zous
JF-Expert Member
- Sep 25, 2017
- 3,152
- 5,854
Uliona kilichotokea au ulikua umefumba macho ukisali ?Hapo iran kapapaswa tu hajapigwa ni bora aombe amani tu kabla hajapokea kipigo kikiubwa cha mbwa koko. Cha msingi ni kuacha kusaidia vikundi vya kipalestina kuishambulia israel maisha yaendelee. Haya majibizano si mazuri israel haitakubali ishindwe inataka amani