Duhhhh ..?????Yule Taahira wa Arusha, Bongo Flavour Kaliwa Kichwa
Anaitwa kenan laban kihongosi kapelekwa iramba
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Duhhhh ..?????Yule Taahira wa Arusha, Bongo Flavour Kaliwa Kichwa
Swadaktaa👍👍hongera nyingi sana kwa kaka yangu kherey Jemsi, naamini sasa wilaya mpya ya Ubungo haswa Jimbo la kimbamba itachangamka, angalau sasa miradi ya DMDP itafanyika ktk kata ya Kibamba.
Daa sijui nisemeje nashukuru mama namie ameniona .Rais Samia Suluhu Hassan leo ameachia mkeka wa Wakuu wa Wilaya mbalimbali uliosheheni vijana. Baadhi ya Wakuu wa Wilaya wapya ni pamoja na aliyekuwa Katibu Mkuu wa CHADEMA, Dkt. Vincent Mashinji, pia yupo Joshua Nassari na Wakili Albert Msando. Wengine ni Mwenyekiti wa UVCCM Kherry James, mtangazaji Hassan Ngoma kutaja kwa uchache.
Sasa hivi yanaugulia maumivu!Leo hawatapata usingizi na kesho wataliamsha la matusi.Walidhani ccm imelala. Nassari alishaomba ajira tangu kipindi cha kampeni mwendazake alimuahidi.
Komanya jeuri ya Jiwe imeisha....arudi kupiga domo ccm Dodoma
Nasikia anaiwania yangaKwa kusikia hiyo listi, Naona waliotupwa nje, mmojawapo ni Jerry Muro [emoji3]
Ameenda tena kuwa jirani na JerryKihongozi yupo iramba mzee hajakatwa.
Yule jamaa ni kada na huwa anahudhuria sana vikao naona imemlipa alijiweka sana mbele enzi ya Magu Ila hakupata. Kweli kila mtu na thawabu yakeChopa mchopanga kala teuzi Pascal kaachwa ,akutukane hakuchagulii tusi
Lini u DC uliwahi kuheshimika?Yetu macho. UDC sasa hauheshimiki tena!
Nadhani vijana wa Ccm ndio wanapaswa kujiuliza mara mbili mbili! Yaan mtu akitoka upinzani akija Ccm ni lulu! Hii inadhihirisha kuwa upinzani kuna vichwa na huko Ccm wengi ni vilazer!!Msando ndani
Lijuakali ndani
Nasari ndani
Niki wa pili ndani
Kheri james ndani
Bavicha wanataambia nini watu?
3MWanaojua hebu tupia hapa.
Hivi mishahara yao inaweza kuwa ngapi
Ukitizama waliokuwa juu na wamepewa hizo teuzi imekaaje hii.
Ila naona kuna kasoro na hizi teuzi, sijui ni vigezo vipi vinatumika mimi nilidhani wakuu wa wilaya wangekuwa wanatoka kwenye sekta ya utumishi wa umma na hii ingeaidia kwanza kuwa kama motisha kwa wateule na pia ingesaidia kupunguza matatizo ya wateuli ambao hawajui hata miongozo ya utumishi serikalini na ingesaidia kupunguza misuguano isiyo ya lazima kati ya ofisi ya mkuu wa wilaya na wafanyakazi wa sekta ya utumisihi wa umma, nimeona kuna wateule wengine ni wana mitindo, wengine watangazaji kwenye radio/runinga, wengine wafanyabiashara za salon. nadhani umefika wakati wateuliwa wa hizi nafasi wawe ni watumishi wa umma badala ya sasa ambao kuna wateuliwa wengine ni wa mashaka mashaka, tusije rudi kule kule kwa akina Ole sazuriUtoke tu watu waangalie majina yao, nafasi mpya za ajira ambazo hazina application wala interview, sifa ya kupata ajira ni mapenzi ya mtawala kwa mteuliwa, unaweza pewa kwa sura/sauti nzuri uliyonayo, au ukose kwa sura/sauti mbaya uliyonayo.
Huyo huyo wala hujakosea waliounga juhudi wote wamekumbukwa.nimeona kwenye risti hiyo, namba 60 ni dr. mashinji.
je! ndio mashinji huyuhuyu ninaemjua mimi?
Japo si muhimu bt atlist tujue[emoji1]Wanaojua hebu tupia hapa.
Hivi mishahara yao inaweza kuwa ngapi
Ukitizama waliokuwa juu na wamepewa hizo teuzi imekaaje hii.
Nimeshangaa mnoKuna huyo mmoja huwa ana-act mlinzi wa getini afu chizi chizi (si unajua walinzi wa bongo movie) nae ni DC 😁