ERoni
JF-Expert Member
- Jan 9, 2013
- 48,052
- 104,677
Sasa kama hupati raha na hufiki popote si uachane na hizo habari?I've told you my heart
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sasa kama hupati raha na hufiki popote si uachane na hizo habari?I've told you my heart
Lawama zote kwenuUmeongea kuonyesha wanawake ndio mara zote ukataa kutoa utamu
Wakati naamini kuna wanaume pia wanawabania wake zao wakisingizia wamechoka
Lawama zote kwa mwanamke❌
Libido inatema baba!🤸Sasa kama hupati raha na hufiki popote si uachane na hizo habari?
Kama libido ipo juu manake ukiguswa tu habari imeisha, kama hufiki popote libido iko viwango vya chini kabisa.Libido inatema baba!🤸
uyu mchina aliona mbali。
Labda itakua muda wa shoo mimi nawaza vicobaKama libido ipo juu manake ukiguswa tu habari imeisha, kama hufiki popote libido iko viwango vya chini kabisa.
Underage unawazaje vikoba, kaa kwa utulivu usikilizie, sema vijana wenzenu nasikia hawana stamina.Labda itakua muda wa shoo mimi nawaza vicoba
Vijana wenzangu si ni wale under 30?Underage unawazaje vikoba, kaa kwa utulivu usikilizie, sema vijana wenzenu nasikia hawana stamina.
Hapa sasa ndipo umuhimu wa kutest mitambo unapokuja. Ukiona wanandoa wanalalamikiana kuhusu kutokidhi tendo la ndoa ujue hawakutestiana mitambo kabla ya ndoa. Kama ingekuwa hivyo, huo udhaifu ungegundulika wakati wa kutest. Lakini kuna wakati mwingine wanawake wanakuwa wanafuq tangu uchumba hadi ndoa. Hili nalo ni tatizo.Wanandoa wengi wanaonekana kuamka nyumba moja na wenza wao tena wengine wakionekana kuwa na nyuso za furaha lakini kiukweli yanayoendelea humo ndani sio ya kufurahisha hata kidogo.
Ukweli wenyewe wanandoa wengi hawapati tendo kama walivyokuwa wanafikiria kabla ya kuingia kwenye ndoa. Lakini ni ngumu na aibu kubwa kulalamikia mambo haya kwanza unatoa wapi huo ujasiri wa kusema haupewi na mtu umelala naye kitanda kimoja!
Unakuta kabla ya ndoa mambo yalienda kwa kunyooka. Ila sasa mkioana tu ndo konakona zinaanza visingizio vingi vya hapa na pale haviishi. Mara kichwa kitasingiziwa kuumwa mara tumbo nk. Inafika wakati unaona isiwe kesi nawewe unapotezea au ikibidi unaenda kula mchepuko au malaya huko kitaa maisha yanaendelea.
Mkiamka asbh wanazengo wanajua nyinyi ni wenza na mnaishi kwa furaha amani na utulivu.
Kuna ndoa nyiingi zina staili hii ya maisha ya kinafiki maana unakuta ndio tena mmezaa, mna assets kibao za pamoja na watu wengine hawawezi tu maisha ya kuoa na kuacha kila uchao inabidi tu ufe kiume na tai shingoni. Acha maisha yaendelee.
Suluhisho sio mke kuondoka mkuu. Suluhisho ni wote mume na mke kusimama kwenye nafasi yake na mjitahidi kufanyiana vile vitu mlifanyiana wakati wa uchumba. Maana hata huyo mke wa kwanza akiondoka ukaoa mwingine na ukaendelea na tabia zako za ugumu na wa pili naye ataondoka. Na sijasema kuwa upractise yooote niliyoyaandika. Fanya hata moja tu. Na unaweza usifanye siku zote. Unafanya mara kwa mara.Kama yote hayo ni kero kwake,bado anafanya nini hapo nyumbani na mzigo hatoi?Asepe kijijini kwao fasta.Asiage.
Sasa wazee wenzangu wanafeli wapi, najua wanajua nini cha kufanya ili ramani ya afrika ichoreke.Vijana wenzangu si ni wale under 30?
Kama ni hao mimi sijui sababu sijawahi kua nao
Mtoto wako ni mgogo itakua ana shidaSasa wazee wenzangu wanafeli wapi, najua wanajua nini cha kufanya ili ramani ya afrika ichoreke.
Huku ndani ndo kugumu zaidi, Yani ukijiona kutoa kwako Kwa mgao, Baki huko huko nje.......🤣🤣🤣nje kugumu ndani kugumu,,mnatuchanganya mjue
Na,kwa nini mke naye asianze kutafuta suluhu?Kwa hiyo akinuna,kukataa kutoa unono na kuleta kisirani ndiyo jibu?Ndoa si ya mume tu.Ni watu wawili,mke na mume,tena wenye utimamu wa akili.Asimtupie mzigo wa suluhu mume tu.Alianzishe.Suluhisho sio mke kuondoka mkuu. Suluhisho ni wote mume na mke kusimama kwenye nafasi yake na mjitahidi kufanyiana vile vitu mlifanyiana wakati wa uchumba. Maana hata huyo mke wa kwanza akiondoka ukaoa mwingine na ukaendelea na tabia zako za ugumu na wa pili naye ataondoka. Na sijasema kuwa upractise yooote niliyoyaandika. Fanya hata moja tu. Na unaweza usifanye siku zote. Unafanya mara kwa mara.
weeeee jamani,sema ngoja nikahakikishe yakinikuta nije kukumbuka hii comment 🙌🏾😂Huku ndani ndo kugumu zaidi, Yani ukijiona kutoa kwako Kwa mgao, Baki huko huko nje.......🤣🤣🤣
Hapa nashukuru shule zimefungwa nisafiri na watoto nikapumue kidogo......na hapo nimepewa ruhusa ya wiki moja tu, niwe nimerudi au nitafuatwa huko huko🤣🤣🤣