Tukiwaambia kuwa nyimwa vitu vyote na Mwenyezi Mungu ila siyo Akili na uwezo wa kuona mbali mambo na kuyakabili haraka mnakuwa wagumu Kuelewa. Ni kwamba kama kuna Kosa la Kiufundi ambayo Uongozi wa Yanga SC na hasa Kurugenzi yao ya Mawasiliano na Habari imefanya ni Kukaa kimya kwa kutokutoa Tamko lolote lile Kali la Kulaani kile Kitendo cha Kipuuzi na ambacho siyo cha Kiunamichezo ambacho Simba SC imefanyiwa na Makomandoo wa Yanga SC tena wanaojulikana huku pia baadhi ya hata Viongozi wao Waandamizi na wa Matawi wakiwepo.
Kwa kitendo tu cha Yanga SC kuchelewa kutoka Tamko lolote kuanzia ile Jana hadi muda huu GENTAMYCINE naandika huu Uzi ni kwamba automatically Yanga SC kwa 100% wamebariki / walibariki lile Tukio. Hili wala halihitakji sijui kuwa na Certificate au Advance Diploma au Bachelor Degree au Masters Degree au Doctorate (PhD) kulijua.
Msemaji wa Yanga SC huko Chuo Kikuu ulikosomea Mass Communication yako ulisoma kitu kiitwacho Situational Analysis and how to make a Counter in any Information or Event katika kuleta public harmony? Na ndiyo Kutwa huwa nawaambia hapa hapa JamiiForums kuwa hakuna Chuo Kikuu bora Afrika Mashariki na Kati chenye kutoa / kututoa Geniuses wa Mass Communication kama SAUT Mwanza ambapo hata Rafiki yangu na mwana Yanga SC lia lia hapa JamiiForums
Mwalimu wa tuisheni nae alisomea Elimu (BAED) yake akiwa na Mheshimiwa John Heche hamkubali na hamuamini.