Evelyn Salt
JF-Expert Member
- Jan 5, 2012
- 70,916
- 141,437
πππππwakuu yule jamaa aliyegombeaga ubunge na ndugai kisha akapigwa rungu na ndugai na kuzimia,kisha kumpooza ccm wakampa ukuu wa wilaya ya meatu.
naona kwenye teuzi hayupo,kapewa kitengo gani?
anaitwa dkt chilongani!
Sipo best, nasikilizia udas....kama sipo narudi kwetu kulima make kilimo kinalipa
Nikiweka mil 1 kwenye matikiti baada ya miezi 6 nna mil 13
Ukiteuliwa nipe uderevaWakurugenzi lini?
Unarudiarudia kuandika kitu kimoja mara 50 .....Hakuna Rais hapo nchi ipo ipo tu Mungu atusaidie Watanzania.
π€£π€£Unamaanisha waheshimiwa wamepata teuzi za ukuu wa Wilaya halafu wasifurahi sana, eti kwa kuhofia kutengulia!??? Kweli mchawi si lazima arugeruge usiku na kienge cha moto.
Hao ni hopelessly , mama pigΓ kaziKuna watu ni wanafiki sana Kwahiyo mama kuteua ma-DC imewauma sana?mbona kipindi cha Jpm hamkulalamika?
Kipindi kile watu waliteuliwa hamkulalamika sasa samia anateua mwalalamika kwanini akifanya samia inakua nongwa lakini akifanya magufuli inakua ni sawa?
Au ndo mkuki wa nguruwe
Mbona kipindi cha jpm akiteua hamkunyanyua pua zenu?
Tena wanaolalamika ni vijana wa mataga ambao kipindi cha jpm walifurahia teuzi
Wacheni unafiki acheni mama achape kazi
Rais Mama yakoHakuna Rais hapo nchi ipo ipo tu Mungu atusaidie Watanzania.
Rais Mama yakoHakuna Cha maana hapo hatuna Rais fool stop.Kuna siku mtakuja elewa
Rais Mama yakoHakuna cha taswira kifupi hatuna Rais keep my word.
UVCCM wenye akili.hamnaHivi mama anafeli wapi wadau ?yaani ndani ya ccm hakuna vijana wa kupewa uteuzi hadi anawapa ulaji hao wahamiaji wenye tamaa ya madaraka toka chadema, kuna vijana wengi ccm wamekipigania chama toka zamani lakini hawajapata uteuzi,daah yaani anarudia yale yale kama ya hayati magufuli
Rais Mama yakoHakuna Rais hapo nchi ipo ipo tu Mungu atusaidie Watanzania.
Unashangilia wanaume wenzako kuteuliwa tena waliotoka upinzaniMsando ndani
Lijuakali ndani
Nasari ndani
Niki wa pili ndani
Kheri james ndani
Bavicha wanataambia nini watu?
Upuuzi tu mjeshi mmoja atasaidia nini sasa?Ameweka wanajeshi sehemu zenye changamoto za kiusalama. Safi sana!
Ni mmeo?Joshua hongera mzee, nimefurahi sana sana! Ngoja niagize K vant jibaba nikamilishe siku [emoji1783]
Wewe je umeteuliwa?Uvumilivu una lipa yupo kapata uteuzi
Atakuwa anatumia jina lingineHuyo kama hii teuzi imempita ndo basi tena atafte shughuli nyingine tu.
Mama akoRais Mama yako