Tansy
JF-Expert Member
- Apr 19, 2018
- 3,946
- 8,949
mimi pia nilikuwa nimegemea mlango nikashangaa kitu kina move nikatoka nje kuchungulia .Nilitoka nje kushangaa kwa maana nilidhania labda Lorry kubwa sana linapita
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
mimi pia nilikuwa nimegemea mlango nikashangaa kitu kina move nikatoka nje kuchungulia .Nilitoka nje kushangaa kwa maana nilidhania labda Lorry kubwa sana linapita
Sio mchezo ndugu yangumimi pia nilikuwa nimegemea mlango nikashangaa kitu kina move nikatoka nje kuchungulia .
Wengine watakwambia dalili mbaya za Uchaguzi wabongo bana[emoji1787]mimi pia nilikuwa nimegemea mlango nikashangaa kitu kina move nikatoka nje kuchungulia .
Wengine watakwambia dalili mbaya za Uchaguzi wabongo bana[emoji1787]
KudadekiHahahaha CCM wamesahau kidogo kuhusu Lissu
nasikia kapata jiwe ukubwa wa noahLaizer aache kuchimbachimba. Bil 7 hazimtoshi[emoji35]. Atakuja atuue
Hata Buza piaMikocheni halijapita
Wajumbe haoHadi kigamboni limepita
hivi kumbe kunasehemu kweli inaitwa buza huko dar na kuna watu kabisaAcha uongo, mbona mimi sijatikisika.
Mikocheni halijapita
Naam nikweli " hiyo hali imejitokeza muda sio mrefu hapa moro