Odhiambo cairo
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 15,989
- 22,078
Huku ni kujificha kwenye ugaidi wenyewe !! Kila wasomali wakivurugana wanakimbilia Kenya kufanya vurugu. Watulie wajenge nchi yao. Na kama ni ugaidi waufanyie kwao. Pengine wao wanaelewa maana yake.WANA
Wanao jiita magaidi na wale wanao sema wanawapiga magaidi (nchi za magharibi na vibaraka wao) wote lao ni moja, victim ni mimi na wewe bila kujali dini ...
Sent using Jamii Forums mobile app