TEUZI: Rais Samia ateua Wakuu wa Wilaya. Nassari, Dkt. Mashinji, Lijualikali, Msando, Nikki wa Pili ndani

TEUZI: Rais Samia ateua Wakuu wa Wilaya. Nassari, Dkt. Mashinji, Lijualikali, Msando, Nikki wa Pili ndani

Kwa mnaokumbuka Itv jackpot bingo wale wadada warembo wa mujini walikuwa wanchezesha ile bahato nasibu ya mzee Mengi kama kina Teddy kalonga basi alikuwepo huyu Dc mpya ambaye kama mwaka mmoja nyuma alikuwa ameshinda miss Tanzania anaitwa Basilla mwanukuzi

Kulikuwa na segment host anauliza maswali nakumbuka aliulizwa kuhusu mji mkuu wa nchi fulani na jina la katibu mkuu wa umoja wa mataifa na jingine nimesahau akajibu vitu vya ajabu kwelikweli

Kesho yake gazet la udaku likaruka naye front page BASILA ANA UBONGO WA SAMAKI
Hahahaha nimecheka mpaka nimewakera waliojirani yangu[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]
 
Ao kina Mashinji na Lijuakali ndo wameambulia ukuu wa Wilaya, usaliti wao iziikwaltu ukuu wa Wilaya
 
Kwa mnaokumbuka Itv jackpot bingo wale wadada warembo wa mujini walikuwa wanchezesha ile bahato nasibu ya mzee Mengi kama kina Teddy kalonga basi alikuwepo huyu Dc mpya ambaye kama mwaka mmoja nyuma alikuwa ameshinda miss Tanzania anaitwa Basilla mwanukuzi

Kulikuwa na segment host anauliza maswali nakumbuka aliulizwa kuhusu mji mkuu wa nchi fulani na jina la katibu mkuu wa umoja wa mataifa na jingine nimesahau akajibu vitu vya ajabu kwelikweli

Kesho yake gazet la udaku likaruka naye front page BASILA ANA UBONGO WA SAMAKI
Naikumbuka hiyo mkuu....naikumbuka mno! Alikuwa font page almost 3mths
 
Maingizo mapya ya Samia nimeyaelewa, tasnia ya habari inaonekana ina kismati sana kwenye hizi nafasi. A. Mwaipaya (ITV/Radio One), G. Zakaria (TBC fm), Fatma Nyangasa from Azam Media.

- Mwaipaya akitoka kwenye msiba wa baba yake akatulie kwenye v8.

Huko Kigoma ngoma ni maafisa wa jeshi tu, ukiondoa Kigoma mjini kwingine kote ni maafisa jeshi.
Mipakani kuna tensions sana ndio mana hata RC Ni Major General Charles Mbuge kule hakupaswi kuwa led by Civilian, Wanajeshi wanafaa sana
 
Kakangu Kanali Wa Jeshi Kateuliwa Kuwa DC, Kanali Wa Jeshi Anakuwaje Disiii [emoji846][emoji846][emoji846]
 
Kuwa na maDC wa style ya kina Godwin Gongwe na Jerry Muro ni kuendelea kurudi nyuma kimaendeleo kwa kasi ya ajabu. Hao jamaa hawafai na hawajawahi kufaa. Ni watu wakupenda sifa za kijinga na umaarufu wa vyombo vya habari.
wanapenda sana kamera hao
 
Wakoloni walikuwa makiini katika tuezi kuliko viongozi wetu wa leo wanaotumia kigezo cha ukada na kuikomoa/kuihujumu CHADEMA kufanya uteuzi.

Badala ya kuiga mazuri ya wakoloni, tumeiga ya kijinga kama kuweka watu ndani kwa amri ya DC au RC.

Ngozi nyeusi iko duniani kimakosa!

Screenshot_20210620-122914_Twitter.jpg
 
Wakoloni walikuwa makiini katika tuezi kuliko viongozi wetu wa leo wanaotumia kigezo cha ukada na kuikomoa/kuihujumu CHADEMA kufanya uteuzi.

Badala ya kuiga mazuri ya wakoloni, tumeiga ya kijinga kama kuweka watu ndani kwa anru ya DC au RC..

Ngozi nyeusi iko duniani kimakosa!

View attachment 1824461
Mambo ya kugawiana mavyeo yako vyama vyote
 
Wakoloni walikuwa makiini katika tuezi kuliko viongozi wetu wa leo wanaotumia kigezo cha ukada na kuikomoa/kuihujumu CHADEMA kufanya uteuzi.

Badala ya kuiga mazuri ya wakoloni, tumeiga ya kijinga kama kuweka watu ndani kwa amri ya DC au RC.

Ngozi nyeusi iko duniani kimakosa!

View attachment 1824461
Kigezo kikubwa kwa sasa ni ukada
 
Mambo ya kugawiana mavyeo yako vyama vyote
Afadhali ya CCM kuliko kwa baba mkubwa, mmiliki wa chama. Lazima ufungue kufuli au uwe mKaskazini Mashariki ya nchi. Halafu eti baba wa domokrasia.
 
Afadhali ya CCM kuliko kwa baba mkubwa, mmiliki wa chama. Lazima ufungue kufuli au uwe mKaskazini Mashariki ya nchi. Halafu eti baba wa domokrasia.
Ukiangalia CDM wanavyofanyaga teuzi za viti maalum utajua hawana tofauti yoyote na CCM.
 
Hizo ni shida zako kila mtu apambane na hali yake.

Hamia hizo nchi hukatazwi.
Hizo ni shida za 90% ya vijana nchini na wewe mmojawapo
Lakini siasa za kipuuzi za kibongo zimekuzoesha umasikini ili uone ni sehemu ya maisha yako
Na sasa hivi viteuzi vya wanaojikombakomba kwenye hizo siasa uchwara ndio zimekuwa kama bahati nasibu ya maisha.
Hawa makende walioteuliwa watafanya nini kubadilisha maisha ya watu kwenye maeneo ya uteuzi zaidi kwenda kuiba, kunyanyasa na kuua (Sabaya, Makonda) ? ....
 
Back
Top Bottom