono sintofahamu hiyo na huenda Katibu akaelekezwa aandae Waraka mahsusi kulisemea hilo hivi karibu."

"....nadhani baadhi ya vipengere ndani ya makubaliano yake hata wao yamewaogofya kama ilivyo kwa Watanzania wengi! Na ndiyo maana wao kulitolea tamko hilo jambo ni suala la wakati tu."

".....zoezi la kuwahoji mawakala wao Serikalini unaendelea ili wajiridhishe kabla ya kutoa tamko."

"....Mhashamu Rais nadhani bado anapitia madodoso ya safari iliyopita kule Vatican lakini kwa mjibu wa Mkurugenzi wa Miito Padre ( jina kapuni) amealikwa kesho yaani leo kwenye mkutano uhusuo mkataba ule. Nimeongea na Padre ..... hata Baba Askofu wake ameshangazwa na makubaliano yale tena akiyaita ya AJABU NA YANAYOWEZA KUKUBALIKA KWA WATU WAJINGA!"
Hii nchi ni ya kikatoliki kabla haijawa ya kiislamu 😀
 
Duru ndani ya TEC hawafurahishwi na namna Serikali ilivyokubaliana na DP Word kuhusu usimamizi wa bandari yetu/zetu.

"....Wahashamu wengi hawaungi mkono sintofahamu hiyo na huenda Katibu akaelekezwa aandae Waraka mahsusi kulisemea hilo hivi karibu."

"....nadhani baadhi ya vipengere ndani ya makubaliano yake hata wao yamewaogofya kama ilivyo kwa Watanzania wengi! Na ndiyo maana wao kulitolea tamko hilo jambo ni suala la wakati tu."

".....zoezi la kuwahoji mawakala wao Serikalini unaendelea ili wajiridhishe kabla ya kutoa tamko."

"....Mhashamu Rais nadhani bado anapitia madodoso ya safari iliyopita kule Vatican lakini kwa mjibu wa Mkurugenzi wa Miito Padre ( jina kapuni) amealikwa kesho yaani leo kwenye mkutano uhusuo mkataba ule. Nimeongea na Padre ..... hata Baba Askofu wake ameshangazwa na makubaliano yale tena akiyaita ya AJABU NA YANAYOWEZA KUKUBALIKA KWA WATU WAJINGA!"
Sio tetesi tena. Wameshatamka.
 
Back
Top Bottom