Countrywide
JF-Expert Member
- Mar 2, 2015
- 20,694
- 32,527
Nilijua tu una matatizo ya akili, na ndio maana hujatumia muda mrefu kuthibitisha hiloMwenye matatizo ya akili mama yako na babako kwanza nani alikutuma uni quote kama hukuelewa nilicho kuwa namaanisha ?
Ng'ombe.....Hivyo kishikwambi vinakuhusu Nini?
watu wenye hoja kama zako huwannawaona wafikiri kwa kutumia masaburi.Hivyo kishikwambi vinakuhusu Nini?
Mpuuzi huna akili. Jibu lako nikisema tulipewa vishkwambi nimekosa kwani ? kweli nchi imepewa 600. Swali haliwezekani kuwa na majibu zaidi ya mawili ?Nilijua tu una matatizo ya akili, na ndio maana hujatumia muda mrefu kuthibitisha hilo
Tenda ilitangazwa lini?Tunataka tuwekewe hadharani mchakato mzima wa upatikanaji wa vishkwambi vya sensa.
Kuna jambo hapa nimehisi.
Hapo pesa za umma zimepigwaSawa muhimu watuonyeshe gharama za kile kitu kama ni chini ya 200K tutakubali ila juu ya hapo na kinatumika mara moja tu ni matumizi mabaya ya rasilimali.
Akili yako imeishia hapo, ukiwaza tofauti na hapo niite mbwaMpuuzi huna akili. Jibu lako nikisema tulipewa vishkwambi nimekosa kwani ? kweli nchi imepewa 600. Swali haliwezekani kuwa na majibu zaidi ya mawili ?
hiii yaani.....mengine ni ya kuacha tu......... 😕😕Tunataka tuwekewe hadharani mchakato mzima wa upatikanaji wa vishkwambi vya sensa.
Kuna jambo hapa nimehisi.
Swadakta , asante kwa uaminifu wako , kwa sasa nahamia kufahamu idadi ya vishikwambi nchi nzima
Nasikia vishwambi ni vingi sana. Hivyo vingine sijui walinunuajeSwadakta , asante kwa uaminifu wako , kwa sasa nahamia kufahamu idadi ya vishikwambi nchi nzima
AhahahahaSure unachekelea mtu kukupa kuku wa kufuga vifaranga kumi ilihali una miliki simu ya laki tano kumbe ungeweza nunua mwenyewe
Si bure wanasemaga TZ ni channel ya katuni huko mbinguni
Imekusaidia nn?Swadakta , asante kwa uaminifu wako , kwa sasa nahamia kufahamu idadi ya vishikwambi nchi nzima