Mimi Paskali Mayalla ni mtangazaji wa kujitegemea kwa kujitolea, sijawahi kutaka nafasi yoyote, wala sijawahi kutafuta uteuzi wowote.
Tafuta Ikama ya TBC, uangalie mshahara wa DG wa TBC, halafu Kama una mtu unamjua TRA, mwambie akuangalizie Tin Number ya mtu aitwae Pascal Andrew Mayalla, analipa kodi kiasi gani, kisha linganisha na ule mshahara!. Ukipata majibu, naomba yafanye ni siri yako!.
P
Mimi Paskali Mayalla ni mtangazaji wa kujitegemea kwa kujitolea, sijawahi kutaka nafasi yoyote, wala sijawahi kutafuta uteuzi wowote.
Tafuta Ikama ya TBC, uangalie mshahara wa DG wa TBC, halafu Kama una mtu unamjua TRA, mwambie akuangalizie Tin Number ya mtu aitwae Pascal Andrew Mayalla, analipa kodi kiasi gani, kisha linganisha na ule mshahara!. Ukipata majibu, naomba yafanye ni siri yako!.
P
Mkuu Kwani wewe mgeni mkuu paschal au ?..? Najua tu alichoandika na anachomaanisha Ni vitu viwili tofauti hivyo huwezi kumuelewa ukiwa na akili nyepesi ...zamani nilikuwa nikimaliza kusoma mabandiko yake ...nilivyomuelewa baada ya kukua ubongo wangu nikaacha ...
Naomba kuuliza kwan kaka mkubwa paskali akiamua kupongeza jambo lazima tuhusianishe na teuzi kutoka serikarini? Yaan ndo akili zetu JF zimeishia hapo kweliii? Mimi binafsi nilitegemea watu wanaomkosoa wamjibu kwa kutoa nondo(maarifa) mwisho, nahitimisha kwa kusema nasikitika JF great thinkers wamebaki wachache. Naomba kuwasilisha
Wanabodi
Kwanza wale wenye access, Watch, TBC 1 na TBC 2...shuhudia...!.
Kwa watu wasiojua what it takes kurusha matangazo ya TV live mubashara kutoka sehemu mbili tofauti kwa wakati mmoja, mnaweza msielewe, hapa ninashangaa nini!.
Kiukweli kituo cha Television ya Taifa, TBC, kimetisha!. Kitendo cha kurusha matangazo ya moja kwa moja, Live Mubashara kutoka maeneo mawili tofauti kwa wakati mmoja, sio jambo dogo!. Hongera sana Dr. Ayub Rioba na timu yako.
Live moja ni kutokea jijini ya Dodoma kwenye maadhimisho ya Siku ya Kimataifa ya Posta Duniani, live hiyo iko live on TBC1. Wakati huo huo, yaani at the same time, kuna Live ya pili ikitokea Arusha, kwenye uzinduzi wa maonyesho ya Utalii ya Africa Mashariki ambayo iko TBC2- maarufu Safari Channel.
Matangazo ya moja kwa moja ya Redio au TV yanaitwa OB, au Outside Broadcasting.
Ili kituo cha TV kiweze kurusha live, lazima uwe na dude kama hili.
Wanabodi, Heri ya Pasaka, Mara moja moja huwa ninatembelea Kituo cha TBC kwa shughuli zangu, leo Jumapili ya Pasaka nimepita pale na kuushuhudia bonge la OB Van mpya ya Kufa Mtu ikitua TBC!, kwa maelezo ya juu juu, OB Van hii, ina Kamera 12!, na moja ya camera hizo ni camera ya slow motion...
Hii inamaanisha sasa TBC inayo hii midude zaidi ya moja.
Leo ndio mara yangu ya kwanza kushuhudia live mbili concurrently zikirushwa na kituo kimoja cha TV. Kwa nchini Tanzania, ukiondoa live za DSTV, na zile za Azam, TBC ndio imefungua pazia la live mbili kwa wakati mmoja. Huu ni uthibitisho TBC ndio TV kiongozi nchini Tanzania.
Hongera sana TBC.
Wanabodi
Kwanza wale wenye access, Watch, TBC 1 na TBC 2...shuhudia...!.
Kwa watu wasiojua what it takes kurusha matangazo ya TV live mubashara kutoka sehemu mbili tofauti kwa wakati mmoja, mnaweza msielewe, hapa ninashangaa nini!.
Kiukweli kituo cha Television ya Taifa, TBC, kimetisha!. Kitendo cha kurusha matangazo ya moja kwa moja, Live Mubashara kutoka maeneo mawili tofauti kwa wakati mmoja, sio jambo dogo!. Hongera sana Dr. Ayub Rioba na timu yako.
Live moja ni kutokea jijini ya Dodoma kwenye maadhimisho ya Siku ya Kimataifa ya Posta Duniani, live hiyo iko live on TBC1. Wakati huo huo, yaani at the same time, kuna Live ya pili ikitokea Arusha, kwenye uzinduzi wa maonyesho ya Utalii ya Africa Mashariki ambayo iko TBC2- maarufu Safari Channel.
Matangazo ya moja kwa moja ya Redio au TV yanaitwa OB, au Outside Broadcasting.
Ili kituo cha TV kiweze kurusha live, lazima uwe na dude kama hili.
Wanabodi, Heri ya Pasaka, Mara moja moja huwa ninatembelea Kituo cha TBC kwa shughuli zangu, leo Jumapili ya Pasaka nimepita pale na kuushuhudia bonge la OB Van mpya ya Kufa Mtu ikitua TBC!, kwa maelezo ya juu juu, OB Van hii, ina Kamera 12!, na moja ya camera hizo ni camera ya slow motion...
