Dah Pascal Mayalla hayumo?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Daaah aiseh,maisha yanaenda kasi sana.Chopa mchopanga kala uteuzi wa wilaya Rorya View attachment 1823984
Kamaa hamjui anaitwa Juma Issa Chikoka
Niudhike na nini??Inaonekana una makasiriko sana mkuu, bila shaka huu uteuzi umekuudhi sana sio?
Sepetu hana ushawishi wowote wa kuteuliwa kuongoza mahali popoteJokate , Basila Mwanakuzi(x- Miss Tanzania 1998), Bulembo. Uzuri na Urembo unachangia. Si Ajabu DAs tukamuona Mobeto, sepetu, na Iwoya.
Yule amehamishwa tuKasesera kaliwa kichwa
Yule Mwehu wa Arusha Bongo Flavour nae kaliwa Kichwa
Yetu macho. UDC sasa hauheshimiki tena!Rais Samia Suluhu Hassan leo ameachia mkeka wa Wakuu wa Wilaya mbalimbali uliosheheni vijana. Baadhi ya Wakuu wa Wilaya wapya ni pamoja na aliyekuwa Katibu Mkuu wa CHADEMA, Dkt. Vincent Mashinji, pia yupo Joshua Nassari na Wakili Albert Msando. Wengine ni Mwenyekiti wa UVCCM Kherry James, mtangazaji Hassan Ngoma kutaja kwa uchache.
😀😀😀bunge viti maalumAnko Paschal vipi jamani?
Acha mkwara mkuu..thibitisha!Nashtuka kutoka kupumzika naona simu yangu sms kibao kila mahali hadi nikashtuka kuna nini?
Kumbe kuna kacheo uchwara nimeshatupiwa humu. Mama mimi na udisii wapi na wapi? Hiyo nafasi yangu mpe mtu mwingine maana wala hata sitajisumbua kwenda huko. Yani wala hata siwazi achilia mbali kupeleka kwato zangu huko.
Haahaa ukuu wa wilaya Ni sehemu ya kuifilisi hazina ya nchi bila jasho...Unadhani wanalipwa 2M mshahara wa Headmaster wa sekondari?
6M plus allowances+ulinzi+nyumba kali+V8+Dereva.
Haahaa, siasa ndo eneo pesa ya nchi inapotafunwa, mama anatoa ajira kwa makada vijana...Siasa ndio ajira pekee zilizobakia .
Yaani serikali imeshindwa kutengeneza ajira imebakia kuteua watu nafasi za kisiasa.
Shame.
Hahahaha haswaaa unawashika wafanyabiashara unaenda kuteleza tuuuuuBia Bure,
Umenishawishi nimfatilie huyo bibie comments zaidi ya 4 zikimpongezaHongera sana Fatma Almas Nyangasa.
Mwendazake alisema alikua akipewa m11 kama sikosei, akasema ipunguzwe akawa anapewa m9 (according to yeye) sa sijui kweli make nae alikua muongo muongoMmmmh yani presdaa unamuwazia hiyo hela ya maandazi 6M? Emb kuwa serious basi.