Tetemeko la Ardhi latokea baadhi ya Mikoa ya Tanzania

Tetemeko la Ardhi latokea baadhi ya Mikoa ya Tanzania

Kuna tetemeko limetokea mida limechukua kama sekunde 30.,hii hali mie imenikuta nikiwa magomeni mlio maeneo mengine ya jiji la DSM mmepatwa pia na hii hali.??
 
Limepita Kigamboni ferry hapa mara mbili, Tuombe liwe halijatikisa na bahari tu
 
Back
Top Bottom