Linguistic
JF-Expert Member
- Mar 16, 2021
- 3,669
- 8,268
Bakwata Kino Wanaugonga Mwingi Sana. Wateule watatu Wote Ni Bakwata [emoji1786][emoji1786][emoji1786][emoji1786]Karibu Tena Meat King
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Bakwata Kino Wanaugonga Mwingi Sana. Wateule watatu Wote Ni Bakwata [emoji1786][emoji1786][emoji1786][emoji1786]Karibu Tena Meat King
Yaani kiufupi atapelekwa mwingine... Itabidi apewe muda kuipitia upya..Atapelekwa Jaji Kulita, ambae Yeye na Siyami pia Ni Maafisa Vipenyo
Angalia orodha ya Majaji kuanzia Mahakama ya Rufaa na Mahakama kuu,Naona BAKWATA inang’ara kama sufi.... hongereni kutesa kwa zamu!
Nina wasiwasi kwamba huu ni mkakati maalum wa kuchelewesha kesi hiyo na kuzidi kumdhalilisha Mbowe na si ajabu hata kumfunga.
Yote kwa yote.....Mungu ndio hakimu wa yote tuyafanyayoKama hawatamuchia huyu Jaji aliyesikiliza kesi hii kuendelea nayo basi Jaji atakayepangiwa atadai hajui lolote kuhusu ushahidi wa kesi hii. Hivyo kesi kuanza upya kabisa na Mbowe na wenzie kuendelea kusota lupango kwa miezi mingine chungu nzima.
CJ ni MuislamAngalia orodha ya Majaji kuanzia Mahakama ya Rufaa na Mahakama kuu,
angalia Wasajili nchi nzima, Mahakimu nchi nzima na watendaji wengine wa mahakama, utagundua walio wengi ni watu wa aina mmoja yaani hakuna uwiano hata kidogo, hii sio sawa kabisa ktk kujenga umoja wa Taifa letu.
Tanznaia lazima ijengwe na watanzania wote.
Angalu Rais anajitahidi kuweka uwiano.
Tafuta Judgement Hii Mkuu for referenceYaani kiufupi atapelekwa mwingine... Itabidi apewe muda kuipitia upya..
Shida ni je.. Akiwa anaipitia.. Atakuwa huru? Hii ni Africa ndugu yangu
Walipoteuliwa wasukuma hamkuona, mfyuuuu zenuBakwata Kino Wanaugonga Mwingi Sana. Wateule watatu Wote Ni Bakwata [emoji1786][emoji1786][emoji1786][emoji1786]
Kuna haja ya kupata mamlaka ya uteuzi inayowajibika kwa wananchi!Wawe wanaweka na sababu za kutenguliwa pia ingependeza ili wengne wajifunze
Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
Philemon Sengati ana kiburi kimepitiliza, aliwagomea hadi mawaziri wa kilimo kwenye kutoza mazao km dengu, alikuwa anakaidi amri za mabosi zake.
weka orodha yote ya Majaji wa Mahakama ya Rufaaa,CJ ni Muislam
JK ni Muislam
Msajili Wa Mahakama Tz ni Muislam
Dk.Grace MugabeHuo uDr aliupata lini au ndio yale mambo yetu ya degree za vyupi.
Sent using Jamii Forums mobile app
Atapelekwa Jaji Kulita, ambae Yeye na Siyami pia Ni Maafisa Vipenyo
Hii ni Afghanistan....CJ ni Muislam
JK ni Muislam
Msajili Wa Mahakama Tz ni Muislam
Kwakweli kutesa kwa zamu..Naona BAKWATA inang’ara kama sufi.... hongereni kutesa kwa zamu!
Acheni upuuzi huu, watu wafanye kazi kwa uhuru.Naona BAKWATA inang’ara kama sufi.... hongereni kutesa kwa zamu!