Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwanini mwekezaji atake kununua shule ya umma , kaambiwa inauzwa ?Kama mwekezaji atajenga upya miundombinu ya shule sehemu nyingine na atalipa pesa Halmashauri na kuwekeza kitu chenye tija zaidi hakuna shida..
Hata Magereza au nyumba za Wananchi huwa wanahamishwa pale inapobidi..
Hapo kinauzwa kiwanja sio shule.
Anunue shule apeleke wapi? Anataka hicho kiwanja Kiko eneo zuri kibiashara..Shule haifanyi biashara inaweza hamishiwa sehemu nyingine Ili hilo eneo lilete tija zaidi.Kwanini mwekezaji atake kununua shule ya umma , kaambiwa inauzwa ?
Itakuwa ya kurasini au itakuwa ya huko maporini ?Anunue shule apeleke wapi? Anataka hicho kiwanja Kiko eneo zuri kibiashara..Shule haifanyi biashara inaweza hamishiwa sehemu nyingine Ili hilo eneo lilete tija zaidi.
Umeandika nini sasa hapaItakuwa ya kurasini au itakuwa ya huko maporini ?
Unakuwa kama mgeni wa nchi kwa upigajiKumbe ndugai alikua mkweli maana tumeanza kuuzwa kidogo kidogo
Ngoja niandae safari ya Burundi maana haikwepeki.
Shule ya serikali tena ya kata inauzika vp? au stress za 2025Meya na Mwenyekiti wamekula kwa Urefu wa kamba zao
Sent from my SM-J600F using JamiiForums mobile app
Hii ni salamu ya Valentine au ?Jokate namzimia sana. Namuombea kwa Mungu ampe ujasiri wa kusimama dhidi ya hao wezi. Mungu atampandisha mpaka kileleni. I LOVE YOU JOKA WANGU.
Tulishawazoea hao haawatusumbui akiliWandugu habari, kwa siku hz mbili kuna sintofahamu ya kurushiana maneno ktk Media mbali mbali, juu ya mikopo mara kuuzwa kwa shule ya kata[emoji848], kwa anayejua kiundani atililike.
Kamba zao wote zimekatika wanakuka chochote kilichoko njiani.Wandugu habari, kwa siku hz mbili kuna sintofahamu ya kurushiana maneno ktk Media mbali mbali, juu ya mikopo mara kuuzwa kwa shule ya kata[emoji848], kwa anayejua kiundani atililike.
Hamna kitu kabisa! huwezi kuwasema wajumbe wenzio wa kamati ya siasa wilaya kwa lengo la kupata sifa wakati mnaweza kuyaongea ndani ya kikao chenu! kwa sasa naona kosa kubwa la kuviua vile vyuo vya chama, upo umuhimu wa kuvirudisha na viongozi wa aina ya Jokate wakapate Msasa huko.Jokate namzimia sana. Namuombea kwa Mungu ampe ujasiri wa kusimama dhidi ya hao wezi. Mungu atampandisha mpaka kileleni. I LOVE YOU JOKA WANGU.