Tetesi: Tetesi za usajili ligi kuu Tanzania bara 2024/2025

Tetesi: Tetesi za usajili ligi kuu Tanzania bara 2024/2025

Mke wake kashapona, makolo bhana
1719774161145.png
 
Huu msimu kama itakuwa hivyo, Simba watakuwa wameonyesha umakini sana.
Hizi story hatujaanza kuziskia leo,nakumbuza interview ya Magori baada ya kuwasajili Sakho na Banda.I think Simba walipaswa kupata kocha kwanza ambaye atatoa aproval ya huo usajili
 
Hizi story hatujaanza kuziskia leo,nakumbuza interview ya Magori baada ya kuwasajili Sakho na Banda.I think Simba walipaswa kupata kocha kwanza ambaye atatoa aproval ya huo usajili
Mpira wa kisiasa umetoka Kwa kusajili wachezaji wa kocha. Timu zinajenga falsafa zake na kuwa na wakurugenzi wa ufundi. Wachezaji wanasajiliwa kulingana na falsafa za timu.
 
Back
Top Bottom