TEUZI: Rais Samia ateua Wakuu wa Wilaya. Nassari, Dkt. Mashinji, Lijualikali, Msando, Nikki wa Pili ndani

Wakolini walikuwa wanaendesha uongozi katika makolini yao kama walivyokuwa wanaendesha kwenye nchi zao
 
Au
Utoke tu watu waangalie majina yao, nafasi mpya za ajira ambazo hazina application wala interview, sifa ya kupata ajira ni mapenzi ya mtawala kwa mteuliwa, unaweza pewa kwa sura/sauti nzuri uliyonayo, au ukose kwa sura/sauti mbaya uliyonayo.
Pia ukiwa bingwa wa kusaliti na kumtukana Mbowe mfululizo
 
Baada ya viongozi wa juu wa UVCCM kupata uteuzi sasa ni rasmi Mama kaisambaratisha. Mama anataka kuanza na vijana wapya na si masalia ya jiwe, tutazamie nini?
Haija sambaratishwa hii ni katika juhudi za kuisuka upya ili tutoke tulipokwamia na tuyaangazie maslahi ya kweli ya taifa.
 
Mataga hali tete! Kuanzia kwa Katibu wao Mkuu Kiongozi, Katibu Mwenezi wa chama, na sasa Uvccm! kote huko Mwenyekiti wao anawasambaratisha tu.

Sasa sijui wataishije! Maana walishazoea maisha ya kusifu na kuabudu!
 
Heri James na Digija wote wako Dar na ni watotowa dada....hivi hii inaruhusiwa ?? Nauliza tu .....
 
Wakolini walikuwa wanaendesha uongozi katika makolini yao kama walivyokuwa wanaendesha kwenye nchi zao
Na hivi vyeo ni ujinga wa kufuata mfumo wa kikoloni uliotumika kuthibiti watanzania miaka hiyo
Hakuna RC wala DC nchini UK

Regional Commissioner
Each colony was subdivided into regions with each region headed by a Regional Commissioner.
District Commissioners
The provinces were again divided into districts, headed by District Commissioners. These District Commissioners implemented official policies at the local level with the help of the local chiefs.

District commissioner may refer to: District Commissioner (British Colonial), a rank in the British Colonial Service;
 
Na ndio DC sasa,

Tanzania nchi yangu.
 
Na ndio DC sasa,

Tanzania nchi yangu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…