Tetemeko kubwa lazikumba Uturuki na Syria. Watu zaidi ya 36,257 Wafariki Dunia

Yawezekana Leo nikawa na nyinyi natesa hila Kesho nikala madawa na kuwa chizi wa meditation.

Nikama hukumu inaenda kukamilika
 
Nawaombea waathirika wote kwa ujumla Mungu awarehemu.

Ila ninasiki dokta mkuu na mfawidhi wamesimamishwa kazi?! 🤣 🤣 Kisa hawakwenda kwenye maeneo ya tukio, hawajatoa vifusi, hawajasaidia lolote. Ila vikosi vya uokoaji havijafika wala nini. Tunawaona madokta tu, sijui ni utaratibu au nini?!
 
Vipi huko? Madokta wamefika hawajafika?
 
Siasa ndani yake[emoji23][emoji23][emoji23][emoji2089][emoji2089][emoji2089][emoji2089]
 
Sayansi ya tetemeko sijaielewaga kwa kweli
 
Itakuwa mwaka 1964 kama sikosei. ilipiga kwa sehemu kubwa eneo la bonde la Ufa hasa Manyara ya sasa ukanda wa milima ya Mbulu juu ya bonde la ufa.
Manyara kwa tetemeko ndo kwenyewe yani hasa usiku yanapenda kweli hata wiki iliyopita tu lilipita
 
Sipati picha lingetokea bongo au afrika kwa ujumla janga kama la uturuki sijui kama wangeonekana watu kama Crimea na wenzie kuleta kejeli
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…