Linguistic
JF-Expert Member
- Mar 16, 2021
- 3,669
- 8,268
Alikuwa DEDHassan Ngoma sio mtangazaji?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Alikuwa DEDHassan Ngoma sio mtangazaji?
Kweli MkuuRais makini tulibahatisha kidogo hayati mkapa.
Hakuna cha taswira kifupi hatuna Rais keep my word.Walitaka wawe wao labda,kama ma DC walioteuliwa ni wabaya basi wajue ndio taswira ya jamii kwasababu amewatoa kwenye jamii hiihii.
The day will come but not today.Pascal vipi! manake kakipigania sana chama huyu mzee.
Huyu binti angefaa abakizwe palepale tu sijui Rais amewaza ninimm nataka kuona JOJO atatupwa wapi au atabaki pale pale kwa wakwere na wazaramo wa kisaju
Kumbe 🙄 basi ule ubongo movie mi namchukuliaga hivo hivo, ana elimu gani?Mchopa mchopanga jamaa ana shule kichwani
Ndio maana nikasema sijui kama ni kweli, make alikua ni muongo muongo....Acha kuamini maneno ya kwenye majukwa ya siasa, Presdaa anavuta mkwanja mrefu sana mkuu. Hata hiyo 11M nadhani ni uongo tu.
Nifahamu tu kama mtanzania mwingine. Kwani sisi raia si ndio tunawalipa mshahara?Ili ikusaidieje mkuu?
Binti alifaa apelekwe kwenye wilaya za Tanga au Lindi uko akawaamshe ki-elimu maana hiyo kazi anaoneka kuiweza kiasi chake kwa nafasi na exposure aliyonayo.Hongera kwake Jojo
Anastahili kwa kweli
Jaffar Haniu Wala Hajaandika Kwamba Hizi Teuzi Mama Kateua akiwa Dodma au DarRais Samia Suluhu Hassan leo ameachia mkeka wa Wakuu wa Wilaya mbalimbali uliosheheni vijana. Baadhi ya Wakuu wa Wilaya wapya ni pamoja na aliyekuwa Katibu Mkuu wa CHADEMA, Dkt. Vincent Mashinji, pia yupo Joshua Nassari na Wakili Albert Msando. Wengine ni Mwenyekiti wa UVCCM Kherry James, mtangazaji Hassan Ngoma kutaja kwa uchache.
Shuke ipi bana?Kumbe [emoji849] basi ule ubongo movie mi namchukuliaga hivo hivo, ana elimu gani?
Hassan Ngoma sio mtangazaji?
😀😀😀Sema kabinti elimu kichwani ipo.mama kamstiri wifi yake,hakajaachiwa urithi
Unaroho ya kichawi, wacha husda kwa walioteuliwaHakuna Rais hapo nchi ipo ipo tu Mungu atusaidie Watanzania.
Hata kujiheshimisha hajui akili yake ishajulikana ikoje hata bila kuihama CCM hakuna mtu angempa.......Huyu mpumbavu na mama yake si walijiharibiaga kwa kuhamia chadema na kuinanga CCM. Wakataka vunjiwa nyumba wakarudisha matako nyuma 😅😅😅 na kujidai wamerudi CCM! Wema angekuwa na akili timamu na ushawishi alionao angekuwa na privilege kama Jokate sababu baba zao walikuwa kwenye system ila akili ndio hana .