secretarybird
JF-Expert Member
- Aug 22, 2024
- 2,998
- 4,948
Kumanyoko.Mbona unajipa Sana umuhimu kwenye mpira huu , wewe ni nani unayedhani una akili kuizidi taasisi ya Yanga?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kumanyoko.Mbona unajipa Sana umuhimu kwenye mpira huu , wewe ni nani unayedhani una akili kuizidi taasisi ya Yanga?
Ndiyo mwana Familia wangu wa SAUT Mwanza na hata pia Mechi iliyofuata nilitabiri na Matokeo kuja vile vile. Fuatili tu JF.Asante sana Mkuu!
Je ni wewe ndiwe, uliyetabiri Ile draw mechi ya Simba na Fountain Gate?
Safi sana Mkuu kwa Dozi murua na ya Kishalubela uliyompa.Kumanyoko.
Kuna yeyote anayeonekana kuwa mwajiriwa au mhusika wa moja kwa moja na Yanga? Tafuta video uangalie vizuri popoma wewe! Wale ni askari wa kawaida na walinzi wa uwanja. Yanga haihusikiIdiot katika hii barua ya Yanga SC unaona mahala popote pale wamekemea vikali Kitendo kilichofanywa na Makomandoo wao jana?
Kwa hili Niko tayari ni baniwe mkuu.Safi sana Mkuu kwa Dozi murua na ya Kishalubela uliyompa.
Safi sana na wala hutokula Umeme.Kwa hili Niko tayari ni baniwe mkuu.
Upuuzi siuchekei.
Majitu mingine sijui inatumia visigiono kufikiria!Safi sana na wala hutokula Umeme.
Nimekutafuta sana ... Nimekupata basi nimefarijika sana mkuu!Ndiyo mwana Familia wangu wa SAUT Mwanza na hata pia Mechi iliyofuata nilitabiri na Matokeo kuja vile vile. Fuatili tu JF.
DuhKumanyoko.
Kumbuka hilo siyo tusi.
Mod wamlipe.Mkuu unaandika kwa utulivu sana, ukisoma hupati tu taarifa Bali na Maarifa.
Hongera sana Mkuu
wakemee kitu gani mkuu?Idiot katika hii barua ya Yanga SC unaona mahala popote pale wamekemea vikali Kitendo kilichofanywa na Makomandoo wao jana?
,Tukiwaambia kuwa nyimwa vitu vyote na Mwenyezi Mungu ila siyo Akili na uwezo wa kuona mbali mambo na kuyakabili haraka mnakuwa wagumu Kuelewa. Ni kwamba kama kuna Kosa la Kiufundi ambayo Uongozi wa Yanga SC na hasa Kurugenzi yao ya Mawasiliano na Habari imefanya ni Kukaa kimya kwa kutokutoa Tamko lolote lile Kali la Kulaani kile Kitendo cha Kipuuzi na ambacho siyo cha Kiunamichezo ambacho Simba SC imefanyiwa na Makomandoo wa Yanga SC tena wanaojulikana huku pia baadhi ya hata Viongozi wao Waandamizi na wa Matawi wakiwepo.
Kwa kitendo tu cha Yanga SC kuchelewa kutoka Tamko lolote kuanzia ile Jana hadi muda huu GENTAMYCINE naandika huu Uzi ni kwamba automatically Yanga SC kwa 100% wamebariki / walibariki lile Tukio. Hili wala halihitakji sijui kuwa na Certificate au Advance Diploma au Bachelor Degree au Masters Degree au Doctorate (PhD) kulijua.
Msemaji wa Yanga SC huko Chuo Kikuu ulikosomea Mass Communication yako ulisoma kitu kiitwacho Situational Analysis and how to make a Counter in any Information or Event katika kuleta public harmony? Na ndiyo Kutwa huwa nawaambia hapa hapa JamiiForums kuwa hakuna Chuo Kikuu bora Afrika Mashariki na Kati chenye kutoa / kututoa Geniuses wa Mass Communication kama SAUT Mwanza ambapo hata Rafiki yangu na mwana Yanga SC lia lia hapa JamiiForums Mwalimu wa tuisheni nae alisomea Elimu (BAED) yake akiwa na Mheshimiwa John Heche hamkubali na hamuamini.
UKOKONOAJI upo palepale.Taarifa ilishatoka mapema popoma wewe! Ulitaka club ikae kimya ipoteze mapato ya mchezo kisa imani zenu za kishirikina?
View attachment 3263361
ila GENTAMYCINE kuna muda akili yako iko sawa na kuna muda dish linayumbaThank you our own JF beloved CERTIFIED IMBECILE.
yanga wana calculated moves,tena kwa akili nyingi sanaTukiwaambia kuwa nyimwa vitu vyote na Mwenyezi Mungu ila siyo Akili na uwezo wa kuona mbali mambo na kuyakabili haraka mnakuwa wagumu Kuelewa. Ni kwamba kama kuna Kosa la Kiufundi ambayo Uongozi wa Yanga SC na hasa Kurugenzi yao ya Mawasiliano na Habari imefanya ni Kukaa kimya kwa kutokutoa Tamko lolote lile Kali la Kulaani kile Kitendo cha Kipuuzi na ambacho siyo cha Kiunamichezo ambacho Simba SC imefanyiwa na Makomandoo wa Yanga SC tena wanaojulikana huku pia baadhi ya hata Viongozi wao Waandamizi na wa Matawi wakiwepo.
Kwa kitendo tu cha Yanga SC kuchelewa kutoka Tamko lolote kuanzia ile Jana hadi muda huu GENTAMYCINE naandika huu Uzi ni kwamba automatically Yanga SC kwa 100% wamebariki / walibariki lile Tukio. Hili wala halihitakji sijui kuwa na Certificate au Advance Diploma au Bachelor Degree au Masters Degree au Doctorate (PhD) kulijua.
Msemaji wa Yanga SC huko Chuo Kikuu ulikosomea Mass Communication yako ulisoma kitu kiitwacho Situational Analysis and how to make a Counter in any Information or Event katika kuleta public harmony? Na ndiyo Kutwa huwa nawaambia hapa hapa JamiiForums kuwa hakuna Chuo Kikuu bora Afrika Mashariki na Kati chenye kutoa / kututoa Geniuses wa Mass Communication kama SAUT Mwanza ambapo hata Rafiki yangu na mwana Yanga SC lia lia hapa JamiiForums Mwalimu wa tuisheni nae alisomea Elimu (BAED) yake akiwa na Mheshimiwa John Heche hamkubali na hamuamini.
Kwani wewe hujui pale mwenye akili ni Mzee Manara na JK?Mbona unajipa Sana umuhimu kwenye mpira huu , wewe ni nani unayedhani una akili kuizidi taasisi ya Yanga?