Weeee.....lisipigwe marufuku, Bali litengewe ratiba ya kiserikali......hizi asubuhi na jioni watatuua hawa🤣Tendo la ndoa lipigwe marufuku....
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Weeee.....lisipigwe marufuku, Bali litengewe ratiba ya kiserikali......hizi asubuhi na jioni watatuua hawa🤣Tendo la ndoa lipigwe marufuku....
kataa ndoa inavozidi kushika kasi kama ushuzi wa mayai ya janaWanandoa wengi wanaonekana kuamka nyumba moja na wenza wao tena wengine wakionekana kuwa na nyuso za furaha lakini kiukweli yanayoendelea humo ndani sio ya kufurahisha hata kidogo.
Ukweli wenyewe wanandoa wengi hawapati tendo kama walivyokuwa wanafikiria kabla ya kuingia kwenye ndoa. Lakini ni ngumu na aibu kubwa kulalamikia mambo haya kwanza unatoa wapi huo ujasiri wa kusema haupewi na mtu umelala naye kitanda kimoja!
Unakuta kabla ya ndoa mambo yalienda kwa kunyooka. Ila sasa mkioana tu ndo konakona zinaanza visingizio vingi vya hapa na pale haviishi. Mara kichwa kitasingiziwa kuumwa mara tumbo nk. Inafika wakati unaona isiwe kesi nawewe unapotezea au ikibidi unaenda kula mchepuko au malaya huko kitaa maisha yanaendelea.
Mkiamka asbh wanazengo wanajua nyinyi ni wenza na mnaishi kwa furaha amani na utulivu.
Kuna ndoa nyiingi zina staili hii ya maisha ya kinafiki maana unakuta ndio tena mmezaa, mna assets kibao za pamoja na watu wengine hawawezi tu maisha ya kuoa na kuacha kila uchao inabidi tu ufe kiume na tai shingoni. Acha maisha yaendelee.
Usije sema hujaambiwa......afu kila siku utatoa hadi mzeeke🤣🤣🤣🤣weeeee jamani,sema ngoja nikahakikishe yakinikuta nije kukumbuka hii comment 🙌🏾😂
Sawa lakini elewa kwamba wanawake wa ndoa ni wavivu sana kwenye fani hiyo ndio maana wanaume wengi hutafuta dogodogo wanaojituma ipasavyo.Miti lazima ipigwe kwa sana tu, kama hupendi hilo wewe utakuwa sawa na roboti tu muda wote limejaa hasira na stress.
Kwahiyo tukubaliane mke mmoja hatoshi au nyumba ndogo concubine zihalalishwe tu.Sawa lakini elewa kwamba wanawake wa ndoa ni wavivu sana kwenye fani hiyo ndio maana wanaume wengi hutafuta dogodogo wanaojituma ipasavyo.
uuuuweeeeh na nilivo mvivu sasa mbona nitakonda mie jamani 😂😂😂🙌🏾Usije sema hujaambiwa......afu kila siku utatoa hadi mzeeke🤣🤣🤣🤣
Kitu nyeto au sio! 😆Punyetrooo bro punyetrrro
Hili gazeti lote kuna unachomzidi Dr Mwaka?Mojawapo ya kikwazo ni pale mwanamke anapokuwa ana experience kujamiiana badala ya kufanya mapenzi toka kwa the so called mume wake.
That's one of the important skills package kwa mtoto wa kiume kujifunza ni kuwa romantic na mbunifu. Kuanzia majina unayompa mwanamke wako kama a.k.a's mfano teddy bear, mama bear, honey, acha kutumia majina yaliyozoeleka tumia ubunifu kupata jina la kumfanya ajione special kila unapomwita na ni wewe pekee ndie unayemwita kwa hilo jina. Hapa ukiandika gazeti la mahaba siku ya birthday yake ukaweka status, ukamalizia na hiyo a.k.a anajua huyu ni mimi hakuna mwingine.
Sasa unamwita baby, honey, asali how special is that? Hayo majina waachie wazee wa miaka 70 huko.
Kuwa na special days za kumsuprise na ile sex ya ugwadu. Ambayo ukimkamata ni mwendo wa kumkausha maji tu mwilini hadi ukimuachia hapo ni miguu inatetemeka na analala hoi asubuhi anakuta chai umemuandalia bonge la breakfast. Usifanye hivi kwaajiri yake, fanya hivi kwasababu wewe ni romantic kwa mwanamke yoyote yule. Hii ndio huwa ina mfanya hata akienda gongwa nje roho imsute na akuhofie kukupoteza.
Kuwa romantic haiishi wakati wa kutongoza tu, ni zoezi endelevu na unatakiwa kujua umechagua mke wa kariba gani ili ujue how to be romantic. Mimi napambana na chotara wa kichagga hapa, nampelekea moto wa mahaba mwezi wa kumi na mbili familia yake ipo Moshi yeye yupo Dar hana hata time anajumuika nao kwa simu tu.
You have to own her mind, thinking, predict her next move, thought, want, desire, demand, need, feeling, choice. Its easy when you invest a little time to be creative and do what you want to her, narudia kufanya unachotaka kwake sio anachotaka umfanyie. Ukifanya anachotaka anaweza kuwa anakuelekeza kumfanyia alichofanyiwa na X wake au alichokiona kwenye movie and nothing creative about that sababu tayari anajua unachotaka mfanyia. Do you to her. Akikataa rudia tena this time perfect it to make it even more better.
