Ivan Stepanov
JF-Expert Member
- Apr 22, 2023
- 6,799
- 22,209
Mara kibao watu tunatoka kucheza mechi za kirafiki lakini nyumbani napo unaanza uchokozi mpira uwekwe kati.Na hata hiyo 2% ukiichunguza utagundua Kuna sababu aidha ugonjwa, stress au mwanaume kashajikatia tamaa kwa maana ya Kila akitaka tendo kwa mkewe ananyimwa kwahiyo inafika wakati anaamua kukaa kimya, kwa aidha kuchepuka au kunyetuka
Aisee ana busara sana.
🤣🤣🤣 Msijali tutawabaka.Siyo mswada upelekwe bungeni halafu wewe uanze kulia?
Matokeo yake sayari imekuwa na vurugu sana. Hivyo ipigwe marufuku tu dunia itulie.Kujidanganya kwamba utajizuia na kuacha kuwaza ngono utakua ni uongo uliokomaa.Haiwezekani hiyo.Ngono ni kiunganishi chema ili kufanya binadamu wakamilifu,wenye uwezo huo waifanye dunia kuwa sayari tulivu.
Twende gym babe🤣Tuwaze nini wakati tunakula vizuri tunashiba, hizi protein zinazozalishwa kupitia manii tuzipeleke wapi.
Kwenye hili usitetee dada, takwimu hazidanganyi. Mwanaume akisema kachoka ni kachoka kweli ila kama hataki kufanya na mwanamke aliyenae hata iweje hatofanya maana hana hisia nae na haitasimama vizuri.Umeongea kuonyesha wanawake ndio mara zote ukataa kutoa utamu
Wakati naamini kuna wanaume pia wanawabania wake zao wakisingizia wamechoka
Lawama zote kwa mwanamke[emoji777]
Mtakula "vipepsi" vya videvu hadi muandamane.🤣🤣🤣 Msijali tutawabaka.
Ngoja aingie ndio ataelewa. [emoji23][emoji23][emoji23] Ukikaa na mtu hamfanyiani chochote zaidi ya mwezi lazima umuone kero unatamani umwambie akalale kwa watoto au wewe ulale sebuleni au sehemu nyingine.Sasa ndoa bila tendo kuna maana gani?
Ni wanyama peke yake ndio wanaingiliana kwa sababu ya kuzaliana, lakini binadamu mke na mume lazima mpeane tendo la ndoa na inaongeza bond yenu na furaha ndani ya nyumba.
Naomba jibu la post #56Kwenye hili usitetee dada, takwimu hazidanganyi. Mwanaume akisema kachoka ni kachoka kweli ila kama hataki kufanya na mwanamke aliyenae hata iweje hatofanya maana hana hisia nae na haitasimama vizuri.
Ndio maana wanaume mke akicheat tunaacha hatuwezi ishi nae tena kwasababu hatuwezi kuwa na hisia za msisimko nae tena kama vile awali wakati tunaanza.
Haijatulia sehemu kwa sababu kuna baadhi wanafanyiana usanii,kunyimana na kusalitiana.Mbali ya hayo,mambo ni murua bin maridadi sana!Matokeo yake sayari imekuwa na vurugu sana. Hivyo ipigwe marufuku tu dunia itulie.
Hajasema hivo,soma vizuri. Yeye anachojiuliza,ni vipi watu wanalala wote,kila mmoja ana haki ya dudu la mwenza wake,lakini wananyimana! Kila mmoja anakuwa na visingizio. Ini shoti,siku hizi watu huishi kwa hesabu. Kuna wakati zile hesabu zinagoma kabisa. Wewe mtu alikuja akijua amefata mkwanja. Badae mambo hayaendi sawa. Atakuona wa nini?
Mashoga wa ovyo,wamekuwa wengi. Kila mmmoja,ana ushauri wake wa kijinga. Mara,asikubabaishe. Ohh,asikutishe. Mi nimepata mchepuko.
Weeeeee.
Mtu anapanda kitanda na jinsi. Unaanzaje kuhangaika umvua mwenza wako suruali,taiti na chupi au na vitu vingi?
Enzi hizo,usiku ukifika mwanamke huvua kila kitu. Kwa wale wenye uwezo wa wafanyakazi wa ndani,akijua mwenzake anakaribia,alioga na kumvalia au kumkalia kihasara hasara. Jamaa akimuona wazimu wanashambulia wenzao. Atapata saa ngai mda wa kuchepuka??
Hayo mambo wanapaswa wanawake wasisitizwe sana wanapokuwa kwenye kufundwa kwao.Wasilete masihara,vihasira uchwara au ugomvi unapofika muda wa tendo kama hana sababu za msingi na za kweli.Mwanamke anayekataa kutoa tendo kwa mwenza wake bila sababu za msingi anajionesha namna ambavyo hajielewi.Asilielie mbeleni
Moisemusajiografii ,iwe tu kwamba jukwaa la watu wazima lilizikwa,hili na lo lilikuwa jambo la kuongelea pale. Maana utani mwingi ni wa wasiojielewa au waioelewa taasisi hiyo.Mimi bila tendo la ndoa nisingeingia kwenye taasisi hiyo.Ni sawa na unieleze kwamba niwe mtumishi tu ila nisioneshe kuupenda mshahara na nisisumbuesumbue kuhusu kikotoo.Haipo hiyo.Maana halisi ya ndoa bila kuhusisha tendo la ndoa ni kujidanganya mchana kweupe na kunguru wanashangilia viroja vyenu.
