Extrovert
JF-Expert Member
- Feb 29, 2016
- 70,785
- 186,690
Connections tuAlbert msando kaupata Vipi uteuzi kutoka ccm?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Connections tuAlbert msando kaupata Vipi uteuzi kutoka ccm?
Hakuzalilishwa mh.Batilda Buriani kuteuliwa kuwa RAS na baadaye RC kutoka kuwa WAZIRI NA BALOZI WA SERIKALI ZILIZOPITA......Mashinji anazidi kuzalilishwa tu
Wanamsema ndugu yetu Kenan Kihongosi....Wa Arusha nani
Kenan yule dogo aliowatia stiki watu wazima😅 wenzieWanamsema ndugu yetu Kenan Kihingozi....
Taarifa sahihi ni kuwa amehamishwa tu na si hivyo asemavyo mdau hapo juu....
#KaziInaendelea
🤣🤣 Swadaktaaa.....Kenan yule dogo aliowatia stiki watu wazima😅 wenzie
Huyu dada si alikuwaga ITVNamuona Fatma Almasi Nyangasa [emoji736]
Paschal ana nyota ya bundiyupo pia gabriel zacharia,na simon simalenga yaani waandishi wa habar wameula sana zama hizi ila pascaliiii chaliii
Ndio....Sasa yuko AZAM....Huyu dada si alikuwaga ITV
Aliokwambia ili uongoze lazma uwe na 1 ya 7 ama Gpa ya 5.0 ni nani?Kwa mfano huyo Zakaria na failure yake ya form four na diploma ya utangazaji,
Ndio maana hii nchi inabakia maskini miaka yote.
Kahamishiwa IkungiMwingine ambaye kibarua chake kimeota "nyasi" ni yule DC "mjivuni" wa Arusha, Bwana Kihongosi[emoji3]
IrambaJerry Muro?
Kinachotakiwa waje na tume huru. Hayo mengine mbwembwe tu. Watu wanavyo vichinjio vyao vimetulia,na hasira kifuani.Huu mchezo hauhitaji hasira kuna watu walidhani kifo cha Magufuli ni mafanikio yao walijidanganya sana kinyume chake imekuwa kweli. Magufuli aliibua wapinzani waliokimbilia ng'ambo kwa uanaharakati wa uongo
Yaani mama ameamua kuimalizia CHADEMA hakuna namna CHADEMA tena itaibuka yaani imeshazama kabisa na inapiga piga miguu
operesheni yao ya haki mama anaifanya kwa Vitendo
Kwa jojo hapo kisaraweNa Nikki wa pili ni wa wapi?
Nchi hii bila connection hutoboi😅😅😅 amini kwambaHuyo Jerry hana lolote sifa tu zimemjaa
Hawa wasanii juzi Kati wote walikimbilia msoga kumsalimia Vasco kumbe walikuwa wamepeleka vimemo ...shit shit[emoji57]
Huyu mpumbavu na mama yake si walijiharibiaga kwa kuhamia chadema na kuinanga CCM. Wakataka vunjiwa nyumba wakarudisha matako nyuma 😅😅😅 na kujidai wamerudi CCM! Wema angekuwa na akili timamu na ushawishi alionao angekuwa na privilege kama Jokate sababu baba zao walikuwa kwenye system ila akili ndio hana .Sepetu hana ushawishi wowote wa kuteuliwa kuongoza mahali popote
Hahahah raha sana unalala na raum unaamkia kwenye V8 yenye king’ora pamoja na mabodyguard wawili 😅😅😅Haahaa ukuu wa wilaya Ni sehemu ya kuifilisi hazina ya nchi bila jasho...
Haahaa, siasa ndo eneo pesa ya nchi inapotafunwa, mama anatoa ajira kwa makada vijana...
Eeh swahiba wake Kanumba huyuHuyo juma chikoka so ndio Yule chopa mchopanga wa bongo muvi mwenye macho makubwa[emoji1]