Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huyu hata Tabora Utd hapati nambaSimba SC inaangalia uwezekano wa kumsajili Allan Okello
Mkuu emb waambie simba waache mambo ya kiduwanzi..badala ya kuhangaika na fei au wachezaj wengine wa maana , wanahangaika na mavitu gani hayaSimba SC inaangalia uwezekano wa kumsajili Allan Okello
Watuambie kama tatizo ni pesa, hawa wapuuzi wameleta Mutale na Ahoua wanazurura tu uwanjani. Hawajutii kabisaMkuu emb waambie simba waache mambo ya kiduwanzi..badala ya kuhangaika na fei au wachezaj wengine wa maana , wanahangaika na mavitu gani haya
Baada ya kupatia kwa kiasi kikubwa usajili wa dirisha kubwa wanataka tena kuanza upuuzi wao wakuwaleta wakina Jobe na Koublan wengine. Simba kama wapo serious kweli wamsajili mmojwapo kati ya Fei Toto, Forsy au Kimvudi hao ndio replacement ya uhakika ya Mutale ambaye Simba imekuwa kubwa sana kumzidi uwezo. Halafu watafute fowadi mwingine wa kumreplace Mukwala maana huyu huwa hata simwelewi muda wote namuona anakimbia kimbia bila mpangilio kule mbele. Tofauti na hivyo bora wasisajili kabisa dirisha hili ijulikane moja.Simba SC inaangalia uwezekano wa kumsajili Allan Okello
Lazima wapigaji wameingia wanataka kufanya usenge wa mwaka jana amajuzi,Baada ya kupatia kwa kiasi kikubwa usajili wa dirisha kubwa wanataka tena kuanza upuuzi wao wakuwaleta wakina Jobe na Koublan wengine. Simba kama wapo serious kweli wamsajili mmojwapo kati ya Fei Toto, Forsy au Kimvudi hao ndio replacement ya uhakika ya Mutale ambaye Simba imekuwa kubwa sana kumzidi uwezo. Halafu watafute fowadi mwingine wa kumreplace Mukwala maana huyu huwa hata simwelewi muda wote namuona anakimbia kimbia bila mpangilio kule mbele. Tofauti na hivyo bora wasisajili kabisa dirisha hili ijulikane moja.
Jonathan sowa yuko singida?Kama mambo hayatabadilika, Singida Black Stars itawapa Yanga mchezaji wao mpya Jonathan Sowa huku Yanga wakiwapa Kennedy Musonda kwa mkopo
Ni bonge la mchezaji, Azam walitaka kumsajili wakati huo kinda Ila walishindwa day la $400,000Simba SC inaangalia uwezekano wa kumsajili Allan Okello
NdiyoJonathan sowa yuko singida?
Ni mzuriNi bonge la mchezaji, Azam walitaka kumsajili wakati huo kinda Ila walishindwa day la $400,000
Kesho Mpanzu atacheza?Ni mzuri
Mpanzu tunamsubiri kwa hamu, halafu akaishie kurukaruka kama Mutale. TutachekwaKesho Mpanzu atacheza?
Kama itampendeza kochaKesho Mpanzu atacheza?
Hongera kwao aiseeNdiyo
Kesho Mpanzu atacheza?
Wazembe muda wote walikuwa wanakaa naye wa niniViongozi wa simba hawajapata ITC yake hadi sasa itc yake ipo kwao Congo hadi muda huu.
Uwezekano wa Mpanzu kucheza kesho ni zero 0.
Sijajua badoKesho Mpanzu atacheza?
Yuko TzHongera kwao aisee
Mbona kila nikitizama naona yuko uarabun
Wazembe muda wote walikuwa wanakaa naye wa nini