Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
wanasema alienda kufanya UN? duh aisee nilikuwa shile sekondari ila ujibuji wake wa maswali aibu niliona mimi labada kama baadaye alikuja kujiendeleza ila yalikuwa ni maswali basics sanaNaikumbuka hiyo mkuu....naikumbuka mno! Alikuwa font page almost 3mths
Hata mm nilikua sec...noma..wanasema alienda kufanya UN? duh aisee nilikuwa shile sekondari ila ujibuji wake wa maswali aibu niliona mimi labada kama baadaye alikuja kujiendeleza ila yalikuwa ni maswali basics sana
Pia ukiwa bingwa wa kusaliti na kumtukana Mbowe mfululizoUtoke tu watu waangalie majina yao, nafasi mpya za ajira ambazo hazina application wala interview, sifa ya kupata ajira ni mapenzi ya mtawala kwa mteuliwa, unaweza pewa kwa sura/sauti nzuri uliyonayo, au ukose kwa sura/sauti mbaya uliyonayo.
Haiwezi kusambaratika watajifunza mbinu mpya. Wataenda wapi wakati hawana kazi za maanaBaada ya viongozi wa juu wa UVCCM kupata uteuzi sasa ni rasmi Mama kaisambaratisha. Mama anataka kuanza na vijana wapya na si masalia ya jiwe, tutazamie nini?
Haija sambaratishwa hii ni katika juhudi za kuisuka upya ili tutoke tulipokwamia na tuyaangazie maslahi ya kweli ya taifa.Baada ya viongozi wa juu wa UVCCM kupata uteuzi sasa ni rasmi Mama kaisambaratisha. Mama anataka kuanza na vijana wapya na si masalia ya jiwe, tutazamie nini?
Ha ha ha nitoke jf niende wapi tena. Nondo kama hizi zipo jf tu!Haiwezi kusambaratika watajifunza mbinu mpya. Wataenda wapi wakati hawana kazi za maana
Na hivi vyeo ni ujinga wa kufuata mfumo wa kikoloni uliotumika kuthibiti watanzania miaka hiyoWakolini walikuwa wanaendesha uongozi katika makolini yao kama walivyokuwa wanaendesha kwenye nchi zao
Na ndio DC sasa,Kwa mnaokumbuka Itv jackpot bingo wale wadada warembo wa mujini walikuwa wanchezesha ile bahato nasibu ya mzee Mengi kama kina Teddy kalonga basi alikuwepo huyu Dc mpya ambaye kama mwaka mmoja nyuma alikuwa ameshinda miss Tanzania anaitwa Basilla mwanukuzi...
Na ndio DC sasa,Kwa mnaokumbuka Itv jackpot bingo wale wadada warembo wa mujini walikuwa wanchezesha ile bahato nasibu ya mzee Mengi kama kina Teddy kalonga basi alikuwepo huyu Dc mpya ambaye kama mwaka mmoja nyuma alikuwa ameshinda miss Tanzania anaitwa Basilla mwanukuzi...