Uliona kilichotokea au ulikua umefumba macho ukisali ?Hapo iran kapapaswa tu hajapigwa ni bora aombe amani tu kabla hajapokea kipigo kikiubwa cha mbwa koko. Cha msingi ni kuacha kusaidia vikundi vya kipalestina kuishambulia israel maisha yaendelee. Haya majibizano si mazuri israel haitakubali ishindwe inataka amani
kichapo gani kile? We unaona ni shambulio kubwa?Uliona kilichotokea au ulikua umefumba macho ukisali ?
Nia ya Israel sio kuuwa wanajeshi wala kuuwa raiaSasa kama ndege 100 zinaua askari wawili tu basi Israel imetuangusha sana.
Kwani zile missiles 500 za Iran ziliua wangapi?Sasa kama ndege 100 zinaua askari wawili tu basi Israel imetuangusha sana.
putin hawezi kujiingiza kwa maayatollah kuwasaidia zana wakati naye ana mziki mnene anachezeshwa na ukraine. Akiwasaidia tu marekani na washirika wake hawatakaa kimya kuiacha israeli iangamie. Iran ikubali tu kuacha kujibishana na israel itapata mapigo ya ajabuKumbuka JIKO la nuklia liko chini ya ardhi, wa iran wamemtumia putin kumuonya Iran asijaribu kukukigonga.
Kama kipo chini si wangetulia tu. Nasrallah alikuwa mita 40 chini, karibu nusu ya uwanja wa mpira, sasa tunasubiri ndege za iran na zile alizopewa na mrusi ziruke kupiga Tel Aviv. Mko kiushabiki sana tusubiri hizo ndege za ma ayatolla.
Kuna slogan moja ya Israel inasema "From river to the Sea", na nyingine inaitwa "Hannibal protocol " unazifahamu?.Israel Miaka yote alikuwa ameamua kuwa mpole huku Irani ikijaza Silaha, Gaza, Lebanon na West bank.
Sasa Israel imeamua Kula roho za Hawa magaidi kila walipo.
Gaza now, itaundwa na kupangwa upya na checkpoints kama za West bank, hakuna Watu kurundikana
Hezbollah watarudi nyuma na wakileta kibuli Israel itaexpand Lebanon yote.
Sryria wameitaka Iran kupunguza vikundi vyake na ushawishi, ikibisha Israel atagawa Silaha za Hezbollah kwa waasi
Iran Ayatollah yuko kwenye radar
Unachekesha kweli na huu ujuaji uchwara wako toka Facebook. Wakati wa vita vya Russia na Ukraine, Iran alisaidia kusupply Drones na vifaa vingine kwa Russia ambavyo vinaendelea kutumika mpaka sasa. Iran alipotaka kulipiza kisasi kwa Israel, Russia alikuwa nyuma yake na mpaka sasa. Wake up man!putin hawezi kujiingiza kwa maayatollah kuwasaidia zana wakati naye ana mziki mnene anachezeshwa na ukraine. Akiwasaidia tu marekani na washirika wake hawatakaa kimya kuiacha israeli iangamie. Iran ikubali tu kuacha kujibishana na israel itapata mapigo ya ajabu
Aaah baba mchunganyi yaani ndege 100 si shambulio kubwakichapo gani kile? We unaona ni shambulio kubwa?
hilo shambulio halijatetemesha dunia ni dogoAaah baba mchunganyi yaani ndege 100 si shambulio kubwa
kwa hiyo urusi ndiyo anajibishana na israel, basi acha marekani na washirika wake nao waingie mnyukanoni kuinyuka urusi kwenye huo uwanja wa vitaUnachekesha kweli na huu ujuaji uchwara wako toka Facebook. Wakati wa vita vya Russia na Ukraine, Iran alisaidia kusupply Drones na vifaa vingine kwa Russia ambavyo vinaendelea kutumika mpaka sasa. Iran alipotaka kulipiza kisasi kwa Israel, Russia alikuwa nyuma yake na mpaka sasa. Wake up man!
Hii kashfa umary alikubaliana na Allah wanawake wavae hijab kama Allah anavyovaa
View: https://x.com/MOSSADil/status/1850181128793010289
Shambulio la leo Israel huko Iran lilikuwa linatuma ujumbe mzito kwa Ayatollah, kwa kumtuma Mwanamke asiye na hijab kushambulia Iran, Kumbuka mwanamke amewahi kuuawa kisa tu hakuvaa Hijab, hii ni Ishara kuwa Israel ikamalizana na Lebanon, Iran itakuwa hatarini sana
Iranian military announces two further deaths from Israel's attackspublished at 18:05Jeshi la Iran limesema,Wanajeshi wake 2 wameuawa na wengine 16 kujeruhiwa baada ya Israel kufanya mashambulizi ya kijeshi Tehran leo asubuhi. Mashambulizi hayp ni jibu la Israel kulipiza kisasi mashambulizi ya Iran nchini Israel Oktoba Mosi mwaka huu.
Source: Aljazeera English.
Wameongezeka wawili. Sasa hivi ni wanne waliofariki, lakini Waajemi wa Bonyokwa wanaodai ni shambulio ambalo halikufanikiwa. Naomba wakawaambie ndugu wa wafiwa hivyo!Jeshi la Iran limesema,Wanajeshi wake 2 wameuawa na wengine 16 kujeruhiwa baada ya Israel kufanya mashambulizi ya kijeshi Tehran leo asubuhi. Mashambulizi hayp ni jibu la Israel kulipiza kisasi mashambulizi ya Iran nchini Israel Oktoba Mosi mwaka huu.
Source: Aljazeera English.
Iran Kichapo walichokipata awatakaa wasahau- na hapo USA aliwaomba Israel wasipige mitambo ya kusafisha mafuta, airports na Bandali vinginevyo wangekuwa gizani kama Yemen! Israel anauwezo wa kulipuwa chochote ndani ya Iran ikowemo mitambo ya kuzalisha umeme n.k- wakiendelea atawarudisha enzi za ujima za makarabai na koroboiViwanda vipo chini ya ardhi juu ni bosheni tu ...viwanda gani vimeripuka mabomu yote yametafunwa kirahisi cheki ile video utaona mifumo bora ya kudungua mabomu ilivyo fanya kazi
Hawakufahamu,kama wangefahamu wangeshawaokoa.Kuna slogan moja ya Israel inasema "From river to the Sea", na nyingine inaitwa "Hannibal protocol " unazifahamu?.
Inashangaza kunambia eti Israel haikua na ufahamu wa shambulio la Oct 7, Haifahamu mateka wako wapi ila inafahamu Viongozi wa Hezbollah na Hamas walipo, really 😂😂
Mnaonesha vijipicha vya kuunga unga!?Iran Kichapo walichokipata awatakaa wasahau- na hapo USA aliwaomba Israel wasipige mitambo ya kusafisha mafuta, airports na Bandali vinginevyo wangekuwa gizani kama Yemen! Israel anauwezo wa kulipuwa chochote ndani ya Iran ikowemo mitambo ya kuzalisha umeme n.k- wakiendelea atawarudisha enzi za ujima za makarabai na koroboi
Usishupaze shingo mzee baba, achana na ulokole wa mchongo bali jifunze kuwa mtafiti wa mambo hata km huna lolote Duniani. Haya soma hapo; Report: Israeli Officials Knew of October 7 Attack a Year Ago, But Didn’t ActHawakufahamu,kama wangefahamu wangeshawaokoa.
Kufahamu kuhusu viongozi huo ulikua mpango kazi wa muda mrefu sana sio wa jana ama juzi.