Technically Uongozi wa Yanga SC kama ungekuwa na Akili na ili kuleta Utulivu na Amani ya Mchezo wangefanya hili haraka lingesaidia ila hawajalifanya

Technically Uongozi wa Yanga SC kama ungekuwa na Akili na ili kuleta Utulivu na Amani ya Mchezo wangefanya hili haraka lingesaidia ila hawajalifanya

Idiot katika hii barua ya Yanga SC unaona mahala popote pale wamekemea vikali Kitendo kilichofanywa na Makomandoo wao jana?
Kuna yeyote anayeonekana kuwa mwajiriwa au mhusika wa moja kwa moja na Yanga? Tafuta video uangalie vizuri popoma wewe! Wale ni askari wa kawaida na walinzi wa uwanja. Yanga haihusiki
 
Technically, mwenye wajibu wa kujibu madai ya Simba ni management ya uwanja na sio Yanga. Jukumu la Yanga ni kupeleka timu uwanjani.
 
Idiot katika hii barua ya Yanga SC unaona mahala popote pale wamekemea vikali Kitendo kilichofanywa na Makomandoo wao jana?
wakemee kitu gani mkuu?

Ikiwa Simba ilishafanya mazoezi al hamisi jana waneenda kutafuta nini taifa?

Pili,Kuzuiwa na Hao waliowazuia wanasababu,je kuna taarifa yoyote waliitoa kwa wenyeji wao?

Uchawi tu
 
Tukiwaambia kuwa nyimwa vitu vyote na Mwenyezi Mungu ila siyo Akili na uwezo wa kuona mbali mambo na kuyakabili haraka mnakuwa wagumu Kuelewa. Ni kwamba kama kuna Kosa la Kiufundi ambayo Uongozi wa Yanga SC na hasa Kurugenzi yao ya Mawasiliano na Habari imefanya ni Kukaa kimya kwa kutokutoa Tamko lolote lile Kali la Kulaani kile Kitendo cha Kipuuzi na ambacho siyo cha Kiunamichezo ambacho Simba SC imefanyiwa na Makomandoo wa Yanga SC tena wanaojulikana huku pia baadhi ya hata Viongozi wao Waandamizi na wa Matawi wakiwepo.

Kwa kitendo tu cha Yanga SC kuchelewa kutoka Tamko lolote kuanzia ile Jana hadi muda huu GENTAMYCINE naandika huu Uzi ni kwamba automatically Yanga SC kwa 100% wamebariki / walibariki lile Tukio. Hili wala halihitakji sijui kuwa na Certificate au Advance Diploma au Bachelor Degree au Masters Degree au Doctorate (PhD) kulijua.

Msemaji wa Yanga SC huko Chuo Kikuu ulikosomea Mass Communication yako ulisoma kitu kiitwacho Situational Analysis and how to make a Counter in any Information or Event katika kuleta public harmony? Na ndiyo Kutwa huwa nawaambia hapa hapa JamiiForums kuwa hakuna Chuo Kikuu bora Afrika Mashariki na Kati chenye kutoa / kututoa Geniuses wa Mass Communication kama SAUT Mwanza ambapo hata Rafiki yangu na mwana Yanga SC lia lia hapa JamiiForums Mwalimu wa tuisheni nae alisomea Elimu (BAED) yake akiwa na Mheshimiwa John Heche hamkubali na hamuamini.
,
 
Tukiwaambia kuwa nyimwa vitu vyote na Mwenyezi Mungu ila siyo Akili na uwezo wa kuona mbali mambo na kuyakabili haraka mnakuwa wagumu Kuelewa. Ni kwamba kama kuna Kosa la Kiufundi ambayo Uongozi wa Yanga SC na hasa Kurugenzi yao ya Mawasiliano na Habari imefanya ni Kukaa kimya kwa kutokutoa Tamko lolote lile Kali la Kulaani kile Kitendo cha Kipuuzi na ambacho siyo cha Kiunamichezo ambacho Simba SC imefanyiwa na Makomandoo wa Yanga SC tena wanaojulikana huku pia baadhi ya hata Viongozi wao Waandamizi na wa Matawi wakiwepo.

Kwa kitendo tu cha Yanga SC kuchelewa kutoka Tamko lolote kuanzia ile Jana hadi muda huu GENTAMYCINE naandika huu Uzi ni kwamba automatically Yanga SC kwa 100% wamebariki / walibariki lile Tukio. Hili wala halihitakji sijui kuwa na Certificate au Advance Diploma au Bachelor Degree au Masters Degree au Doctorate (PhD) kulijua.

Msemaji wa Yanga SC huko Chuo Kikuu ulikosomea Mass Communication yako ulisoma kitu kiitwacho Situational Analysis and how to make a Counter in any Information or Event katika kuleta public harmony? Na ndiyo Kutwa huwa nawaambia hapa hapa JamiiForums kuwa hakuna Chuo Kikuu bora Afrika Mashariki na Kati chenye kutoa / kututoa Geniuses wa Mass Communication kama SAUT Mwanza ambapo hata Rafiki yangu na mwana Yanga SC lia lia hapa JamiiForums Mwalimu wa tuisheni nae alisomea Elimu (BAED) yake akiwa na Mheshimiwa John Heche hamkubali na hamuamini.
yanga wana calculated moves,tena kwa akili nyingi sana
 
Back
Top Bottom