Vegetarian
JF-Expert Member
- Apr 7, 2012
- 654
- 509
Police wa cheo kipi?Police wa Tanzania si masikini,labda Kama anazungumzia umasikini wa akili na fikra,Ila kwenye kipato hakuna police masikini,minimum wage ya police wa Tanzania ni 5,000,000 take home
Msanii Temba baada ya kuimba wimbo wake wa Nampenda yeye
Hahha hapana ni mendezAtakuwa Sallam SK. 😂😂😂
Aliye ajiriwa kuanza Leo anaanza na 5m take homePolice wa cheo kipi?
Sasa hutaki Kama minimum take home yetu ni 5m au?inaonekana mnatuchukulia poa sanaUnajua humu kuna bank officers, ambapo mishahara yenu inapitia huko pamoja na kupeleka salary slip zenu mkiwa mnataka mikopo, kuna mangi wenye maduka mtaani kwenu mnapoenda kukopa chakula na kuacha ATM card zenu kama dhamana ya mkopo, ivyo punguza uhongo bro
Ningeshangas kama waimbaji 200 wote wanafanana akili ukitilia maanani majani wanayotumia!Msanii Temba baada ya kuimba wimbo wake wa Nampenda yeye, akawaambia ma-DJ watulie kuna jambo anataka kusema. Na haya hapa ni maneno yake!
"Acha niseme na wanyonge wangu na tupo ardhi ya nyumbani, Polisi nyie ni masikini wenzetu tuu hivyo mnapaswa kutulinda na siyo kutuwinda"
Kilichofuatia kazimiwa mic na camera zikaelekezwa kwingine. Baadaye naona wanarudi na TID.
Watu wanatema nyongo live!
kwa mwaka au?Police wa Tanzania si masikini,labda Kama anazungumzia umasikini wa akili na fikra,Ila kwenye kipato hakuna police masikini,minimum wage ya police wa Tanzania ni 5,000,000 take home
kadanganye wajinga wenzio, polis wana njaa hadi huruma, wengine hata kadi za benki hawana zimeshikiliwa mitaaniSasa hutaki Kama minimum take home yetu ni 5m au?inaonekana mnatuchukulia poa sana
Ml.5 wapewe amawaibeAcha kudanganya watu polisi tunaishi nao huku mtaani hawafanana na huo mshahara wa milion 5
Wewe unadhani sababu hasa ya sisi kuwapiga raia wanaoipinga serikali tukufu ni Nini? Na uhusiano wetu na hiyo serikali ni nini Kama si mshahara mnono?Wewe mwenyewe "hujijui" kama unavyojiita, sasa hiyo wage unayolipwa "unaijua" vipi?
Tz ya magukwa mwaka au?
Wewe unazungumzia police wa nchi jirani,yaani police Kama yule aliyeenda kumkamata sugu pale Mbeya anaweza akaacha kadi yake ya bank kwa deni?kadanganye wajinga wenzio, polis wana njaa hadi huruma, wengine hata kadi za benki hawana zimeshikiliwa mitaani
Maisha ni namna unavyoamua mwenyeweMinimum?? Kwa nini wanaishi maisha ya kimaskini?
wale ndo angalau wamejikwamua kiuchumi wanamiliki tu pikipiki ywa SanlgWewe unazungumzia police wa nchi jirani,yaani police Kama yule aliyeenda kumkamata sugu pale Mbeya anaweza akaacha kadi yake ya bank kwa deni?