Ni mchezaji na kama ni mchezaji anacheza namba ngapi?Said Lanso to Young Africans?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ni mchezaji na kama ni mchezaji anacheza namba ngapi?Said Lanso to Young Africans?
Wanatimuliwa au sijaelewa mzee wa jikoni..Simon Patrick, Andre Mtine next ?
Namba 2Ni mchezaji na kama ni mchezaji anacheza namba ngapi?
Kutimuliwa hakujaishaWanatimuliwa au sijaelewa mzee wa jikoni..
Vip kuhusu Simon Patrick na Ntine kuna nin kinaendelea..Namba 2
Kuna kitu hasa MtineVip kuhusu Simon Patrick na Ntine kuna nin kinaendelea..
Mutale anafeli wapi na hicho kitoto Cha 2005 kitaleta badiliko gani ?Mutale
Simon Patrick, Andre Mtine next ?
Mutale yupo.Mutale
Mnataka kumloga na huyu?Lawi baada ya yale mapicha picha wa nini mkuu kwenye timu yetu? Kama mtu alikua ana mapenz ya kweli na timu angeweka msimamo tangu mwanzo kwamba mimi naenda simba baaas, huyo akienda yanga ndio mpira wake utaishia huko.
Daah!! Hii michezo michafu wanayofanya kina Mwigulu sio mizuri.Kama mambo hayatabadilika, Singida Black Stars itawapa Yanga mchezaji wao mpya Jonathan Sowa huku Yanga wakiwapa Kennedy Musonda kwa mkopo
Hapo kuna mchezo upi mchafu?Daah!! Hii michezo michafu wanayofanya kina Mwigulu sio mizuri.
Utaelewa baadae.Hapo kuna mchezo upi mchafu?
Valentino huyu ambaye ameshaanza kumsaidia Zimbwe? We jamaa vp
Hao wachezaji uliowataja hapo bado wana contribute vya kutosha as of now ambapo timu haijalmaliza hata mwaka mmoja tokea waletwe.
View attachment 3150626
Subiri uone kama Valentino ni kibonde anayetakiwa kuachwa.NDUGU YANGU ROME IKISEMA, MJADALA UNAFUNGWA.
Hajui mpira huyo jamaa sijawahi kumuelewa hata siku moja. Nouma gari limeanza kuwaka na jana kacheza vizuri sana kuliko mabeki wote wa bukinabe halafu bado mdogo tu anaachwaje?Subiri uone kama Valentino ni kibonde anayetakiwa kuachwa.