Its hard,tiring and exhausting sometimes ikiwa unalenga kumfurahisha yeye tu ili akupende. But its easy, romantaining, energizing, addicting, driving wild, youthful, spiritualizing, effective, and a bonding thing if ukifanya sababu yako wewe kuwa ndivyo ulivyo, thats how you make it work for the two, when she's bored you got the energy when she's horny you got the bone and the energy to quench her thirst for romance.
Upgrade your game. Don't fight with her, fuk with her.
Dedication kwako brother, artist "Joe Thomas" his song called "More and More" listen to the words.
Mm kuna kamoja ako kananiita romeo jamniii lazima ulegee😂Kuna lugha huwa inatumika sana kwamba mwanaume akipata pesa anabadirika hili siyo kweli, wanawake wengi hawajui sex ni kipengere muhimu sana kwa maumbile ya mwanaume na mbegu millioni kadhaa zinazalishwa daily.
Sasa mwanamke akiwa anampa K kwa mgao kama dawasa mume wake uchumi ukibalance lazima atoke nje ambako anapewa yote bila kubaniwa na anapewa style zote pesa ndio kila kitu.
Sasa wanawake wa kileo wasidhani wanaume hawajatulia au hawawezi kubaki njia kuu, tatizo ninaloliona wake za watu wengi wameshindwa kutimiza mahitaji ya kimwili ya waume zao.
Hata mimi siwezi kukubali kukaa na nyege wakati nina mke, ukinibania subiri tu kuna vitoto huko nje vinahitaji masponsor tunaruka navyo tu, anakuita Anko huku unamega kimtindo.
Hata hao wanaojituma wakiwekwa ndani nao wataanza kutoa Kwa mgao.Sawa lakini elewa kwamba wanawake wa ndoa ni wavivu sana kwenye fani hiyo ndio maana wanaume wengi hutafuta dogodogo wanaojituma ipasavyo.
Ukishakuwa na level za uelewa kiasi hiki basi mwanaume akizinguwa ukisikiaga kuna radhi ya mke ni lazima impate.Hata hao wanaojituma wakiwekwa ndani nao wataanza kutoa Kwa mgao.
Nadhani issue ni kiwe na jando na unyago wa kisasa.....watu wafundishwe saikolojia za jinsia nyingine......mfano Mimi tangia nilipojifunza kuwa Kwa mwanaume sex ni Kama mafuta kwenye gari na Kwa mwanamke ni Kama maji kwenye rejeta (Dr Mauki), wala sina ugomvi na mtu, akiomba nampa......gari bila mafuta litaendaje?
Mafunzo muhimu, watu wafundishwe.
🤣🤣🤣🤣 Hili ni balaa.....Ukishakuwa na level za uelewa kiasi hiki basi mwanaume akizinguwa ukisikiaga kuna radhi ya mke ni lazima impate.
Maana nyumba nyingi sasa hivi ni uwanja wa mashindano.
View attachment 3004504
Tendo liwe siku ya mei mosi tu....😹Weeee.....lisipigwe marufuku, Bali litengewe ratiba ya kiserikali......hizi asubuhi na jioni watatuua hawa🤣
la mgambo likilia ujue kuna jambo pole sana mlumbiWanandoa wengi wanaonekana kuamka nyumba moja na wenza wao tena wengine wakionekana kuwa na nyuso za furaha lakini kiukweli yanayoendelea humo ndani sio ya kufurahisha hata kidogo.
Ukweli wenyewe wanandoa wengi hawapati tendo kama walivyokuwa wanafikiria kabla ya kuingia kwenye ndoa. Lakini ni ngumu na aibu kubwa kulalamikia mambo haya kwanza unatoa wapi huo ujasiri wa kusema haupewi na mtu umelala naye kitanda kimoja!
Unakuta kabla ya ndoa mambo yalienda kwa kunyooka. Ila sasa mkioana tu ndo konakona zinaanza visingizio vingi vya hapa na pale haviishi. Mara kichwa kitasingiziwa kuumwa mara tumbo nk. Inafika wakati unaona isiwe kesi nawewe unapotezea au ikibidi unaenda kula mchepuko au malaya huko kitaa maisha yanaendelea.
Mkiamka asbh wanazengo wanajua nyinyi ni wenza na mnaishi kwa furaha amani na utulivu.
Kuna ndoa nyiingi zina staili hii ya maisha ya kinafiki maana unakuta ndio tena mmezaa, mna assets kibao za pamoja na watu wengine hawawezi tu maisha ya kuoa na kuacha kila uchao inabidi tu ufe kiume na tai shingoni. Acha maisha yaendelee.
Sote tuoe kama waislamu. Mke mmoja anachosha aisee!Kwahiyo tukubaliane mke mmoja hatoshi au nyumba ndogo concubine zihalalishwe tu.
Hiki ni kipindi cha mpito tu, lakini huko mbele ya safari wanawake watawabembeleza wanaume wawaowe na watajihudumia wenyewe ili wawastiri.Sote tuoe kama waislamu. Mke mmoja anachosha aisee!
Sasa kama likipigwa marufuku nini kitakuwa mbadala wa hilo tendoTendo la ndoa lipigwe marufuku....