Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Utopolo wasahau kufanikiwa msimu huuDjigui Diara nje wiki sita. Max Nzengeli nje wiki mbili
Walikua wanajinasibu wana kikosi kipanaUtopolo wasahau kufanikiwa msimu huu
Kinachoweza kucheza na malaika [emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24]Walikua wanajinasibu wana kikosi kipana
😀😀😀😀Walikua wanajinasibu wana kikosi kipana
Hapa nimewaonea huruma UtoDjigui Diara nje wiki sita. Max Nzengeli nje wiki mbili
Uchawi una kawaida ya kuaibisha..Djigui Diara nje wiki sita. Max Nzengeli nje wiki mbili
Mnajua kujilazimisha faraja fakeUchawi una kawaida ya kuaibisha..
Wanachokipitia Yanga ni madhara ya uchawi walioufanya kwa wenzao...
Yanga hawana tatizo la wachezaji, hata kama Max na Diara wameumia ila watapitia kipindi kigumu sana...
Tutaendelea kuona Yanga ikifungwa goli za ajabu hadi akili ziwakae sawa.
Jamaa watakua walipiga mauachawi mengi sana ..sasa uchawi umeisha au unawarudi...leo diarra ni wa kukaa nje miezi?Uchawi una kawaida ya kuaibisha..
Wanachokipitia Yanga ni madhara ya uchawi walioufanya kwa wenzao...
Yanga hawana tatizo la wachezaji, hata kama Max na Diara wameumia ila watapitia kipindi kigumu sana...
Tutaendelea kuona Yanga ikifungwa goli za ajabu hadi akili ziwakae sawa.
Hivi hizi injury za mfululizo inakuwaje? Hao wameumia mazoezini amaChama nje wiki mbili hadi 3
Dube anakusalimia chambuziLakini sio kwa kiwango cha upumbavu wa kumsajili Dube na Baleke
Mazoezini na kwenye mechiHivi hizi injury za mfululizo inakuwaje? Hao wameumia mazoezini ama
He knowsHichilema kwa mara nyingine mfatilie Stambuli that kid is real baller.
ntibazontika tulimtumia akaisha ndo tukaamua tuwape na nyie makolo.TETESI: Saido Ntibanzonkiza kutambulishwa Jangwani muda si mrefu. Habari za uhakika zinapasha kuwa ameshamalizana na uongozi wa Yanga.
Acha ushambantibazontika tulimtumia akaisha ndo tukaamua tuwape na nyie makolo.