TEHRAN: iran imesema Wanajeshi wake wawili wameuawa baada ya mashambulizi ya Israel kwenye kambi za jeshi Tehran.

TEHRAN: iran imesema Wanajeshi wake wawili wameuawa baada ya mashambulizi ya Israel kwenye kambi za jeshi Tehran.

Hapo iran kapapaswa tu hajapigwa ni bora aombe amani tu kabla hajapokea kipigo kikiubwa cha mbwa koko. Cha msingi ni kuacha kusaidia vikundi vya kipalestina kuishambulia israel maisha yaendelee. Haya majibizano si mazuri israel haitakubali ishindwe inataka amani
Uliona kilichotokea au ulikua umefumba macho ukisali ?
 
Nyie kondoo mnaofunga macho mkisali hivi hata kwenye habari kuna nyingine mnafungia macho au mnapenda ubishani tuh
 
Kumbuka JIKO la nuklia liko chini ya ardhi, wa iran wamemtumia putin kumuonya Iran asijaribu kukukigonga.

Kama kipo chini si wangetulia tu. Nasrallah alikuwa mita 40 chini, karibu nusu ya uwanja wa mpira, sasa tunasubiri ndege za iran na zile alizopewa na mrusi ziruke kupiga Tel Aviv. Mko kiushabiki sana tusubiri hizo ndege za ma ayatolla.
putin hawezi kujiingiza kwa maayatollah kuwasaidia zana wakati naye ana mziki mnene anachezeshwa na ukraine. Akiwasaidia tu marekani na washirika wake hawatakaa kimya kuiacha israeli iangamie. Iran ikubali tu kuacha kujibishana na israel itapata mapigo ya ajabu
 
Israel Miaka yote alikuwa ameamua kuwa mpole huku Irani ikijaza Silaha, Gaza, Lebanon na West bank.

Sasa Israel imeamua Kula roho za Hawa magaidi kila walipo.

Gaza now, itaundwa na kupangwa upya na checkpoints kama za West bank, hakuna Watu kurundikana

Hezbollah watarudi nyuma na wakileta kibuli Israel itaexpand Lebanon yote.

Sryria wameitaka Iran kupunguza vikundi vyake na ushawishi, ikibisha Israel atagawa Silaha za Hezbollah kwa waasi


Iran Ayatollah yuko kwenye radar
Kuna slogan moja ya Israel inasema "From river to the Sea", na nyingine inaitwa "Hannibal protocol " unazifahamu?.
Inashangaza kunambia eti Israel haikua na ufahamu wa shambulio la Oct 7, Haifahamu mateka wako wapi ila inafahamu Viongozi wa Hezbollah na Hamas walipo, really 😂😂
 
putin hawezi kujiingiza kwa maayatollah kuwasaidia zana wakati naye ana mziki mnene anachezeshwa na ukraine. Akiwasaidia tu marekani na washirika wake hawatakaa kimya kuiacha israeli iangamie. Iran ikubali tu kuacha kujibishana na israel itapata mapigo ya ajabu
Unachekesha kweli na huu ujuaji uchwara wako toka Facebook. Wakati wa vita vya Russia na Ukraine, Iran alisaidia kusupply Drones na vifaa vingine kwa Russia ambavyo vinaendelea kutumika mpaka sasa. Iran alipotaka kulipiza kisasi kwa Israel, Russia alikuwa nyuma yake na mpaka sasa. Wake up man!
 
Unachekesha kweli na huu ujuaji uchwara wako toka Facebook. Wakati wa vita vya Russia na Ukraine, Iran alisaidia kusupply Drones na vifaa vingine kwa Russia ambavyo vinaendelea kutumika mpaka sasa. Iran alipotaka kulipiza kisasi kwa Israel, Russia alikuwa nyuma yake na mpaka sasa. Wake up man!
kwa hiyo urusi ndiyo anajibishana na israel, basi acha marekani na washirika wake nao waingie mnyukanoni kuinyuka urusi kwenye huo uwanja wa vita
 
Jeshi la Iran limesema,Wanajeshi wake 2 wameuawa na wengine 16 kujeruhiwa baada ya Israel kufanya mashambulizi ya kijeshi Tehran leo asubuhi. Mashambulizi hayp ni jibu la Israel kulipiza kisasi mashambulizi ya Iran nchini Israel Oktoba Mosi mwaka huu.

