TEUZI: Rais Samia ateua Wakuu wa Wilaya. Nassari, Dkt. Mashinji, Lijualikali, Msando, Nikki wa Pili ndani

TEUZI: Rais Samia ateua Wakuu wa Wilaya. Nassari, Dkt. Mashinji, Lijualikali, Msando, Nikki wa Pili ndani

Sawa tusubirie tuone namna CCM watakavyokubali kuunda Tume huru ya uchaguzi yenye uwezo wa kuwafurahisha Chadema.

Usisahau kuwa kuna tofauti kubwa baina ya kuunda tume huru na kukubali kuunda tume huru.

Au nasema uongo ndugu zangu?
 
Mawaziri waliopo katika serikali ya Zanzibar na ambao unadai kuwa ni watanganyika ni wepi mbona hauwataji majina japo watatu au wawili tu. Kama mtanganyika kupata tu kiwanja Zanzibar ni vigumu inakuwa vipi iwe rahisi kuupata uwaziri? Mleta mada unatakiwa kutushukuru sisi watanganyika kwa kuwa na moyo wa utu, uvumilivu na upendo. Laiti ingekuwa ni swala la jino kwa jino yani kulipiza kila mnalotufanyia, naamini huu muungano ungekuwa ushasambaratika.
Mkuu kwani Rais mstaafu Ali Hassan Mwinyi na mwanaye Rais wa sasa wa Zanzibar kiasili wanatoka sehemu gani ya JMT? Wote asili yao ni Mkuranga, hata katika kitabu chake cha biografia alichokiandika hivi karibu, Mzee Mwinyi anakiri kilichompeleka Zanzibar ilikuwa ni kupata elimu ya kidini.
 
Mkuu kwani Rais mstaafu Ali Hassan Mwinyi na mwanaye Rais wa sasa wa Zanzibar kiasili wanatoka sehemu gani ya JMT? Wote asili yao ni Mkuranga, hata katika kitabu chake cha biografia alichokiandika hivi karibu, Mzee Mwinyi anakiri kilichompeleka Zanzibar ilikuwa ni kupata elimu ya kidini.
Ali .H. Mwinyi alikulia na kusomea huko, na baadae aliukana utanganyika na kuamua kuwa mzazibar kabla ya Zanzibar kujiunga na Tanganyika.

Husein Mwinyi yeye kazaliwa, kakulia na kusomea Zanzibar, japo ameunga unga elimu yake na hapa bara pia aliamua kuufuata uraia wa kuchagua wa baba yake.

Kwahiyo hao hauwezi kuwalinganisha na wazanzibar wanaotolewa Zanzibar leo kuja kuongoza wilaya au mikoa hapa na wakati kuna wenyeji wenye vigezo vya kuongoza hizo nafasi.
 
Hii ni sehemu ya mkeka, kwa mkoa wa Pwani sijaona wilaya ya Chalinze, je imesahaulika?

Chonde chonde Mh Rais nipo hapa nina sifa katika nafasi hiyo
thumb_1006_800x420_0_0_auto.jpg
IMG_20210620_221755_338.jpg
IMG_20210620_221805_912.jpg
 
In politics, hatutupani,, lazima tulindane… mama kumteua siyo justification kua hakua favoured enzi hizo… kuna mengi usiyoyajua!

Umejuaje kuwa hakua favoured enzi hizo?? Haya, wewe unayujua mengi yapi sisi tusiyoyajua!?
 
Back
Top Bottom