Tetesi: Tetesi za usajili dirisha dogo Tanzania bara 2024/2025

Tetesi: Tetesi za usajili dirisha dogo Tanzania bara 2024/2025

Djigui Diara nje wiki sita. Max Nzengeli nje wiki mbili
Uchawi una kawaida ya kuaibisha..

Wanachokipitia Yanga ni madhara ya uchawi walioufanya kwa wenzao...

Yanga hawana tatizo la wachezaji, hata kama Max na Diara wameumia ila watapitia kipindi kigumu sana...

Tutaendelea kuona Yanga ikifungwa goli za ajabu hadi akili ziwakae sawa.
 
Uchawi una kawaida ya kuaibisha..

Wanachokipitia Yanga ni madhara ya uchawi walioufanya kwa wenzao...

Yanga hawana tatizo la wachezaji, hata kama Max na Diara wameumia ila watapitia kipindi kigumu sana...

Tutaendelea kuona Yanga ikifungwa goli za ajabu hadi akili ziwakae sawa.
Mnajua kujilazimisha faraja fake
Usijidanganye
Yanga bingwa
 
Uchawi una kawaida ya kuaibisha..

Wanachokipitia Yanga ni madhara ya uchawi walioufanya kwa wenzao...

Yanga hawana tatizo la wachezaji, hata kama Max na Diara wameumia ila watapitia kipindi kigumu sana...

Tutaendelea kuona Yanga ikifungwa goli za ajabu hadi akili ziwakae sawa.
Jamaa watakua walipiga mauachawi mengi sana ..sasa uchawi umeisha au unawarudi...leo diarra ni wa kukaa nje miezi?
 
TETESI: Saido Ntibanzonkiza kutambulishwa Jangwani muda si mrefu. Habari za uhakika zinapasha kuwa ameshamalizana na uongozi wa Yanga.
ntibazontika tulimtumia akaisha ndo tukaamua tuwape na nyie makolo.
 
Back
Top Bottom