Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
Tunaomba majibu tafadhali .Tunataka tuwekewe hadharani mchakato mzima wa upatikanaji wa vishkwambi vya sensa.
Kuna jambo hapa nimehisi.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tunaomba majibu tafadhali .Tunataka tuwekewe hadharani mchakato mzima wa upatikanaji wa vishkwambi vya sensa.
Kuna jambo hapa nimehisi.
Nani alipewa hiyo tenda ya kusambaza na alishindanishwa na nani ?Utalalalamika Hadi lini? Yaani 100k ndo unakufanya hukose amani?
Hivyo vilitolewa bure nasikia 😁😁Tunataka tuwekewe hadharani mchakato mzima wa upatikanaji wa vishkwambi vya sensa.
Kuna jambo hapa nimehisi.
Jamani hebu kusanyeni huu ushahidi , tutafute maofisa wa sensa kama watano tu watatusaidia sanaNi kampuni gani zile kwanza zinaonekana ni low end
Kwa kijijini nasikia walinunua na powerbank pia
Powerbank nzuri si chini ya 60k yenye uwezo hadi laki kwa hapa bongo
na nani ?Hivyo vilitolewa bure nasikia [emoji16][emoji16]
Vishikwambi vilivyotumika kwenye sensa hii havikununuliwa kwa pesa ya Nchi ni msaada kutoka Korea.Tunataka tuwekewe hadharani mchakato mzima wa upatikanaji wa vishkwambi vya sensa.
Kuna jambo hapa nimehisi.
Wakoreana nani ?
Hivyo kishikwambi vinakuhusu Nini?
kuna ushahidi usio na shaka juu ya hili ili tufunge mjadala ?Wakorea
Hoja ya mtoa post haina mashiko, Ila pia na wewe huna mashiko.Vishikwambi vilivyotumika kwenye sensa hii havikununuliwa kwa pesa ya Nchi ni msaada kutoka Korea.
kuna ushahidi usio na shaka juu ya hili ili tufunge mjadala ?
Tender nilishinda Mimi, swali lingine.Nani alipewa hiyo tenda ya kusambaza na alishindanishwa na nani ?
Aliyeleta mada hana hoja, na wewe pia huna unachojua.
Nani asie jua hilo ? Nikisema tumepewa shida ipo wapi ? na ukisema vingine vilinunuliwa shida iko wapi ?Aliyeleta mada hana hoja, na wewe pia huna unachojua.
Vishkwambi vya msaada ni 600 tu. Vilivyonunuliwa ni zaidi ya 200000+. Sio kila kitu lazima kiwe na tender.
Sensa ni mpango wa taifa, sensa ni usalama wa taifa pia. Hakukua na haja ya kutangaza tender.
Nb; Hakuna upigai wowote
Una matatizo ya akili? Hebu angalia nilichokujibu na angalia unachokuja kujibu.Nani asie jua hilo ? Nikisema tumepewa shida ipo wapi ? na ukisema vingine vilinunuliwa shida iko wapi ?
Africa kama mazuzu hapo yanachekelea kabisa na wamekuja na LC200/300 yanachekelea tablet
Vimenunuliwa kwa kodi na tozo zetu, hivyo vinatuhusu wote pamoja na wewe pia ndugu.Hivyo kishikwambi vinakuhusu Nini?
Mwenye matatizo ya akili mama yako na babako kwanza nani alikutuma uni quote kama hukuelewa nilicho kuwa namaanisha ?Una matatizo ya akili? Hebu angalia nilichokujibu na angalia unachokuja kujibu.
Ndio ivyo , uwezo wa kufikiri tunao mkubwa sana. Ila hatutaki kuzitumia akili zetu vyema na ipasavyoAfrica kama mazuzu hapo yanachekelea kabisa na wamekuja na LC200/300 yanachekelea tablet
Sure unachekelea mtu kukupa kuku wa kufuga vifaranga kumi ilihali una miliki simu ya laki tano kumbe ungeweza nunua mwenyeweNdio ivyo , uwezo wa kufikiri tunao mkubwa sana. Ila hatutaki kuzitumia akili zetu vyema na ipasavyo