Teuzi mbalimbali kujaa majina ya watoto wa viongozi na vigogo Serikalini kama taifa tunaelekea wapi?

Acha watu wa kwenye mfumo walambe asali tamu ndugu yangu.
 
ukipanda mabua utavuna mabua maisha unayopitia ivi leo ni matoke ya maisha waliopanda baba zako kwaiyo kubwa sio kulalamika kupambana na kumbuomba mungu watoto wako watatoboa tu ukiishi kwa kukata tamaa hutofanikiwa kwa jambo lolote manaa mungu wetu sisi ni wa rehema anasema anatuwazia mema kutupa tumaini siku zetu za mwisho tumtumaini bwana
 
Wazembe walikosa
Kwani waliopambania uhuru na vizazi vyao mpaka yakaja matawi mengine ya wachumia tumbo kwenye mfumo wao, walifanya hivyo ili tuwalipe kwa madaraka yasiyo na ukomo na kujilimbikizia mali nyingi wao tu na koo zao mpaka mwisho wa dunia?
 
Kama wapo akina Makonda kinachotakiwa ni uchapaji kazi ila kuna ambao wapo tu kwa kuwa ni wa vigogo na wenye uwezo wapo mtaani. Mimi ninaona kwa kuwa uongozi ni kipaji basi achukuliwe mtu yoyote mwenye kipaji.
 
Wa kulaumiwa ni babu na wazazi wako. Wakati kina Julius wanapigania uhuru wao walikuwa wanakunywa Chimpumu na kuzichakata papuchi za wake wa watu...

Kaza buti wanao wasije kulalamika kama wewe...
Hii ni spana balaa wakati tabata mpk kinyerezi....ni mapori matupu Kuna majaruba...

Wazee wetu walishindwa kutafuta connections za maana kuwezesha wao na familia zao kupata connection za kuinjoi keki ya taifa....

Enzi izo mbagala mpk kongowe na Kule chamazi ni mapori kina muogo mchungu wa kaole wanaenda kuigizia zile thamsilia za Kila jumamosi.... Bado yalikua mapori

Kwaio sis masikini wa Tz ambao ni 70% hatuna watu huko serikali kuu...makapuku 🤣🤣 wazazi wetu walikua hawana maono....yaan hizi ni spana balaa
Yaan 🤠🤠 hata kakiwanja na ka nyumba dar es salaam ukoo mzima hamna
Rai yangu Tupambane kutengeneza kesho nzuri za koo zetu na familia zetu

Nimeandika andika tu sijui hata nimeandika nini🤣🤣🤣🤣🤣😂😂😂😂
 

Amen! Siku zote penye nia pana njia na penye tumaini lolote lile linawezekana..ubarikiwe.
 
Sisi,nchi za kiafrika hatufati hiyo

Ova
 
maji ufuata mkondo hata uzunguni watoto wa watawala upata nafasi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…