Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Asishangae hadi fb ataonekanaWatu washakuweka status huku.View attachment 1535404
Umetoka nje kufanya niniNilikuwa home hapa Kivule ninaangalia TBC ARIDHIO ikanibidi nitoke nje
Ila hawa wenzetu wapo mbele sana
Mara hii malink kibao tayari wameshaweka kwenye googleView attachment 1535411
sasa umezima jiko kwa kitu cha sekunde kadhaa si unalala njaa sasa![emoji28][emoji28] tambi
Ulikuwa unakimbilia wapNilikuwa napika,nikazima jiko na kukimbia
Zimeiva?? Nipe kidogo basi😋😋[emoji28][emoji28] tambi
uku moshi mjini mimi hata sijasikia poleni wote mlio darWakuu hili tetemeko limepita Huku Ubungo mkoa wa Dar es Salaam. Vipi huko kwenu?
Earthquake M6.1 - 3.495 miles of Field Patch - Tanzania by BMKG (2020-08-12 17:13:13 UTC)
--
Taarifa ya WanaJF walio mkoa wa Morogoro
sasa umezima jiko kwa kitu cha sekunde kadhaa si unalala njaa sasa!
Nilitoka nje kushangaa kwa maana nilidhania labda Lorry kubwa sana linapitaUmetoka nje kufanya nini
Ulikuwa unakimbilia wap
Kweli wewe jambazi [emoji851][emoji851][emoji851]Hili tetemeko ni dalili tosha kuwa Tanzania chini ya jemedari Dr. John Joseph Magufuli, sasa Tanzania imeingia kwenye uchumi wa kati, na ccm hapo Oct itaenda kushinda kwa ushindi wa kishindo.. Viva Magufuli
Zimeiva?? Nipe kidogo basi[emoji39][emoji39]
Acha uongo, mbona mimi sijatikisika.Hadi uku buza limepita
teh teh mambo ya ajabu[emoji706]Waangalia kwanza tamthilia mkuu ngoja wamalize
basi wewe kichwa chako kiko fasta sana, kitu cha sekunde chache umweza kutafsiri ninini na kuzima jiko na kukimbia ndani ya sekunde chache hizo hizo, hongera aisee!!Hv mkuu huo ujasiri wa kukaa ndani unautoa wap??halafu hapa kwetu limepita mara 2 ndan ya sekunde chache