Naam!Ndoa yafaa nini basi bila kudinyana?Moisemusajiografii ,iwe tu kwamba jukwaa la watu wazima lilizikwa,hili na lo lilikuwa jambo la kuongelea pale. Maana utani mwingi ni wa wasiojielewa au waioelewa taasisi hiyo.
Bila kuchomekeana vikojoleo,watu wanaojiita wana ndoa,watakuwa wa kazi gani? Kwani ndoa ni nini? Kama ilivyo kwa chakula kuwa na viungo mbali mbali,basi hata ndoa bila kudinyana haiwezi kudumu.
Wanaume pia wanazingua mwanamke kalala Tena alivyozaliwa eti unataka akwambia njoo uchimbe mgodiUmeongea kuonyesha wanawake ndio mara zote ukataa kutoa utamu
Wakati naamini kuna wanaume pia wanawabania wake zao wakisingizia wamechoka
Lawama zote kwa mwanamke❌
Kweli kabisa unachoongea na ningependa kuongezeaWanandoa wengi wanaonekana kuamka nyumba moja na wenza wao tena wengine wakionekana kuwa na nyuso za furaha lakini kiukweli yanayoendelea humo ndani sio ya kufurahisha hata kidogo.
Ukweli wenyewe wanandoa wengi hawapati tendo kama walivyokuwa wanafikiria kabla ya kuingia kwenye ndoa. Lakini ni ngumu na aibu kubwa kulalamikia mambo haya kwanza unatoa wapi huo ujasiri wa kusema haupewi na mtu umelala naye kitanda kimoja!
Unakuta kabla ya ndoa mambo yalienda kwa kunyooka. Ila sasa mkioana tu ndo konakona zinaanza visingizio vingi vya hapa na pale haviishi. Mara kichwa kitasingiziwa kuumwa mara tumbo nk. Inafika wakati unaona isiwe kesi nawewe unapotezea au ikibidi unaenda kula mchepuko au malaya huko kitaa maisha yanaendelea.
Mkiamka asbh wanazengo wanajua nyinyi ni wenza na mnaishi kwa furaha amani na utulivu.
Kuna ndoa nyiingi zina staili hii ya maisha ya kinafiki maana unakuta ndio tena mmezaa, mna assets kibao za pamoja na watu wengine hawawezi tu maisha ya kuoa na kuacha kila uchao inabidi tu ufe kiume na tai shingoni. Acha maisha yaendelee.
Siku hizi ni msemo ule wa kunguru hafugiki. Zamani wanafundwa na mashangazi wenye heshima na hekima. Mtu anatoka ameshaelezwa mbinu za kumshikilia mme.Hayo mambo wanapaswa wanawake wasisitizwe sana wanapokuwa kwenye kufundwa kwao.Wasilete masihara,vihasira uchwara au ugomvi unapofika muda wa tendo kama hana sababu za msingi na za kweli.Mwanamke anayekataa kutoa tendo kwa mwenza wake bila sababu za msingi anajionesha namna ambavyo hajielewi.Asilielie mbeleni.
Huo nao ni uzuzu.Hauna tofauti na mwanaume upo nyumbani kuanzia asubuhi halafu inafika mchana mke anauliza "utakula"?Swali gani hilo sasa?Wanaume pia wanazingua mwanamke kalala Tena alivyozaliwa eti unataka akwambia njoo uchimbe mgodi
Tungekuwa tunakuwa na honest conversation kama hizi ingesaidia sana kuelewana sana na kuwa na mbinu za maana za kutatua kero ambazo hazina majibu.Kuna lugha huwa inatumika sana kwamba mwanaume akipata pesa anabadirika hili siyo kweli, wanawake wengi hawajui sex ni kipengere muhimu sana kwa maumbile ya mwanaume na mbegu millioni kadhaa zinazalishwa daily.
Sasa mwanamke akiwa anampa K kwa mgao kama dawasa mume wake uchumi ukibalance lazima atoke nje ambako anapewa yote bila kubaniwa na anapewa style zote pesa ndio kila kitu.
Sasa wanawake wa kileo wasidhani wanaume hawajatulia au hawawezi kubaki njia kuu, tatizo ninaloliona wake za watu wengi wameshindwa kutimiza mahitaji ya kimwili ya waume zao.
Hata mimi siwezi kukubali kukaa na nyege wakati nina mke, ukinibania subiri tu kuna vitoto huko nje vinahitaji masponsor tunaruka navyo tu, anakuita Anko huku unamega kimtindo.
Acha utoto. Tofautisha kuchomeka na kufanya tendo. Hata huyo mwanamke,tusilalie upande mmoja. Ukimuudhi na kutaka kuweka,kisaikolojia hayuko fit,unadhani utapata ushilikiano gani? Sasa,alale kifo cha yule mdudu,chomeka,kimoyomoyo anasema: hili nalo limalize tu litoke. We mwanaume unadhani utajiina unajua kukuna? Kwa kifupi,kwanza mahusiano ya wanaokaa wawili,hata ukimuweka dakika 2 ataridhika. Ila kama hamko vizuri,hata ulete ukoo mzima mmkune,kazi bure.Kama mke anakataa basi tatizo lipo kwako umkuni vizuri/ hasikii raha
Tokea lini mtu akakataa kusikia raha?