exaud morrey
JF-Expert Member
- May 22, 2017
- 1,024
- 977
Elu hainanguvu mbele yamamlakaNdio tayari Bandari ishauzwa Ila wale wazee wa TEC ni vichwa Wana elimu kubwa kuliko darasa la 7 waliojaa bungeni
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Elu hainanguvu mbele yamamlakaNdio tayari Bandari ishauzwa Ila wale wazee wa TEC ni vichwa Wana elimu kubwa kuliko darasa la 7 waliojaa bungeni
Haya maoni mnayatoa akiwa rais muislam tu alivyokuwa mgalatia mwenzenu mlishindana kumsifiaKatiba inaruhusu uhuru wa maoni. Kwa nini unaona si sawa wakatumia Uhuru wao?!
Utapata stress bure wewe. Kuwa viongozi wa dini hakuwaondolei haki ya utanzania wao wa kutoa maoni au hisia. Huwapendi saga chupa unywe maana utaendelea kuishi nao.Hao ni wapumbavu na wajinga kenge hao wanataka vatican na yule kiongozi wao supporter wa ushoga ndio waje kuichukua bandari?
Unajitoa ufahamu tu. Aliyetoa waraka wa Pasaka ulikuwa wewe? Waache watoe maoni yao kwani ni haki yao. Wewe unaumia nini? Ni watanzania hao ujue.Mi nachokaga hapo tu, sikuwahi kuwasikia awamu ile ila sasahivi hadi pini ikidondoka watatoa waraka hawa jamaa ni wanafki sijapata kuona
Naunga mkono hoja za mababa Maaskofu. Huu Mkataba ni uhuniDuru ndani ya TEC hawafurahishwi na namna Serikali ilivyokubaliana na DP Word kuhusu usimamizi wa bandari yetu/zetu.
"....Wahashamu wengi hawaungi mkono sintofahamu hiyo na huenda Katibu akaelekezwa aandae Waraka mahsusi kulisemea hilo hivi karibu."
"....nadhani baadhi ya vipengere ndani ya makubaliano yake hata wao yamewaogofya kama ilivyo kwa Watanzania wengi! Na ndiyo maana wao kulitolea tamko hilo jambo ni suala la wakati tu."
"....Mhashamu Rais nadhani bado anapitia madodoso ya safari iliyopita kule Vatican lakini kwa mjibu wa Mkurugenzi wa Miito Padre ( jina kapuni) amealikwa kesho yaani leo kwenye mkutano uhusuo mkataba ule. Nimeongea na Padre ..... hata Baba Askofu wake ameshangazwa na makubaliano yale tena akiyaita ya AJABU NA YANAYOWEZA KUKUBALIKA KWA WATU WAJINGA!"
Mkuu hatuumii wao kutoa matamko ila hayo matamko yanapotolewa kibaguzi hapo ndio tunapoyapuuzaUnajitoa ufahamu tu. Aliyetoa waraka wa Pasaka ulikuwa wewe? Waache watoe maoni yao kwani ni haki yao. Wewe unaumia nini? Ni watanzania hao ujue.
Shida akili zako ziko kwenye udini!Haya maoni mnayatoa akiwa rais muislam tu alivyokuwa mgalatia mwenzenu mlishindana kumsifia
Hapana, huo ndio ukweliShida akili zako ziko kwenye udini!
.Hili taifa haliendeshwi kikatoliki linaendeshwa kikatiba
U hali gani?!Hili taifa haliendeshwi kikatoliki linaendeshwa kikatiba
Hii nchi ni ya kikatoliki kabla haijawa ya kiislamu 😀Duru ndani ya TEC hawafurahishwi na namna Serikali ilivyokubaliana na DP Word kuhusu usimamizi wa bandari yetu/zetu.
"....Wahashamu wengi hawaungi mkono sintofahamu hiyo na huenda Katibu akaelekezwa aandae Waraka mahsusi kulisemea hilo hivi karibu."
"....nadhani baadhi ya vipengere ndani ya makubaliano yake hata wao yamewaogofya kama ilivyo kwa Watanzania wengi! Na ndiyo maana wao kulitolea tamko hilo jambo ni suala la wakati tu."
".....zoezi la kuwahoji mawakala wao Serikalini unaendelea ili wajiridhishe kabla ya kutoa tamko."
"....Mhashamu Rais nadhani bado anapitia madodoso ya safari iliyopita kule Vatican lakini kwa mjibu wa Mkurugenzi wa Miito Padre ( jina kapuni) amealikwa kesho yaani leo kwenye mkutano uhusuo mkataba ule. Nimeongea na Padre ..... hata Baba Askofu wake ameshangazwa na makubaliano yale tena akiyaita ya AJABU NA YANAYOWEZA KUKUBALIKA KWA WATU WAJINGA!"
Sio tetesi tena. Wameshatamka.Duru ndani ya TEC hawafurahishwi na namna Serikali ilivyokubaliana na DP Word kuhusu usimamizi wa bandari yetu/zetu.
"....Wahashamu wengi hawaungi mkono sintofahamu hiyo na huenda Katibu akaelekezwa aandae Waraka mahsusi kulisemea hilo hivi karibu."
"....nadhani baadhi ya vipengere ndani ya makubaliano yake hata wao yamewaogofya kama ilivyo kwa Watanzania wengi! Na ndiyo maana wao kulitolea tamko hilo jambo ni suala la wakati tu."
".....zoezi la kuwahoji mawakala wao Serikalini unaendelea ili wajiridhishe kabla ya kutoa tamko."
"....Mhashamu Rais nadhani bado anapitia madodoso ya safari iliyopita kule Vatican lakini kwa mjibu wa Mkurugenzi wa Miito Padre ( jina kapuni) amealikwa kesho yaani leo kwenye mkutano uhusuo mkataba ule. Nimeongea na Padre ..... hata Baba Askofu wake ameshangazwa na makubaliano yale tena akiyaita ya AJABU NA YANAYOWEZA KUKUBALIKA KWA WATU WAJINGA!"
Andiko la mwezi June.Sio tetesi tena. Wameshatamka.
Itoshe kusema wewe ni mbwa!Hili taifa haliendeshwi kikatoliki linaendeshwa kikatiba