Temba wa TMK wanaume ashushwa jukwaani baada ya kuwaponda Polisi kwenye jukwaa la wasanii wa CCM uwanja wa UHURU

Temba wa TMK wanaume ashushwa jukwaani baada ya kuwaponda Polisi kwenye jukwaa la wasanii wa CCM uwanja wa UHURU

Uongo mwingine bausaidii!

Alafu si ulisema huna Muda wa kupoteza kufuatilia wapuuzi? Kumbe unafuatilia kimya kimya?
 
Unajua humu kuna bank officers, ambapo mishahara yenu inapitia huko pamoja na kupeleka salary slip zenu mkiwa mnataka mikopo, kuna mangi wenye maduka mtaani kwenu mnapoenda kukopa chakula na kuacha ATM card zenu kama dhamana ya mkopo, ivyo punguza uhongo bro
Sasa hutaki Kama minimum take home yetu ni 5m au?inaonekana mnatuchukulia poa sana
 
Msanii Temba baada ya kuimba wimbo wake wa Nampenda yeye, akawaambia ma-DJ watulie kuna jambo anataka kusema. Na haya hapa ni maneno yake!

"Acha niseme na wanyonge wangu na tupo ardhi ya nyumbani, Polisi nyie ni masikini wenzetu tuu hivyo mnapaswa kutulinda na siyo kutuwinda"

Kilichofuatia kazimiwa mic na camera zikaelekezwa kwingine. Baadaye naona wanarudi na TID.

Watu wanatema nyongo live!
Ningeshangas kama waimbaji 200 wote wanafanana akili ukitilia maanani majani wanayotumia!
 
Police wa Tanzania si masikini,labda Kama anazungumzia umasikini wa akili na fikra,Ila kwenye kipato hakuna police masikini,minimum wage ya police wa Tanzania ni 5,000,000 take home
kwa mwaka au?
 
Sasa hutaki Kama minimum take home yetu ni 5m au?inaonekana mnatuchukulia poa sana
kadanganye wajinga wenzio, polis wana njaa hadi huruma, wengine hata kadi za benki hawana zimeshikiliwa mitaani
 
kadanganye wajinga wenzio, polis wana njaa hadi huruma, wengine hata kadi za benki hawana zimeshikiliwa mitaani
Wewe unazungumzia police wa nchi jirani,yaani police Kama yule aliyeenda kumkamata sugu pale Mbeya anaweza akaacha kadi yake ya bank kwa deni?
 
Nimeongea amesema hilo kutokana na tukio alilofanyiwa lissu arusha.
 
Wewe unazungumzia police wa nchi jirani,yaani police Kama yule aliyeenda kumkamata sugu pale Mbeya anaweza akaacha kadi yake ya bank kwa deni?
wale ndo angalau wamejikwamua kiuchumi wanamiliki tu pikipiki ywa Sanlg
 
yanapenda kusifiwa tu kuambiwa ukweli hayataki
big up mh. Temba
 
Back
Top Bottom