Noti bandia
JF-Expert Member
- May 3, 2020
- 2,684
- 4,315
Huwa nawaangalia watanzania wanavyozishadadia hizi teuzi najionea huruma tu. Hamna jipya
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
🤣Mliotemwa msimchukie MAMA. Hakuwaambia mzeeke haraka
Hongera zao wrote waluoteuliwa ila wasije wakaanza usabaya.utawacost
Ngoja nikalione lile taahira la Twitter linasemaje!Joketi kapelekwa Temeke, mliokua mnamsagia kunguni na yule chizi mwenzenu twitter aibu kwenu
Ni yeyeeeeUyu herry james aliepangwa ubungo ndio Yule Yule wa UVCCM au Ni mwingine
Wahuni huku unakufa na umasikini?Huyu mkuu wa wilaya ya kisarawe mbona anatuaibisha wahuni wa chuga
Mwanaume unaitwaje mkuu wa wilaya ya kisarawe aiseeeee?
Kwani Mkuu wa wilaya anahitaji elimu gani?Kuna form four failures wenye Diploma za Utangazaji humo,
👍👍Chopa mchopanga kala uteuzi wa wilaya Rorya View attachment 1823984
Kamaa hamjui anaitwa Juma Issa Chikoka
👍Kwani Mkuu wa wilaya anahitaji elimu gani?
Kuna mwongozo wowote ?
Atakuwa Yuko vizuri upstairs kupewa nafasi Kama hiyo[emoji106][emoji106]
Ana ushawishi katika tasnia ya sanaa.....
Ikungi ni wapiIkungi
🤣Daa sijui na mie nifanye nn ili nijulikane niteuliwe.Maana namuunga mkono sn bi mkubwa na nampenda sn.Mungu ambariki
SingidaIkungi ni wapi
Ndo kinachofata hapo.Kheri james katumbuliwa kisayansi kabisa!!!Nadhani makonda atapewa uenyekiti UVCCM TAIFA!!!NGOJA TUONE!
Umetiki.Mkeka tayari.