Undava King
JF-Expert Member
- Aug 11, 2017
- 3,422
- 5,659
- Thread starter
- #61
Swali zuriwalipigania uhuru wate walipa uongozi?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Swali zuriwalipigania uhuru wate walipa uongozi?
Mambo kama haya na manyanyaso mengine yakusaka ajira yamekatisha sana ndoto za watoto wa masikini wengi.ukimaliza chuo njoo nikupe uongozi sehemu.kigezo uwe beauty..tuu
kivipi?Mambo kama haya na manyanyaso mengine yakusaka ajira yamekatisha sana ndoto za watoto wa masikini wengi.
Acha watu wa kwenye mfumo walambe asali tamu ndugu yangu.Nipo nawaza tu kama mwanangu nae ipo siku mtamkumbuka kwenye teuzi zenu ama ndiyo atakula kulingana na urefu wa kamba ya baba yake ilipoishia.
Kweli maisha kwa masikini ni ndoto isiyofikika, dunia uwanja wa vita na sisi ndiyo tunaopiganishwa, masikini mwenzangu hamka ukachakarike uitafutie familia mlo wa siku na ulipe kodi yao, kumbuka kuwa wapo wavuja jasho na wapo wanaofaidi matunda ya keki hiyo..bahati nikubahatika kuwa na mkono mrefu utafikiwa.
Walianza babu zao sasa wamemaliza mzunguko wa baba zao katika ufalme, picha linaashiria kabisa ni kuwa wazazi wanawapokeza mikoba watoto wao kurithi miliki wakati mwanangu namrithisha jembe la mkono na ardhi yenye ugumba kwa kukosa mbolea na pembejeo ni wazi wananing'ong'a.
Hata ile ada niliyotumia kumsomesha nikidhani ndiyo ukombozi nayo imeishia matumboni mwao hivi sasa wananikejeli tu wakinena kwa vinywa vyao vinavyonuka rushwa,upendeleo, ubinafsi na unafiki..ajira nichache mwambie mwanao ajiajiri aache uvivu mbona kazi ni nyingi tu graduate kafuge hata bata...huku bata la masaki hajui anachokula watabata kweli wanao haki kuna day watapata.. dunia ni njema ila walimwengu hawana maana.
Wazembe walikosawalipigania uhuru wate walipa uongozi?
Kwani waliopambania uhuru na vizazi vyao mpaka yakaja matawi mengine ya wachumia tumbo kwenye mfumo wao, walifanya hivyo ili tuwalipe kwa madaraka yasiyo na ukomo na kujilimbikizia mali nyingi wao tu na koo zao mpaka mwisho wa dunia?Wazembe walikosa
Hii ni spana balaa wakati tabata mpk kinyerezi....ni mapori matupu Kuna majaruba...Wa kulaumiwa ni babu na wazazi wako. Wakati kina Julius wanapigania uhuru wao walikuwa wanakunywa Chimpumu na kuzichakata papuchi za wake wa watu...
Kaza buti wanao wasije kulalamika kama wewe...
Daah sio kweli mkuu Viongozi wengi wametokea chini wao ndio wanaanza kuendeleza huo mfumo wako...Duniani kote, mifumo iko hivyo; kama wewe ni mlinzi, kuna uwezekano mkubwa na watoto wako wakawa walinzi
ukipanda mabua utavuna mabua maisha unayopitia ivi leo ni matoke ya maisha waliopanda baba zako kwaiyo kubwa sio kulalamika kupambana na kumbuomba mungu watoto wako watatoboa tu ukiishi kwa kukata tamaa hutofanikiwa kwa jambo lolote manaa mungu wetu sisi ni wa rehema anasema anatuwazia mema kutupa tumaini siku zetu za mwisho tumtumaini bwana
Sisi,nchi za kiafrika hatufati hiyoMfumo wa kuongoza nchi unapaswa kufuata katiba iliyoandikwa na wananchi wake kwa mizania na kufuatwa kwa ukamilifu na kila mtawala na raia wa nchi husika.
Na siyo suala la kutegemea utashi au hisia za kiongozi zitende kwa busara, suala ambalo haliwezekani maana binadamu kifilosophia ameumbwa na ubinafsi.
Ya kwamba tusiongee kisa tunaofia intelijensia uchwara..!!?Kuna mtu humu ndani Alisha wai kutoa maoni binafsi humu jamvini..... Na hayo maoni yakamletea matatizo.....
Natamani kulijua hili
Nepotism imekomaa mno siyo kificho tenaUndugulization
Ya kwamba masikini na mwanaye..tajiri na mali zake.Acha watu wa kwenye mfumo walambe asali tamu ndugu yangu.
maji ufuata mkondo hata uzunguni watoto wa watawala upata nafasiNipo nawaza tu kama mwanangu nae ipo siku mtamkumbuka kwenye teuzi zenu ama ndiyo atakula kulingana na urefu wa kamba ya baba yake ilipoishia.
Kweli maisha kwa masikini ni ndoto isiyofikika, dunia uwanja wa vita na sisi ndiyo tunaopiganishwa, masikini mwenzangu hamka ukachakarike uitafutie familia mlo wa siku na ulipe kodi yao, kumbuka kuwa wapo wavuja jasho na wapo wanaofaidi matunda ya keki hiyo..bahati nikubahatika kuwa na mkono mrefu utafikiwa.
Walianza babu zao sasa wamemaliza mzunguko wa baba zao katika ufalme, picha linaashiria kabisa ni kuwa wazazi wanawapokeza mikoba watoto wao kurithi miliki wakati mwanangu namrithisha jembe la mkono na ardhi yenye ugumba kwa kukosa mbolea na pembejeo ni wazi wananing'ong'a.
Hata ile ada niliyotumia kumsomesha nikidhani ndiyo ukombozi nayo imeishia matumboni mwao hivi sasa wananikejeli tu wakinena kwa vinywa vyao vinavyonuka rushwa,upendeleo, ubinafsi na unafiki..ajira nichache mwambie mwanao ajiajiri aache uvivu mbona kazi ni nyingi tu graduate kafuge hata bata...huku bata la masaki hajui anachokula watabata kweli wanao haki kuna day watapata.. dunia ni njema ila walimwengu hawana maana.
alilamiki bali chuki alionayo inafanya awe hivioMnaanzishaga mada nzuri huku mna jazba !
Hauelezei vya maana unaishia kulalamika tu!
Uoga wetu waTz ndiyo kaburi letu.