Wangari Maathai
JF-Expert Member
- Aug 13, 2018
- 34,962
- 70,576
Hata mimi nimemtilia shaka kusema mchopanga ni smartLeak please, una akili ya mbu,
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hata mimi nimemtilia shaka kusema mchopanga ni smartLeak please, una akili ya mbu,
Hahahaha nimecheka mpaka nimewakera waliojirani yangu[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]Kwa mnaokumbuka Itv jackpot bingo wale wadada warembo wa mujini walikuwa wanchezesha ile bahato nasibu ya mzee Mengi kama kina Teddy kalonga basi alikuwepo huyu Dc mpya ambaye kama mwaka mmoja nyuma alikuwa ameshinda miss Tanzania anaitwa Basilla mwanukuzi
Kulikuwa na segment host anauliza maswali nakumbuka aliulizwa kuhusu mji mkuu wa nchi fulani na jina la katibu mkuu wa umoja wa mataifa na jingine nimesahau akajibu vitu vya ajabu kwelikweli
Kesho yake gazet la udaku likaruka naye front page BASILA ANA UBONGO WA SAMAKI
Nadhani wakuu wa wilaya wana marupurupu mazuri kuzidiHivi kuwa wakili na kuwa mkuu wa wilaya bora nini
Naikumbuka hiyo mkuu....naikumbuka mno! Alikuwa font page almost 3mthsKwa mnaokumbuka Itv jackpot bingo wale wadada warembo wa mujini walikuwa wanchezesha ile bahato nasibu ya mzee Mengi kama kina Teddy kalonga basi alikuwepo huyu Dc mpya ambaye kama mwaka mmoja nyuma alikuwa ameshinda miss Tanzania anaitwa Basilla mwanukuzi
Kulikuwa na segment host anauliza maswali nakumbuka aliulizwa kuhusu mji mkuu wa nchi fulani na jina la katibu mkuu wa umoja wa mataifa na jingine nimesahau akajibu vitu vya ajabu kwelikweli
Kesho yake gazet la udaku likaruka naye front page BASILA ANA UBONGO WA SAMAKI
Mipakani kuna tensions sana ndio mana hata RC Ni Major General Charles Mbuge kule hakupaswi kuwa led by Civilian, Wanajeshi wanafaa sanaMaingizo mapya ya Samia nimeyaelewa, tasnia ya habari inaonekana ina kismati sana kwenye hizi nafasi. A. Mwaipaya (ITV/Radio One), G. Zakaria (TBC fm), Fatma Nyangasa from Azam Media.
- Mwaipaya akitoka kwenye msiba wa baba yake akatulie kwenye v8.
Huko Kigoma ngoma ni maafisa wa jeshi tu, ukiondoa Kigoma mjini kwingine kote ni maafisa jeshi.
wanapenda sana kamera haoKuwa na maDC wa style ya kina Godwin Gongwe na Jerry Muro ni kuendelea kurudi nyuma kimaendeleo kwa kasi ya ajabu. Hao jamaa hawafai na hawajawahi kufaa. Ni watu wakupenda sifa za kijinga na umaarufu wa vyombo vya habari.
Na wewe ungekuwa nani?Njombe sio mkoa mdogo, huo ndio mkoa unaozalisha mbao zinaozoijenga nchi,
Wahun wanataka connection na ndio hizi wamezipataUhuni mbele ya pesaa, au nataka arudi kitaa Ili muendelee kusugua bechi pamoja?
Mambo ya kugawiana mavyeo yako vyama vyoteWakoloni walikuwa makiini katika tuezi kuliko viongozi wetu wa leo wanaotumia kigezo cha ukada na kuikomoa/kuihujumu CHADEMA kufanya uteuzi.
Badala ya kuiga mazuri ya wakoloni, tumeiga ya kijinga kama kuweka watu ndani kwa anru ya DC au RC..
Ngozi nyeusi iko duniani kimakosa!
View attachment 1824461
uongo utakusaidia nini ?Mambo ya kugawiana mavyeo yako vyama vyote
Kigezo kikubwa kwa sasa ni ukadaWakoloni walikuwa makiini katika tuezi kuliko viongozi wetu wa leo wanaotumia kigezo cha ukada na kuikomoa/kuihujumu CHADEMA kufanya uteuzi.
Badala ya kuiga mazuri ya wakoloni, tumeiga ya kijinga kama kuweka watu ndani kwa amri ya DC au RC.
Ngozi nyeusi iko duniani kimakosa!
View attachment 1824461
Leta hapa orodha yoyote ya vyeo vinavyohusiana na teuzi kutoka CDM.uongo utakusaidia nini ?
Niko na mbibi wa kiarusha hapa nmemuonyesha comments yako akaniuliza huyo ( wewe) chalii ni wawapi? Mkamjibu ni mdaslamu, akaniambia nikuteme. 😂😂😂Wahuni huku unakufa na umasikini?
Hizi akili au matope?
Afadhali ya CCM kuliko kwa baba mkubwa, mmiliki wa chama. Lazima ufungue kufuli au uwe mKaskazini Mashariki ya nchi. Halafu eti baba wa domokrasia.Mambo ya kugawiana mavyeo yako vyama vyote
Ukiangalia CDM wanavyofanyaga teuzi za viti maalum utajua hawana tofauti yoyote na CCM.Afadhali ya CCM kuliko kwa baba mkubwa, mmiliki wa chama. Lazima ufungue kufuli au uwe mKaskazini Mashariki ya nchi. Halafu eti baba wa domokrasia.
Hizo ni shida za 90% ya vijana nchini na wewe mmojawapoHizo ni shida zako kila mtu apambane na hali yake.
Hamia hizo nchi hukatazwi.