Technically Uongozi wa Yanga SC kama ungekuwa na Akili na ili kuleta Utulivu na Amani ya Mchezo wangefanya hili haraka lingesaidia ila hawajalifanya

Technically Uongozi wa Yanga SC kama ungekuwa na Akili na ili kuleta Utulivu na Amani ya Mchezo wangefanya hili haraka lingesaidia ila hawajalifanya

Tukiwaambia kuwa nyimwa vitu vyote na Mwenyezi Mungu ila siyo Akili na uwezo wa kuona mbali mambo na kuyakabili haraka mnakuwa wagumu Kuelewa. Ni kwamba kama kuna Kosa la Kiufundi ambayo Uongozi wa Yanga SC na hasa Kurugenzi yao ya Mawasiliano na Habari imefanya ni Kukaa kimya kwa kutokutoa Tamko lolote lile Kali la Kulaani kile Kitendo cha Kipuuzi na ambacho siyo cha Kiunamichezo ambacho Simba SC imefanyiwa na Makomandoo wa Yanga SC tena wanaojulikana huku pia baadhi ya hata Viongozi wao Waandamizi na wa Matawi wakiwepo.

Kwa kitendo tu cha Yanga SC kuchelewa kutoka Tamko lolote kuanzia ile Jana hadi muda huu GENTAMYCINE naandika huu Uzi ni kwamba automatically Yanga SC kwa 100% wamebariki / walibariki lile Tukio. Hili wala halihitakji sijui kuwa na Certificate au Advance Diploma au Bachelor Degree au Masters Degree au Doctorate (PhD) kulijua.

Msemaji wa Yanga SC huko Chuo Kikuu ulikosomea Mass Communication yako ulisoma kitu kiitwacho Situational Analysis and how to make a Counter in any Information or Event katika kuleta public harmony? Na ndiyo Kutwa huwa nawaambia hapa hapa JamiiForums kuwa hakuna Chuo Kikuu bora Afrika Mashariki na Kati chenye kutoa / kututoa Geniuses wa Mass Communication kama SAUT Mwanza ambapo hata Rafiki yangu na mwana Yanga SC lia lia hapa JamiiForums Mwalimu wa tuisheni nae alisomea Elimu (BAED) yake akiwa na Mheshimiwa John Heche hamkubali na hamuamini.
uongoz wa Yanga ni moja kati ya Uongoz mbovu kuwahi kutokea , watu wao walipiga mashabiki ila uongoz ulikaa kimya , nahisi uarabu wao ndo shida
 
kwa barua hii itoshe Yanga kuwapa adhabu maana hawaoni kosa la watu , na wanasimama na watu wao waliofanya fujo

TTZO NI TFF
Sawa, tupo tayari kwa faini na adhabu. Ila hayo yote yafanyike baada ya mchezo kwa mujibu wa kanuni na sheria timu isipokuja uwanjani itakatwa alama na kupigwa faini.Simba inyang'anywe alama.
 
Bado haileti uhalali wa simba kutokucheza hii mechi.
 
Yanga hastaili kuomba radhi kwa yoyote kwakua kabla Simba hajafika kufanya mazoezi ilitakiwa watoe taarifa kwa mwenyeji wa mechi, Meneja wa uwanja n.k

Simba hawakumtaarifu yoyote na wamekuja uwanjani na watu wengine wasio tambulika.
Walikua na haki ya kuzuiliwa.
 
Back
Top Bottom