Acha utoto. Tofautisha kuchomeka na kufanya tendo. Hata huyo mwanamke,tusilalie upande mmoja. Ukimuudhi na kutaka kuweka,kisaikolojia hayuko fit,unadhani utapata ushilikiano gani? Sasa,alale kifo cha yule mdudu,chomeka,kimoyomoyo anasema: hili nalo limalize tu litoke. We mwanaume unadhani utajiina unajua kukuna? Kwa kifupi,kwanza mahusiano ya wanaokaa wawili,hata ukimuweka dakika 2 ataridhika. Ila kama hamko vizuri,hata ulete ukoo mzima mmkune,kazi bure.
Wenye ndoa ni wachache tu. Wengine ni wa kuwatesa wenzao.