Hii inamaanisha sasa TBC inayo hii midude zaidi ya moja.
Leo ndio mara yangu ya kwanza kushuhudia live mbili concurrently zikirushwa na kituo kimoja cha TV. Kwa nchini Tanzania, ukiondoa live za DSTV, na zile za Azam, TBC ndio imefungua pazia la live mbili kwa wakati mmoja. Huu ni uthibitisho TBC ndio TV kiongozi nchini Tanzania.
Hongera sana TBC.
Nakuheshimu sana ila unajitoa akili. Azam ni media ya nje wanarusha mipira zaidi viwanja vinne mpaka wanaivamia ZBC2. Labda sema unatafuta kazi hapo. TBCCM hawana jipya wamekalia kurogana tu hapo kuna uchawi hapo kuliko shirika lolote la habari na kwa mbali mdudu hayupo mbali sana kuwamaliza. Vipi ile vita ya vijana wapya dotcom na SLP imeshamalizika.
Out of topic : kombe la dunia mwakani nani wamepewa leseni ya kurusha matangazo kwa hapa TZ. Msaada wakuu maana nipo dilemma niwe na kisimbuzi gani nipate uhondo huo.
Kila nchi rights zinatolewa kwa TV za Taifa tuu. Hivyo kwa Tanzania ni TBC, ila cable kama DSTV pia wanaweza kununua rights kutoka Fifa, hii maana yake na Azam wanaweza!.
Azam tv ameshafanya live zaidi ya saba kwa wakati mmoja. Kufungwa kwa msimu wa ligi kuu msimu ulioisha mechi zote zilichezwa muda mmoja na zote zilirushwa live. Hapo achana na ratiba zake za kila mara wanarusha mechi za ligi zaidi ya mechi moja live kwa wakati mmoja
Mimi Paskali Mayalla ni mtangazaji wa kujitegemea kwa kujitolea, sijawahi kutaka nafasi yoyote, wala sijawahi kutafuta uteuzi wowote.
Tafuta Ikama ya TBC, uangalie mshahara wa DG wa TBC, halafu Kama una mtu unamjua TRA, mwambie akuangalizie Tin Number ya mtu aitwae Pascal Andrew Mayalla, analipa kodi kiasi gani, kisha linganisha na ule mshahara!. Ukipata majibu, naomba yafanye ni siri yako!.
P
Channel ya Azamsports HD wanarusha hadi mechi 4 za bongo kwa wakati mmoja kwenye channel moja. Yani ndani ya dk 90 wanakupitisha mtazamaji viwanja vinne mikoa tofauti.
Wanabodi
Kwanza wale wenye access, Watch, TBC 1 na TBC 2...shuhudia...!.
Kwa watu wasiojua what it takes kurusha matangazo ya TV live mubashara kutoka sehemu mbili tofauti kwa wakati mmoja, mnaweza msielewe, hapa ninashangaa nini!.
Kiukweli kituo cha Television ya Taifa, TBC, kimetisha!. Kitendo cha kurusha matangazo ya moja kwa moja, Live Mubashara kutoka maeneo mawili tofauti kwa wakati mmoja, sio jambo dogo!. Hongera sana Dr. Ayub Rioba na timu yako.
Live moja ni kutokea jijini ya Dodoma kwenye maadhimisho ya Siku ya Kimataifa ya Posta Duniani, live hiyo iko live on TBC1. Wakati huo huo, yaani at the same time, kuna Live ya pili ikitokea Arusha, kwenye uzinduzi wa maonyesho ya Utalii ya Africa Mashariki ambayo iko TBC2- maarufu Safari Channel.
Matangazo ya moja kwa moja ya Redio au TV yanaitwa OB, au Outside Broadcasting.
Ili kituo cha TV kiweze kurusha live, lazima uwe na dude kama hili.
Wanabodi, Heri ya Pasaka, Mara moja moja huwa ninatembelea Kituo cha TBC kwa shughuli zangu, leo Jumapili ya Pasaka nimepita pale na kuushuhudia bonge la OB Van mpya ya Kufa Mtu ikitua TBC!, kwa maelezo ya juu juu, OB Van hii, ina Kamera 12!, na moja ya camera hizo ni camera ya slow motion...
Hii inamaanisha sasa TBC inayo hii midude zaidi ya moja.
Leo ndio mara yangu ya kwanza kushuhudia live mbili concurrently zikirushwa na kituo kimoja cha TV. Kwa nchini Tanzania, ukiondoa live za DSTV, na zile za Azam, TBC ndio imefungua pazia la live mbili kwa wakati mmoja. Huu ni uthibitisho TBC ndio TV kiongozi nchini Tanzania.
Hongera sana TBC.
Gari la serikali limepakwa rangi ya CCM kijani!
Mayalla unakusanya TV mbili, Ving'amuzi viwili na rimoti mbili unaviwasha kisha unaviweka kwenye stesheni mbili tofauti ili uje uvisifie kwetu! Death of a kicking horse. Kwangu mimi TBC haina tofauti na polisi, DailyNews, Tume ya Uchaguzi, Msajili wa vyama vya Siasa na CCM ambao wametanguliza chuki kwa upinzani, anyway you are drifting in the same ding.
Ili kituo chochote kiweze kurusha live mbili simultaneously, lazima kituo hicho kiwe na Channel zaidi ya moja. Kwa Tanzania, Kituo cha TV, cha FTA, chenye Channel zaidi ya moja ni TBC pekee. Azam TV ni cable kama ilivyo DSTV. ITV pia wanazo Channel 3, yaani ITV, EATV na Capital TV, lakini ITV haijawahigi kumiliki OB Van hata moja.
Kutangaza live mbili sio jambo dogo.
P
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.