Source: Aljazeera English.
Iranian military announces two further deaths from Israel's attackspublished at 18:05

18:05Breaking

The Iranian military has announced the death of two further soldiers following last night’s strikes - bringing the total death toll to four.

In a post on messaging app Telegram, the Islamic Revolutionary Guard Corps (IRGC) said Sajjad Mansouri and Mehdi Naghavi, both members of Iran's army, were killed in addition to the two soldiers we wrote about earlier.

Idadi imaongezeka tu pole pole.. msiba mkubwa.. walisema hata mosquito hajafa.. na bado kiwanda cha drone Arabs news wanasema kuna watatu wamededi
 
Jeshi la Iran limesema,Wanajeshi wake 2 wameuawa na wengine 16 kujeruhiwa baada ya Israel kufanya mashambulizi ya kijeshi Tehran leo asubuhi. Mashambulizi hayp ni jibu la Israel kulipiza kisasi mashambulizi ya Iran nchini Israel Oktoba Mosi mwaka huu.

Source: Aljazeera English.
Wameongezeka wawili. Sasa hivi ni wanne waliofariki, lakini Waajemi wa Bonyokwa wanaodai ni shambulio ambalo halikufanikiwa. Naomba wakawaambie ndugu wa wafiwa hivyo!
 
Viwanda vipo chini ya ardhi juu ni bosheni tu ...viwanda gani vimeripuka mabomu yote yametafunwa kirahisi cheki ile video utaona mifumo bora ya kudungua mabomu ilivyo fanya kazi
Iran Kichapo walichokipata awatakaa wasahau- na hapo USA aliwaomba Israel wasipige mitambo ya kusafisha mafuta, airports na Bandali vinginevyo wangekuwa gizani kama Yemen! Israel anauwezo wa kulipuwa chochote ndani ya Iran ikowemo mitambo ya kuzalisha umeme n.k- wakiendelea atawarudisha enzi za ujima za makarabai na koroboi
 

Attachments

  • IMG_2208.jpeg
    IMG_2208.jpeg
    146.8 KB · Views: 2
  • IMG_2209.jpeg
    IMG_2209.jpeg
    389.1 KB · Views: 2
  • IMG_2210.jpeg
    IMG_2210.jpeg
    472.4 KB · Views: 3
  • IMG_2211.jpeg
    IMG_2211.jpeg
    541.1 KB · Views: 2
  • IMG_2212.jpeg
    IMG_2212.jpeg
    100 KB · Views: 3
  • IMG_2213.jpeg
    IMG_2213.jpeg
    415.7 KB · Views: 2
  • IMG_2206.jpeg
    IMG_2206.jpeg
    405.3 KB · Views: 2
Kuna slogan moja ya Israel inasema "From river to the Sea", na nyingine inaitwa "Hannibal protocol " unazifahamu?.
Inashangaza kunambia eti Israel haikua na ufahamu wa shambulio la Oct 7, Haifahamu mateka wako wapi ila inafahamu Viongozi wa Hezbollah na Hamas walipo, really 😂😂
Hawakufahamu,kama wangefahamu wangeshawaokoa.
Kufahamu kuhusu viongozi huo ulikua mpango kazi wa muda mrefu sana sio wa jana ama juzi.
 
Iran Kichapo walichokipata awatakaa wasahau- na hapo USA aliwaomba Israel wasipige mitambo ya kusafisha mafuta, airports na Bandali vinginevyo wangekuwa gizani kama Yemen! Israel anauwezo wa kulipuwa chochote ndani ya Iran ikowemo mitambo ya kuzalisha umeme n.k- wakiendelea atawarudisha enzi za ujima za makarabai na koroboi
Mnaonesha vijipicha vya kuunga unga!?
Onesheni video kama za Oktoba mosi.
 
Back
Top Bottom