Kunywa maji yenye limao utapata ahueni ewe mchatoBi Mkubwa ndiyo kazi pekee anaweza labda na kusafirisafiri -- ila kwenda kukagua miradi ya maendeleo anaona karaha. ^Ilikuwa Dkt Mwinyi ndiye awe Makamo wangu^ JPM
Asante sanaAwamu ya Sita ya Mh. Rais Samia Suluhu Hassan inazidi kujikita mizizi yake kwa kupanga safu za nafasi muhimu.
Nafasi ya DPP siku zote akitaka kuondolewa ni kumpandisha awe jaji ili umuondoe .
DPP cheo ni cheo kikubwa chenye kinga kikatiba na dawa ya kumuondoa ni kumpandisha cheo kama katika teuzi ya Leo
Soma zaidi kuhusu DPP Historia ya Ofisi ya Taifa ya Mashtaka |Ofisi ya Taifa ya Mashtaka
... shukrani kwa elimu nzuri. It is the only title ukiboronga namna pekee ya kukuondoa ni kukupandisha cheo! Ndio maana DPP's wamekuwa na viburi vya ajabu nchi hii.Ni mchakato mrefu pia katiba inamlinda DPP. Hivyo mfano DPP angetofautiana na utashi wa mwendazake dawa ni kumpandisha cheo.
Pia rais ukiona huridhishwi na mwenendo wa DPP pia njia rahisi ni kumpandisha cheo.
Kwa nchi za Madola wadhifa huu wa DPP ni wenye nguvu sana kikatiba ktk nchi za Jumuiya za Madola / Commonwealth.
Huyu alikuwa zaidi ya shetaniNi mchakato mrefu pia katiba inamlinda DPP. Hivyo mfano DPP angetofautiana na utashi wa mwendazake dawa ni kumpandisha cheo.
Pia rais ukiona huridhishwi na mwenendo wa DPP pia njia rahisi ni kumpandisha cheo.
Kwa nchi za Madola wadhifa huu wa DPP ni wenye nguvu sana kikatiba ktk nchi za Jumuiya za Madola / Commonwealth.
Yap bora angefia ndaniNa Kufungwa
My concern, wana sifa? au kujaza nafasi ali mradi kuwe na majaji wa kutosha wasio na sifa. Amepata muda wa kuwachunguza? yeye kama yeye kuwachunguza..... vetting ya kwake? Uadilifu? DPP haramia sasa anampa Ujaji akakomoe watuRais Samia amefanya teuzi za Majaji wa Mahakama wa Rufani, Mahakama Kuu na Kumwongezea muda Jaji Mahakama ya Rufani.
Asante baba MunguAcha Mungu aitwe Mungu, tumshukuru kwa yaliyotokea huko TCRA, nako wamekaribisha maoni ya wadau juu ya sheria mbovu , za mitandao, zilizopitishwa 2018!!ili zifanyiwe marekebisho!!
Yap bora angefia ndani
Mama anaamini watu wanaomsadia ni watu wazima na Wana Akili why akazindue miradi ambayo ipo Hata kwenye level ya kuzinduliwa na mkuu wa mkoa,wilaya ,mkurugenzi au waziri, ? Uongozi ni pamoja na kurasimisha madaraka wewe unabaki kufanya check and balance,penye mapungufu na kuelekeza so Kama mtendaji anaona hawezi anasema na kusaidiwa,Bi Mkubwa ndiyo kazi pekee anaweza labda na kusafirisafiri -- ila kwenda kukagua miradi ya maendeleo anaona karaha. ^Ilikuwa Dkt Mwinyi ndiye awe Makamo wangu^ JPM
Hayo ndio huwa yapo akilini mwenu ?, pathetic!Sawa lakini kule kuna majukumu mengi sana, na pesa unazopewa ziko kwenye utaratibu ila jamaa anaona kabisa kwake ni demotion kubwa sana!!jamaani msicheze na u DPP, tena wa awamu ya tano??alikuwa Mungu mtu!!mi pesa inakusanywa tu tena unaambiwa usiziweke kwenye account zilete hapa ofisini!!mtu akisema nimekufutia mashitaka hakuna mtu wa kuhoji!!
Hatari na nusu
Good riddance!Aliyekuwa DPP Biswalo Mganga ameteuliwa kuwa Jaji wa Mahakama Kuu.
Kilichomtokea Hakina tofauti Sana na Kilichomtokea Bashiru na Polepole. Hii style ya mama ni kama anatumia Ganzi maumivu utayasikia baadaye.
Bila DPP kuleta Mashtaka Jaji Hana Kazi, na Mganga anabakia kuwa na Mganga alikuwa zaidi ya DPP alipewa Uwezo wa kufanya Negotiation na mtuhumiwa na Kesi ikaisha.
Nafasi ya DPP ipo wazi
Ole Mushi
0712702602
Kumbe hata wana CCM aliwakwaza huyu bwana?Aliyekuwa DPP Biswalo Mganga ameteuliwa kuwa Jaji wa Mahakama Kuu.
Kilichomtokea Hakina tofauti Sana na Kilichomtokea Bashiru na Polepole. Hii style ya mama ni kama anatumia Ganzi maumivu utayasikia baadaye.
Bila DPP kuleta Mashtaka Jaji Hana Kazi, na Mganga anabakia kuwa na Mganga alikuwa zaidi ya DPP alipewa Uwezo wa kufanya Negotiation na mtuhumiwa na Kesi ikaisha.
Nafasi ya DPP ipo wazi
Ole Mushi
0712702602
Haiyo mama,, eehh ,,haiyo mama